Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

Heshima kwenu wanabod! Leo nimefurahi sana kwa mbunge wangu wa Kalenga kutimiza ndoto yake aliyo kuwa nayo tangu alipo staafu kazi yake ya benki[NBC-MWANZA] kabla ya kurudi pale Magunga na kuanza harakati za kutimiza ndoto yake ambayo leo tar.04.04.2012 imetimia.Kwangu mimi nimefurahi sana kwani ameongeza exposure ili watanzania wamjue vizuri kwa utendaji wake na ahukumiwe na wankalenga kihalali.MAJUNGU SI MTAJI,NINAOMBA ASIJE KUJITETEA KWAMBA KAZI KWAKE NI NGENI KWANI AMEJIPAMBANUA MARA KADHAA KWAMBA YEYE NI MTAALAMU WA MASUALA YA FEDHA.NIJUAVYO MIMI HUYU NI CHAKULA YA ZITTO KATIKA MONETORY POLICIES KITU AMBACHO KITAPELEKEA UKOMBOZI WA KALENGA KUPITIA TODY'S EXPOSURE YA MWAMGIMWA BILL.POA TUKUTANE 2015. Nawasilisha,mawazo yangu.

hapo kwenye blue sijakuelewa kabisa!!
 
hata ushushwe malaika awe mbunge kama ccm ipo madarakani hukuna tumaini lolote linaloweza kupatiana
 
Hawa wawili January Makamba na Simbachawene...........Zile kelele zao Bungeni Zimezaa matunda ila wataishia kama kina Ngeleja na Maige coz nao walikuwa hivyo hivyo
 
Sasa huku kwetu nani ni waziri au mbunge ndani ya Zanzibar???? Huu upuuzi
 
Ushauri wa bure kwa CCM, wasihainge hata kwa nusu saa kusimamisha mgombea Moshi Vijijini 2015. CCM ni bye bye. Umeonaeee jimbo linakwenda kule kusikokua na mizengwe chama makini (CHADEMA)
 
  • Thanks
Reactions: FJM
huyu waziri wa habari na michezo wa sasa, alikua naibu waziri wa habari na mchezo kabla, alivyokua bunge juzi alikua anajibu hoji ya wabunge kuhusu soka ya tanzania, akasimama akasema kua taifa stars imeshawahi kushinda makombe 7, na akataja na timu zingine na vikombe walivyoshinda baada ya kumaliza kuongea akasimama mjumbe mmoja akamsahihisha akamwambia taifa stars haijashinda makombe 7 ila ni matano. Nikawa najiuliza yani huyu amepewa tu report na wasaidizi wake hata hakuifanyia research aone kama kila kitu humu ndani kina ukweli yeye kachukua tu report kaenda bungeni kuisoma...:wacko: sasa huyu naibu waziri wa michezo ambae alikua hata hajui taifa stars imeshashindaga makombe mangapi sasa hivi ndio kapewa uwaziri wa habari na michezo....haki ya naniii..it can only happen in bongo:eek2:

Jamani nawaombeni msaada! hivi usalama wa taifa si uko chini ya utawala bora? kama ni kweli mkuchika anapeleka domo kaya lake usalama wa taifa hivi kweli hiyo ni sawa?
 
Bado ana usanii uleule, na bado anaendelea kuwatetea mawaziri wanaokula rushwa.
 
..Hussein Mwinyi ni mbunge wa Kwahani, Zanzibar.

..hata mimi nimeshangaa kuteuliwa wizara isiyo ya muungano kuiongoza.

..nawaomba Mashekhe wa UAMSHO waje kutuondolea huyu toka ktk wizara yetu wa-Tanganyika.

NB:

..labda kuna mpango wa kuongeza suala la afya ktk mkataba wa muungano.
 
Nimegundua wachangiaji wengi wana udhaifu wa aina fulani, kama mtoto wa kambo hata umfanyie nini anaona anaonewa. Huu ni ushabiki,na tabia ya shabiki hawezi kuisifu timu pinzani. Haya hebu nikiwaambia pangeni nyie hilo baraza kwa wabunge wenu wa CDM itakuwa *&^%$%^& mtupu. Nilidhani mna busara kumbe hamna kitu siku zinavyokwenda mbele ndio mnazidi kuchanganyikiwa. Subirini muone utendaji wao, mnahukumu hata kabla hawajaanza kazi. Kwendeni zenu huko...!!
 
namshukuru rais wangu mh jk kuonesha kuwa katiba si lolote,kwa kumteua uwaziri mtu ambaye hajaapishwa kuwa mbunge ni kinyume na katiba ya sasa ya jamhuri ya muungano wa Tanzania inayodai rais atateua waziri au naibu kutokana na wabunge walio bungeni...sasa Hawa ambao hawajaapa kiapo cha ubunge si kuinajisi katiba??!
 
Ni waziri wa AOB
Sipati picha plate namba ya gari yake sijui wataandikaje
 
Mimi nimeshachoka na huju Kikwete, hana jipya zaidi ya kuiharibu Tanganyika yetu
 
ni Pension Na kusoma magazeti. Unajua hata ubunge wengine kwao ni sehemu ya kupatia pesion sio kuwajibika.
 
JK amenifurahisha kuwapiga chini akina Alhaj na Hijjat na kuwaingiza watu wanaomwabudu Mungu aliye hai eg Mkullo out, Mgimwa ndani.

Tafadhali, usifanye utani na imani za watu. Hii comment yako haifurahishi hata kidogo
 
Back
Top Bottom