Kikwete Alipata Wapi Madaraka ya Kuanzisha Mchakato wa Kuandika Katiba Mpya ya JMT?

Kikwete Alipata Wapi Madaraka ya Kuanzisha Mchakato wa Kuandika Katiba Mpya ya JMT?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Hili ni swali ambalo jibu lake liko wazi; kuwa Rais Kikwete hakuwa na madaraka hayo. Hata hivyo, wapo wanaoamini kuwa kwa vile Rais kaamua kufanya kitu basi kitu hicho ni halali.

Mimi na baadhi yetu tumekataa kuutambua mchakato huu wa Katiba Mpya kwa sababu ni haramu; haukuanzishwa na chommbo halali na hata hivi sasa matatizo tunayoyaona na yatakayotokea mbeleni (kwenye Bunge la Katiba na Kura ya Maoni) itakuwa ni mwendelezo tu wa kosa hili kubwa.

HUU NI MCHAKATO HARAMU. Sikiliza HOJA MARIDHAWA

[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=115504&stc=1&d=1381127129[/JFMP3]
 

Attachments

alipata Zanzibar.. si mlituona mapimbi pale tulipokua tunaanzisha ma mikutano kibao.. mkatuita uamsho.. sasa ona.. kila kona ya nyinyi msojielewa mnazungumza kitu amabacho mmetuwekeandani sisi,,,, uuuuuu .. daima tutaburuza tangala wanyika hilo u diggggggg.......real talk and u know it...
 
Alipata mamlaka kupitia ilani ya chama chake na vikao vya CCM vilivyomhalalishia.
 
Sawa umesikika mzalendo,mpenda nchi yako kutoka Marekani Mzee M M Mwanakiji
 
Mimi ni miongoni mwa waliupinga mchakato wa katiba mpya kwakuwa kwanza ulivunja katiba ya sasa,

Pili ulibakwa kisiasa,

Lakini baada ya wakware kuamua kuendelea na mchezo wa soka huku sheria 17 zikiwa zimepindishwa,

Nimekuja kuwashauri na kuwakumbusha historia ya tulikotoka sisi Waafrika,


Kosa la mwaka 1960-1975 linajirudia mwaka 2015 - Page 6
 
Kikwete alipora hoja ya kutaka katiba mpya! Alidhani atapata sifa kwa kuiongoza nchi kupata Katiba Mpya akiwa madarakani! Anaishinikiza hoja bila hata kupata ridhaa ya CCM na Baraza la Mawaziri!
 
alipata zanzibar.. si mlituona mapimbi pale tulipokua tunaanzisha ma mikutano kibao.. mkatuita uamsho.. sasa ona.. kila kona ya nyinyi msojielewa mnazungumza kitu amabacho mmetuwekeandani sisi,,,, uuuuuu .. daima tutaburuza tangala wanyika hilo u diggggggg.......real talk and u know it...

mbona unashambulia?onyesha uwezo wa kufikiri mkuu,sio uwanja wa mipasho hapa au taarabu.mnaibuluzaje Tanganyika boya wewe?akili za kukumbuka katiba mnazipata kwakua usalama wenu umesimamiwa na Tanganyika,la sivyo mngekua na kazi ya kupinduana kila kukicha.au umekula urojo?
 
Kama huu mchakato ni haramu, kwa ushauri wako ni kuendelea na katiba tuliyonayo?

Chombo halali ni kipi?
 
Mchakato wa Katiba hauhitaji kupata madaraka, ni wazo ambalo kwa pamoja watu hukubalina.
 
Hili ni swali ambalo jibu lake liko wazi; kuwa Rais Kikwete hakuwa na madaraka hayo. Hata hivyo, wapo wanaoamini kuwa kwa vile Rais kaamua kufanya kitu basi kitu hicho ni halali.

