Kikwete alikuwa genius wa uchumi, Magufuli itabidi akajifunze kwake kama kweli ana nia ya kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye reli


Reli ya TAZARA vipi mkuu?? Nayo imekufa au vipi?? Na ile njia ndo inayobeba mizigo zaid ya 40% kutoka bandari ya Dar ila hawatumii reli sie wenye malori ndo tunapata dili za Congo,Zambia,Zimbabwe achilia za Botswana na Malawi kutokea Dar

Kwanini wateja hawapitishi kwenye reli halafu safari ianzie Mbeya~Malawi kwa truck au Songwe(Tunduma)??
 
[emoji853]Uuuwiii
Magufuli angekuwa ana akili watu kama wewe ndyo wakuwapa nafasi katika serikali yake. Tatizo anaweka wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Na nawahakikishieni hao hao ndyo watakaombeza na kumkejeli atakapoondoka huku wakimfaagilia atakayemfata.
 
Mizigo ingesogezwa hadi Mbeya kwa reli,japo sijui vizuri hii reli ya ubia
 
JK ni level nyingine ndiyo maana hasifii hata haya maigizo yenu
 
Ameshachelewa si alimwambia jk anawashwa!!!!

Kwa Sasa rais ni TUNDU LISSU
 
Nimekuskia mkuu, ntalifanyia kazi
 
Wewe ni mjinga hujui unachoongea. Kikwete angeongezewa mwaka mmoja tungekuwa uchumi wa kati.angeongezewa mingine 5 tungekuwa tumewapiku wakenya mapema sana.
Upo on point sana, achana na huyo hana hoja ya msingi, kwa ile speed ya uchumi wa kikwete mwaka 2017 tungeshaifikia level ya uchumi wa kati na kuipita.

Trajectory ya uchumi tayari ilikuwa kwenye reli, ilikuwa ndo stage ya take off.
 
Lo. Umepotosha sana, yaani theory zako za uchumi ni tofauti na ulivyosema. Haiwezekaniki. Na vilaza wenzio wengi wamekuunga mkno.
Yaani nchin kuwa na importation kubwa uchumi ndiyo unakua? Kuwa na deficit uchumi unakua au kuwa na surplus?

Magufuli yupo right:
Infrastructure investment - SGR kama watu watapanda wengi na kutumia train basi italipa - uchumi unakua, utasaidia people and goods movements ie logistics etc.
Ndege watu wengi wasafiri, more money italipa
Stieglers gorge - 2000 MW, matumizi ya umeme yatakua, viwanda, extraction of metals etc
Roads - Yes easier and convenient movement of goods
Madini - he has done wonders

Problem ya Magufuli ni
1. Construction industry inabidi aiweke mikoni mwa watu wake wazawa na private sector. All investments must be translated to the CSR model
2. Freedom of creativity and innovation,
3. Uhuru wa habari na democracy.

Comment zako zimeungwa mkono na wengi mno, na hii inaonyesha jinsi gani nchi yetu vilaza ni wengi!!!!
 
Pigilia msumari kwenye paragraph yako namba moja.

Umetoa point moja kali sana ya tafakuri, na hii naomba tukipata siku tuifanyie tathmini ya kina

"bado tuna tatizo la kuweza kuendesha uchumi wa kibepari"

Hoja ni: Policy makers wa Tanzania wafanye nini ili waweze kuendesha uchumi wa kibepari??
 
Nijibu kwanza haya maswali

1. Unaweza kukaa bila kula chochote kwa siku saba?

2. Je unaweza kujua ni kitu kitatokea baada ya mwaka mmoja unaokuja?

Mantiki ya kukuuliza hivo ni kwamba, usiwe mtumwa wa kudhani kwamba hivo unavoviita long term basi vitakuwa na manufaa kwenye long term. Uncertainties zipo nyingi sana kwenye mambo ya kiuchumi, na mambo hubadilika.

Ndo mana kwenye uchumi wowote lazima kuwe na balance ya kuhakikisha wakati nchi ina pursue long term investments kama za miundombinu mikubwa, isiwe ndo kikwazo cha kudumaza uchumi wa sasa.
 
Namba hazidanganyi, weka stats za namba kama alivyoweka mwenzako kuonesha kwamba hivyo ndivyo au laah we ndiye kilaza zaidi.
 
