Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qadhi, hawa jamaa ni ma professional kabisa bila mashaka na vyo vya journalism wamehitimu. Tatizo sio hao vijana, tatizo ni wamiliki, Dialo ni kada wa CCM, hivyo unategemea nini, "he who pays the piper may call the tune".
Hata ITV kwenye news za mmiliki, news clip ina dakika zaidi ya 6!. Standard Clip ni dakika 2 ikizidi sana 3 tuu. Professionalism hairuhusu taarifa ya habari ya lugha ya Kiswahili, kuingiza insert ya Kiingereza bila kuifasiri, haya mambo tunayaona kila siku hapo ITV.
TBC nayo siyo State Media tena, ni Public Broadcast, wameshatoa code of conduct yao kuelekea Uchaguzi Mkuu kuwa hawatapokea pesa za chama chochote kujitangaza, watatoa nafasi sawa kwa vyama vyote, hivyo hiki kinachoendelea, sijui ni kitu gani.
Nyie mlio karibu na JK, ukiwemo Mzee Invi, mshaurini, anapiga sana domo, wote wanaomzunguka wanamuogopa, hakuna wa kumweleza, watu tunataka kuona "fainali ya wedikapu!".
Bongo bado hatuna news anchors, tuna news readers. Ila kuna ma anchors wazuri kama huyu Marine Hassan wa TBC, ila hapewi news, namuona kwenye Jambo tuu. ITV, Star TV na Channel Ten, wana ma news readers tuu hawana Anchor Man.Mkuu,nilichokiona kwa hawa anchors:
Kiswahili ni kama lugha ngeni kwao,wana tension ya juu sana,yaani kama vile hawajui baada ya sentesi moja inakuja ipi,ile flow haijatulia na haipo ktk sequence.
Anchors ambae wanasoma ndio unaona kabsaa hawako relaxed,anadonyoa mistari kama vile kuku anadonyoa mpunga,maanake kila baada sentensi moja kaangalia karatasi.Anchors tunawaona huku anaimiliki kazi yake,na anaweza kuleta kionjo chake binafsi kulingana na mazingira bila kuharibu ujumbe wa msingi.Lakini ndugu zetu hawa wanakakamaa utafikiri wako kwenye gwaride.
Anchor anatakiwa aongee na viewer,yaani unahisi mshikaji yuko na wewe pale live.
Hawa wa Star Tv walikuwa wanajaribu kuingizia utani pale kulingana na asili na makabila ya watu,walikuwa wanaishia kutaja mikoa mi 2 tu,na kuishia kuanzisha unrelated issue kabisa.
Lakini hata yeye mwenyewe kwa hulka yake ni mtu mstaarabu. Sitegemei awe tofauti.Na lazima afanye za kistaarabu ,kwani akijidai tu basi wapemba wenziwe wataanza kutembea na mikasi !!! 😛ound:
Madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, HANA UKIMWI isipokuwa ni mgonjwa wa AKILIEwe mwananchi... ewe Mtanzania mwenzangu. Kabla hujapiga kura yako ya kuchagua ni nani awe rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania 2010-2015 jiulize mara mbili mbili? Wagombea wote wa urais NI WAZIMA KIAFYA?
Case 1 - Kikwete (mgombea wa urais):
Nyie ni mashuhuda wazuri. Huyu mgombea ni 'mzoefu' wa kuzirai majukwaani.
Madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, HANA UKIMWI isipokuwa ni mgonjwa wa AKILI
Mimi nataka kuona wakifanya mdahalo wa pamoja, tuone wakitetea hoja zao. Tumsikilize na Mh. Kikwete akijibu maswali kutoka kwa wananchi na wasomi juu ya uongozi wake na matarajio na mikakati yake katika miaka mitano ijayo akipata huo urais. Jiunge nasi katika kupigania kufanyika kwa huo mdahalo; Campaign for Presidential Debate in Tanzania 2010 | Facebook
This is serious!!!Madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, HANA UKIMWI isipokuwa ni mgonjwa wa AKILI
Madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, HANA UKIMWI isipokuwa ni mgonjwa wa AKILI
madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, hana ukimwi isipokuwa ni mgonjwa wa akili
Madaktari walituhakikishia kuwa ni mzima, HANA UKIMWI isipokuwa ni mgonjwa wa AKILI