Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Nadhani wanatafuta mzanzibari mkristu ili kubalance...... sasa nani yuko kule eeeee, ahaaa Mwakanjuki au Issac Sepetu!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhhh...duhNadhani wanatafuta mzanzibari mkristu ili kubalance...... sasa nani yuko kule eeeee, ahaaa Mwakanjuki au Issac Sepetu!!!!!
Qadhi, hawa jamaa ni ma professional kabisa bila mashaka na vyo vya journalism wamehitimu. Tatizo sio hao vijana, tatizo ni wamiliki, Dialo ni kada wa CCM, hivyo unategemea nini, "he who pays the piper may call the tune".Hivi hawa watangazaji wa Star Tv ni professional anchors/presenters/journalists kweli.???????...maana wanajing'atang'ata tu hapa.
Safari ndeeefu sana tunayo.
Naona Kombe Ndio linafunguliwa hapa
uuuh jamani jamani...tuelezee kila linalojiri...naona mkulu kang'ang'ania hapa....na picha kama inawezekana uweke
Tune TBC2 ni Mahsusi kwa mambo haya
kule wameweka mziki.....inaboa sana hii