Kikwete ajifunze Uzalendo kwa Warioba

Kikwete ajifunze Uzalendo kwa Warioba

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu, alikuwa Makamu wa Rais, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Wakili wa Mahakama Kuu.

Warioba ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama Kikwete, lkn kwa uzalendo wake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.

Warioba
Gd8iV6wWUAAzksf.jpg

Kikwete
UDSM & TCAA (30).JPG
 
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama wewe, lkn kwa uzalendo wake kwa nchi yake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.
Nje ya mada! Hakuna namna inaweza ikafanyika ili Warioba awe Rais hata kwa miaka miwili?

Ana HEKIMA sana huyo mzee. Angetutengenezea nchi vizuri sana.
 
Huyo ndio Idol wa huu utawala isipokuwa tu uhuru wa wahuni kwa sasa umezidi kiwango. Vitendo vya kihuni vinafanyika dhahiri kabisa angalau zama zake alijaribu kufanyia gizani pasipo na macho ya watu. Sahizi uhuni ni kama umehalalishwa kabisa na ndio maana huwezi sikia namba moja akiongea lolote.
 
Huyo ndio Idol wa huu utawala isipokuwa tu uhuru wa wahuni kwa sasa umezidi kiwango. Vitendo vya kihuni vinafanyika dhahiri kabisa angalau zama zake alijaribu kufanyia gizani pasipo na macho ya watu. Sahizi uhuni ni kama umehalalishwa kabisa na ndio maana huwezi sikia namba moja akiongea lolote.
Number One isn't presidential material is there by accident, na wahuni wanatumia udhaifu huo kufanya wanavyotaka. Watu wa kujaza hilo gap ni wazee kama kina Kikwete lkn na wao wapo kimya.
 
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama wewe, lkn kwa uzalendo wake kwa nchi yake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.

Warioba
View attachment 3170442
Kikwete
View attachment 3170441
Kweli kabisa! Mwalimu Julius Nyerere alikuwa na moral authority, na hakuogopa hata kumkosoa Rais aliye madarakani. Binafsi naona kukosoa jambo ni sawa na kusifia. Ni vizuri raia wote, including wastaafu wajione/wajisikie huru kusifia yale wanayoona yanakwenda vizuri, na au kukosoa yale wanayoona yangeweza kuboreshwa ili serikali iendelee kufanya vizuri zaidi. Kwa sasa hivi kuna ripoti zinazosema Tanzania is a fast developing economy. Natamani pia kusoma ripoti zinazosema Tanzania is a fast emerging au developing democracy.
 
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu, alikuwa Makamu wa Rais, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Wakili wa Mahakama Kuu.

Warioba ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama Kikwete, lkn kwa uzalendo wake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.

Warioba
View attachment 3170442
Kikwete
View attachment 3170441
Na nyie uzalendo wenu mnauonyeshea kwenye keybord?
 
Kila mtu ana sehemu yake ya kuonyesha uzalendo wake, kuna madaktari, walimu, waandishi wa habari, wanajeshi, nk, Kikwete ni mwanasiasa anatakiwa kuonyesha uzalendo wake kupitia nafasi aliyonayo.
Kwa hio wewe ni mzalendo kupitia keybord? ay ndio wale Ma Keybord woriour?

Uzalendo sio matangazo bali ni Spirti anayo kuwa nayo mtu,na kama haipo haipo, naona Bongo Uzalendo unasomewa, mnachekesha sana
 
Nje ya mada! Hakuna namna inaweza ikafanyika ili Warioba awe Rais hata kwa miaka miwili?

Ana HEKIMA sana huyo mzee. Angetutengenezea nchi vizuri sana.
Kuna nchi sii ikumbuki jina wananchi waliitoa serikali madarakani na kundi kubwa likiwa ni vijana kisha wakamuweka rais mzee 😅😅.

Ila nadhani system iliamua ifanyike hivyo. Shida kwetu uchawa umezidi kwa manufaa binafsi.
 
Back
Top Bottom