1. Lo. Umepotosha sana, yaani theory zako za uchumi ni tofauti na ulivyosema.

2. Yaani nchin kuwa na importation kubwa uchumi ndiyo unakua? Kuwa na deficit uchumi unakua au kuwa na surplus?

Umeandika bla bla nyingi sana, naomba uwe mtulivu nikujibu hizi point mbili ambazo naona kabisa zinakufanya unazidi kutopea kwenye dimbwi la ujinga.

Kwanza, mimi similiki theory za kiuchumi, kwa hiyo sio sahihi kusema "theory zako" kama ulivyoanza hapo mwanzo.

Kingine, nataka nikuelimishe ni vipi importation kwenye bidhaa za intermediate goods na oil ni kiashiria kikubwa sana cha uchumi.

Kuwa makini, sijasema importation ya kama jumuishi ya bidhaa zote zinazoingia nchini, nime specify "intermediate goods" na "oil" nadhani hapa ndo ntakuwa nimekuacha bila bila.

Ki uhalisia kabisa, hakuna nchi inaweza ku operate uchumi wake bila kuwa na intermediate goods na oil. Hizi ni drivers za uchumi wa nchi yoyote ile, hususani nchi kama Tanzania ambayo haipo self sufficient kwenye hizo bidhaa.

Hivyo basi inakuwa ni rahisi kupima performance ya uchumi kwa ku track level ya importation ya hizi bidhaa.

Nadhani nimetumia lugha rahisi sana kukuelewesha, siku ingine usiwe mtu wa kupinga pinga tu, kuwa mtulivu upate maarifa.
 
Magufuli amejenga miundombinu ambayo ikikamilika ndo tutaweza kumtathimini ila sasa imetosha!! mamilioni ya watu walikuwa matajiri wakati wa Kikwete ila sasa ni maskini wa kutupwa familia nyingi zinalala njaa, sasa miaka yake mitano ijayo namshauri ahamasishe ukuaji wa sekta binafsi kupitia punguzo la kodi na kuruhusu NGO zikue maana sasa zimebanwa na zinauwawa na serikali , kampuni binafsi zinakufa kwa kasi sheria lukuki na kodi ya kufuru, akiweka sera za kuamsha sekta binafsi ndo hapo kila mtu atamsifia kwa nyimbo na mapambio! kawaida ya wabongo ni kukusifia ukiwa madarakani ukitoka wanakuponda!!
 
Nenda kwenye swali moja kwa moja mkuu sote tunajua bepari ni nani.
Any Government is a capitalist number one. They hold capital larger than many citizens in the country. So the prudent economic decision of investing in high output projects can determine the proper growth of the economy. Informed from the same, when talking of investment you should know that the government must be on the Stirling wheel to remove all economic distortions
 
Naantombe Mushi, asante sana lakini nakimbia kijijini Kirongwe, Mwanga, Kilimanjaro. Tutachangia siku nyingine.
 
Kwanza inabidi ukajifunze "elementary" economics;
Ukitaka ku-import hizo pesa utatoa wapi? Ongelea wewe mwenyewe ukitaka kununua vitu lazima uwe na pesa na wewe kuwa na hiyo pesa lazima ukafanye kazi. Nchi ndiyo hivyo hivyo, lazima watu wafanye kazi nchi ipate pesa. Au watu hao wauze mazao nje ili mpate fedha ya kigeni muagize hayo mafuta. Kama pesa hakuna hapo nchini au mfukoni mwako lazima ukakope. Kwa Tanzania kwa sasa lazima ijikite kwenye export oriented economy na infrastructure investment. Hata kama unakopa na una invest kwenye infrastructure italipa, Tanzania bado inatakiwa ikue. Usikope kulipa mishahara.
Sasa jiulize mwenyewe hizo sectors ambazo Tanzania inaweza kujiimarisha iwe na export oriented economy ni zipi? Pamba isiuzwe, nguo zishonwe ziuzwe ulaya au Marekani, Food processing, fruits etc etc

Hizo data ulizotoa namba zake ndogo sana, huwezi kujenga uchumi kwa namba kama hizo. Unajua Tanzania biashara yake kidunia ni "negligible" ukilinganisha na nchi zingine? Yaani mapato ya Coca Cola cmpany kwa mwaka huwezi kulinganisha na Tanzania. Magufuli anachofanya yupo kwenye right track. Ila utekelezaji wake uwe flexible. Requires agility; yupo too "rigid".

Usianze kumwosha yule mwizi wenu JK kwa propaganda za "ukilaza"; Magufuli is by far the right man, ajirekebishe tu kwa hayo anayokosea, hasa dictatorship.
Miradi ya magufuli ikiisha italipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…