njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Usiumize kichwa mkuu, ameteuliwa kwa sababu ya Utanzania wake na si kwa Uzanzibari wake!
Naam!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiumize kichwa mkuu, ameteuliwa kwa sababu ya Utanzania wake na si kwa Uzanzibari wake!
Usiumize kichwa mkuu, ameteuliwa kwa sababu ya Utanzania wake na si kwa Uzanzibari wake!
Huyo "kichaa" ndio huyo ninayemfikiria au ni mwingine....?
FJM,
..imewahi kutokea.
..Zakhia Meghji ni m-znz na aliongoza wizara ya afya.
..yupo Juma Hamad Omar aliongoza wizara ya utalii enzi za utawala wa mzee rukhsa na akahusika na uharibifu wa mazingira ktk mbuga za wanyama za Tanganyika.
NB:
..hata Mzee Ruksa nadhani aliwahi kuwa waziri wa afya. wenye kumbukumbu naomba msaada wenu.
Hili ndio baraza bovu kuwahi kutokea TZ toka Uhuru,
Halitoweza kuleta manufaa yoyote kwa Watz kwa kuwa wengi ya walioteuliwa kuwa mawaziri
wanapokea amri nje ya serikali na sio kwa JK.
JK umedanganywa ukadanganyika.
Soon utagundua haya, tulikushauri hukushaurika.....
Another bad day.
Nadhani hili litachochoa watu kutaka kujadili muungano na kupata clarity kwa mambo kama haya. Katiba ya sasa iko bubu sana!
FJM,
..imewahi kutokea.
..Zakhia Meghji ni m-znz na aliongoza wizara ya afya.
..yupo Juma Hamad Omar aliongoza wizara ya utalii enzi za utawala wa mzee rukhsa na akahusika na uharibifu wa mazingira ktk mbuga za wanyama za Tanganyika.
NB:
..hata Mzee Ruksa nadhani aliwahi kuwa waziri wa afya. wenye kumbukumbu naomba msaada wenu.
hata ushushwe malaika awe mbunge kama ccm ipo madarakani hukuna tumaini lolote linaloweza kupatiana
Waziri asiye na Wizara Maalum kazi zake ni zipi?:eek2:
charles kitwanga ni mbaya kivip?thibitisha.6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,
Hili ndio baraza bovu kuwahi kutokea TZ toka Uhuru,
Halitoweza kuleta manufaa yoyote kwa Watz kwa kuwa wengi ya walioteuliwa kuwa mawaziri
wanapokea amri nje ya serikali na sio kwa JK.
JK umedanganywa ukadanganyika.
Soon utagundua haya, tulikushauri hukushaurika.....
Another bad day.
hapo kwenye blue sijakuelewa kabisa!!