Mimi na baadhi yetu tumekataa kuutambua mchakato huu wa Katiba Mpya kwa sababu ni haramu; haukuanzishwa na chommbo halali na hata hivi sasa matatito tunayoyaona na yatakayotokea mbeleni (kwenye Bunge la Katiba na Kura ya Maoni) itakuwa ni mwendelezo tu wa kosa hili kubwa.

HUU NI MCHAKATO HARAMU. Sikiliza HOJA MARIDHAWA.


Kaka heshima kwako,

Nakubaliana kwa kiasi flani na hoja yako, kidogo natofautiana na wewe pengine wawezakunielewesha zaidi maana binadamu tunatofautiana kimtizamo. Kifupi nadhani mchakato wa katiba una-uhalali maana umeanzishwa kupitia bunge na sheria kutungwa kwa kutumia katiba ya sasa.

Labda niweke wazi pia nakubaliana na wewe kwamba hatuna objective tunayoilenga kwenye katiba mpya ndio maana vurugu hazitaisha kama unavyosema mkuu. Kumbuka "wenzetu wanafanya hivi na sisi tusifanye hivi kwann" hapo ndipo kuna tatizo.

Ila ushauri wako kuwa mchakato uvunjwe kwakua ni haramu mie sikubaliani kaka. Umesema mwenyewe kuwa pesa nyingi zimetumika na sio pesa tu hata muda na human resource hivyo kaka fikiria au tufikirie uhalali tutauweka vipi kwenye mchakato wa sasa. Asante
 
Hili ni swali ambalo jibu lake liko wazi; kuwa Rais Kikwete hakuwa na madaraka hayo. Hata hivyo, wapo wanaoamini kuwa kwa vile Rais kaamua kufanya kitu basi kitu hicho ni halali.

Mimi na baadhi yetu tumekataa kuutambua mchakato huu wa Katiba Mpya kwa sababu ni haramu; haukuanzishwa na chommbo halali na hata hivi sasa matatito tunayoyaona na yatakayotokea mbeleni (kwenye Bunge la Katiba na Kura ya Maoni) itakuwa ni mwendelezo tu wa kosa hili kubwa.

HUU NI MCHAKATO HARAMU. Sikiliza HOJA MARIDHAWA.
Si CCM kama chama wala viongozi wake wakuu walikuwa tayari kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya!

Hata hivyo JK alisukumwa kuanzisha mchakato huu ili kupunguza upinzani dhidi ya serikali yake na hasa kutoka vyama vya upinzani na wanaharakati! Kwa kuanzisha mchakato huu JK amepata nafuu sana katika kuongoza nchi hii kwa kuwa wengi wa wapinzani wake wameelekeza nguvu kubwa katika kujadili katiba badala ya utendaji wake wa kazi!
 
Porojo zingine mpya. Hivi ulishachukuwa Uraia wa USA? au bado uko mafichoni?

Unapoacha kujibu hoja na kumjadili mtoa hoja ni dalili kubwa ya udhaifu. Unachotakiwa kufanya hapa ni kutoa hoja zako kuwa mchakato huo wa katiba mpya si haramu. Kwa kufanya hivyo utakuwa umeonesha kuwa hoja ya Mzee Mwanakijiji ni upuuzi. Kusema tu hoja ni upuuzi hakufanyi hoja kuwa ya kipuuzi.

They say, there is no stupid question. Vivyo hivyo, hakuna hoja ya kipuuzi. Na ubora wa hoja haujalishi mtoa hoja anaishi wapi.
 
Nadhani alifuata ushauri wa Dr.W.Slaa, kuwa akichukuwa nchi ndani ya siku 90 atakuwa kaishaandika katiba mpya.
 
Last edited by a moderator:
:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:

IMG_1966.JPG
 
hahaha hii akili au matope

dk 9:04 unajichekesha unacheka mwenywe

neno haramu umerudia kama mara mia

hujanukuu hata kifungu kimoja cha katiba

this is ridiculous!

Eti katiba haina sehemu ya kubadilisha katiba bali kurekebisha

khaaaaa
 
Back
Top Bottom