Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Usiumize kichwa mkuu, ameteuliwa kwa sababu ya Utanzania wake na si kwa Uzanzibari wake!

Nadhani hili litachochoa watu kutaka kujadili muungano na kupata clarity kwa mambo kama haya. Katiba ya sasa iko bubu sana!
 
hakuna yeyote mzuri aliyeteuliwa hapo?
Sema na zuri uliloliona kisha eleza makosa?
Baraza zuri, at least kawaacha mawaziri waliovuruga ni mabadiliko mazuri tofauti na miaka ya nyuma wangebadilishwa wizara tu.
kwa upande wangu nimeona msimamo mzuri kiutendaji
 
huenda akawa ni "kiraka" kwa any gap litakalojitokeza bali kwa ujumla ni utumiaji mbaya wa madaraka na r/mali za taifa
 
FJM,

..imewahi kutokea.

..Zakhia Meghji ni m-znz na aliongoza wizara ya afya.

..yupo Juma Hamad Omar aliongoza wizara ya utalii enzi za utawala wa mzee rukhsa na akahusika na uharibifu wa mazingira ktk mbuga za wanyama za Tanganyika.

NB:

..hata Mzee Ruksa nadhani aliwahi kuwa waziri wa afya. wenye kumbukumbu naomba msaada wenu.

Pia alishawahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii
 
Hili ndio baraza bovu kuwahi kutokea TZ toka Uhuru,
Halitoweza kuleta manufaa yoyote kwa Watz kwa kuwa wengi ya walioteuliwa kuwa mawaziri
wanapokea amri nje ya serikali na sio kwa JK.

JK umedanganywa ukadanganyika.
Soon utagundua haya, tulikushauri hukushaurika.....

Another bad day.

Hata hawajaanza kazi mumeanza kulalamika, mulitaka muchaguliwe nyinyi akina pro-Hitler? Hebu angalia hiyo swastika uliyoweka hapo kaburu weeee.
 
Kama uchungu wa mtoto ajuae mama basi uchungu wa kuachwa kwenye baraza la mawaziri anajua ngeleja.
 
Nadhani hili litachochoa watu kutaka kujadili muungano na kupata clarity kwa mambo kama haya. Katiba ya sasa iko bubu sana!

Moja ya agenda za G55 ilikuwa ni pamoja na hili la Wazenji kupewa "Ulaji" kwenye Wizara hizi ambazo sio za Muungano.
 
FJM,

..imewahi kutokea.

..Zakhia Meghji ni m-znz na aliongoza wizara ya afya.

..yupo Juma Hamad Omar aliongoza wizara ya utalii enzi za utawala wa mzee rukhsa na akahusika na uharibifu wa mazingira ktk mbuga za wanyama za Tanganyika.

NB:

..hata Mzee Ruksa nadhani aliwahi kuwa waziri wa afya. wenye kumbukumbu naomba msaada wenu.


Walikuwa ni wabunge wa majimbo gani? (Bara au Zanzibar?)
 
technical mistake! huwezi kuwa waziri mpk uwe mbunge na huwi mbunge mpaka uapishwe na hata uwaziri pia mpka uapishwe,kimsingi wabunge wateule wamekuwa mawaziri wateule litakuwa tatizo kubwa sana kisheria kama wataanza kuapishwa uwaziri hali ya kuwa hawajaapishwa ubunge na mungu aepushie mbali maana itakuwa historia katika taifa hili endapo wataenda dodoma kuapishwa ubunge hali ya uwa tayari walishaapishwa uwaziri. Langu jicho maana CDM imejaa wanasheria asije akatakiwa kupangua tena baraza lake ndani ya siku tatu.
 
Hili ndio baraza bovu kuwahi kutokea TZ toka Uhuru,

Halitoweza kuleta manufaa yoyote kwa Watz kwa kuwa wengi ya walioteuliwa kuwa mawaziri

wanapokea amri nje ya serikali na sio kwa JK.

JK umedanganywa ukadanganyika.

Soon utagundua haya, tulikushauri hukushaurika.....


Another bad day.

Hahahahahahahaahahahahaha, Wazanzibar mna matatizo kweli. Umeona hamna vibalagashia vya kutosha unaita baraza bovu! Lol! hamnazo kweli nyie watu.
 
hapo kwenye blue sijakuelewa kabisa!!

ni kawaida kwa wenye mioyo migumu kutoelewa baadhi ya mambo,nashindwa kukuelewesha kwani sina teaching aids.zitto atamfundisha mambo ya fedha huyu mzee mroho wa madaraka.
 
Back
Top Bottom