Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya na Raila Odinga

Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya na Raila Odinga

Kuna waangalizi zaidi ya 18000. Mbona mnadhani huyu mzee wenu ndio wa maana sana kwa hai wote?
 
Ni jambo jema
Facial expression ya mzee Kikwete akiwa na Raila ni tofauti akiwa na Ruto. Uso wa Kikwete umekuwa angavu zaidi pichani alipokuwa na Raila kuliko alipokuwa na Ruto. Au wewe unaonaje Bwashe? Hii tafsiri yake ni kubwa
 
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa nyakati tofauti, amekutana na kufanya mazungumzo na Wagombea Urais William Ruto kutokea Umoja wa Vyama vya Kenya Kwanza, na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama vya Azimio la Umoja. Mgombea wa wa Azimio la Umoja Raila Odinga, aliambatana pia na Mgombea wake Mwenza Martha Karua.
View attachment 2317337View attachment 2317338View attachment 2317339View attachment 2317341View attachment 2317342View attachment 2317343
Katumwa na mabeberu kuona nani ana maslahi mazuri kwa wazungu na ndiye awe rais. Ni kama bongo tu, Dkt Magufuli akafa
 
Raila Odinga baba tunaimani utaivusha kenya yetu!
Kwa siasa za kenya zenye mwelekeo wa kikabila labda useme atawavusha wajaluo!! Wengine mtaishia kunawa tu! Tribalism in kenya is entangled within their DNA and they are completely helpless against it!! If you ask them, they hate it because they know how brutal it is, however they simply cannot do without it!! The fact that each candidate sought a kikuyu as his running mate, this choice was tribal informed, targeting the numbers from the kikuyu tribe!! Almost every Kenyan has been a victim of tribalism at one point or another, yet they are completely powerless to fight against it!! #prayforkenya#
 
Ruto na Odinga wote ni best candidate, yeyote atayeshinda kenya itasogea zaidi, Ila kwa faida ya historia na demokrasia ni vizuri Odinga akashinda, lakini asifukue makaburi ya akina ouko, atahatarisha maisha yake
 
Facial expression ya mzee Kikwete akiwa na Raila ni tofauti akiwa na Ruto. Uso wa Kikwete umekuwa angavu zaidi pichani alipokuwa na Raila kuliko alipokuwa na Ruto. Au wewe unaonaje Bwashe? Hii tafsiri yake ni kubwa
Kikwete is too diplomatic!! He simply cannot fall into that minor trap!! Sema tu ni kuwa Raila alifanikiwa kumchekesha na kumfanya asioneshe tensheni yoyote! Halafu Raila ni mzoefu wa shughuli hizi!! Ruto was too tense!!
 
Ruto akubali tu kwamba goma lishaegemea kwake hiloo... hatoki.
 
Back
Top Bottom