Kikwete ajifunze Uzalendo kwa Warioba

Kikwete ajifunze Uzalendo kwa Warioba

Kwa hio wewe ni mzalendo kupitia keybord? ay ndio wale Ma Keybord woriour?

Uzalendo sio matangazo bali ni Spirti anayo kuwa nayo mtu,na kama haipo haipo, naona Bongo Uzalendo unasomewa, mnachekesha sana
Wakati wa vita vya Kagera Kaptani Komba kazi yake ilikuwa ni kuwaburudisha wanajeshi, ndio ulikuwa uzalendo wake.

Kutoa habari za matukio ya utekaji kwenye mitandao mfano anavyofanya Ex. Mayor ni sehemu ya uzalendo.

So huwezi kudharau key warriors eti hawana uzalendo hata kukupa habari ni sehemu ya uzalendo wao.
 
Kikwete mnafiki wa kiwango cha sgr. Yeye mwenyewe, mwanaye na mkewe ili mradi wanakula, hawezi kusema chochote.
 
JK ni mnufaika mkubwa wa huu utawala awamu ya 6 kamwe usitegemee akiusemea -ve!!.
Siumeona hata mwanae kapewa unaibu waziri, kwani ana nn cha maajabu?!.
Chuki zenu kwa kikwete hazitofanya kitu zaidi ya kumpatia baraka na mtaendelea kumuona akitabasamu zaidi na zaidi Huku nyie masura yakiendelea kujikunja kutokana na makasiriko. Hao manaibu na hata mawaziri wengine unaweza kuorodhesha maajabu waliyonayo? Mbona umekomaa na kikwete tu?!!! Unajua sana ridhiwani, sio?!!! Acheni shobo mtafirimbwaaaa
 
Number One isn't presidential material is there by accident, na wahuni wanatumia udhaifu huo kufanya wanavyotaka. Watu wa kujaza hilo gap ni wazee kama kina Kikwete lkn na wao wapo kimya.
Wameamua bora liende tu. Sema kama Watanzania tuna wajibu mkubwa wa kuhakikisha hilo kosa halijirudii tena
 
Chuki zenu kwa kikwete hazitofanya kitu zaidi ya kumpatia baraka na mtaendelea kumuona akitabasamu zaidi na zaidi Huku nyie masura yakiendelea kujikunja kutokana na makasiriko. Hao manaibu na hata mawaziri wengine unaweza kuorodhesha maajabu waliyonayo? Mbona umekomaa na kikwete tu?!!! Unajua sana ridhiwani, sio?!!! Acheni shobo mtafirimbwaaaa
Hakuna mwenye wivu na Kikwete na familia yake ingekuwa hivyo tungemuonea wivu tajiri mkubwa duniani Elon, bali tunahoji wajibu alionao kama anautendea haki.
 
Hakuna kiongozi niliekua nampenda kama Mwlm JK Nyerere na bado naendelea kumkubali ,lkn ukweli utabaki kua ukweli kua,ni yeye ndie alieleta na kuacha uharamia katika siasa za Tanzania na athari zake zitaendelea kutesa vizazi na vizazi.
 
Kikwete na wenzake walinufaika na mfumo huu mbovu,Sasa atapata wapi ujasiri wa kuunyoosha?
Hii nchi itachukua miongo mingi sana kumpata Frredrick De Cllerk wetu.
 
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu, alikuwa Makamu wa Rais, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Wakili wa Mahakama Kuu.

Warioba ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama Kikwete, lkn kwa uzalendo wake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.

Warioba
View attachment 3170442
Kikwete
View attachment 3170441
Nani??
 
Nguvu ya Mungu inaishi milele yote ile ya binadamu hutoweka kama upepo wa ufukweni. Maisha haya ni ya muda mfupi sana, kadri umri wetu unavyozidi kusogea kuna mengi tunaendelea kujifunza.
 
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe.

Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya usiiache ifutwe na ukimya wako.

Heshima au Uzalendo haupimwi kwa kukaa kimya unapimwa kwa vitendo.

Warioba ni Waziri Mkuu mstaafu, alikuwa Makamu wa Rais, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Wakili wa Mahakama Kuu.

Warioba ananufaika na marupurupu kutoka serikalini kama Kikwete, lkn kwa uzalendo wake yupo tayari ku-risk yote kwa kuikosoa serikali hiyo hiyo inayomlipa pindi inapokosea.

Warioba
View attachment 3170442
Kikwete
View attachment 3170441
Juzi tu Si kaongelea kwenye Msiba wa Ndungulile?
 
Malipo kwanza ni hapa hapa Duniani 🙏
Heri wale wenye moyo safi kwa maana watauona ufalme wa mbinguni !
🙏
 
Huyo anachoweza ni kutoka hadharani kuchekacheka, kupiga vijembe na kukejeli watu
To be fair, mambo yakizidi JK hutoa neno.

Wakati ule alipoona yule mkulu anajitutumua kupita kiasi na dharau nyingi, JK alimtahadharisha na msamiati mpya wa “kujimwambafai” na kujiona yeye ni zaidi; wengine wote bure tu!

Na yeye akajibiwa aache kuwashwawashwa. Akaona isiwe tabu bora aendelee na bata la kimya kimya manake binadamu hawana shukrani.
 
To be fair, mambo yakizidi JK hutoa neno.

Wakati ule alipoona yule mkulu anajitutumua kupita kiasi na dharau nyingi, JK alimtahadharisha na msamiati mpya wa “kujimwambafai” na kujiona yeye ni zaidi; wengine wote bure tu!

Na yeye akajibiwa aache kuwashwawashwa. Akaona isiwe tabu bora aendelee na bata la kimya kimya manake binadamu hawana shukrani.
Kuwashwa ilikuwa ni message ya Mzee Warioba.
 
Wameamua bora liende tu. Sema kama Watanzania tuna wajibu mkubwa wa kuhakikisha hilo kosa halijirudii tena
Mkuu Extrovert niaje ndugu yangu!

Mkuu, labda tujaribu kuunganisha dot pengine tutapata kitu.

Umeshawahi kufikiria kwa nini wakurugenzi wa idara ile wamebadilishwa sana na mama?
 
Mkuu Extrovert niaje ndugu yangu!

Mkuu, labda tujaribu kuunganisha dot pengine tutapata kitu.

Umeshawahi kufikiria kwa nini wakurugenzi wa idara ile wamebadilishwa sana na mama?
😄Kwa sababu alihitaji makasuku sio watu strong
 
Pamoja na yote Kikwete hayupo kwa ajili ya taifa bali yupo kwa ajili yake na familia yake
Nakumbuka mke wake alipigania wake wenza, watoto wao waongezewe marupurupu, magari, huduma zote.

Hivyo ndio vipaumbele vya familia yao. Sioni mke w Nyerere, Magufuli wakipigania hizo personal issues. Wangeridhika na wanavyolipwa.

Mtu tayari ni mbunge,mke wa Rais,mtoto ni mbunge, waziri, Mme wake anavyeo kibao. Bado anatamaa ya pesa ndio kipaumbele chake kikuu,hoja muhimu kwake aliyoitoa bungeni.
 
Back
Top Bottom