Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Akili kwako ni kusoma chuo kikuu! Lakin sio inayokuwezesha kuwa na maisha mazuri!!! Ipo kazi! ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Siku ukijua kutofautisha kati ya akili nyingi na kumiliki mali nyingi, tutajadiliana vizuri.
 
Maiti hasemwi.Angeyasema hayo wakati JPM yupo hai.Kwa nini aogope?Of course yeye hapaswi kumuogopa JPM.

This is nonsense yani mnamponda mtu ambaye hawezi jitetea? Africa, stupid Africa!!
Really..... Africa, stupid Africa!! Ungeongezea na Europe stupid Europe maana mpaka leo hii akina Hitler, Stalin na Mussolini wanaongelewa tena kwa hasira sana. Na wao pia waliogopwa walipokuwa hai na nguvu za dola. Watu wasingeandika historia basi.

Binadamu kuongelewa ni jambo la kawaida, hata akiwa amekufa ataongelewa kwa mema au mabaya yake.
 
huyu mzee mzimu wa magu unamkosesha usingizi na amani,[emoji28][emoji28].aende ghamboshi akaombe ladhi ,watamsamehe!!
 
Wakati jiwe anawakandia wenzake hadharani mbona hamkusema haya
Two wrongs don't make one right Mkuu, hii kama imetafsiriwa vibaya iingie kwenye records kama slip of the tongue, maana lengo ni kufariji na hakuna uongo aliouongea JK ni ukweli mtupu.
 
Mnapenda kukuza mambo sana! Si sahihi.๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Kama sio Mkapa kuingilia kati JPM asingekuwa rais leo hii, na wakati huo akishakuwa mstaafu tayari. Afrika tunao utamaduni wa seniority, wazee kuheshimiwa kauli zao na ushauri wao.
Mbona Mbeki aliondolewa madarakani wakati ni mzee? Pia Zuma amefungwa pamoja na uzee wake.
 
Unachanganya sana mambo, lishe bora hasa katika umri mdogo ni muhimu sana kuendeleza ubungo wa mtoto ila lishe bora haimaanishi kula sato na dagaa wa kanda ya ziwa, hiyo ni misconception kama sio uongo mkubwa unaoaminiwa na watu wengi wa kanda ya ziwa.
 
Marehemu kuongelewa ni ujinga!!!

Tena cha ajabu mnauliza maswali aliyoyapasa kujibu yeye!!!

Nendeni kaburini mkamfufue basi awajibu!!!

Unaandika ujinga mtupu kuhusu Adolf Hitler.Hao mataifa mengine ya ulaya kama Uingereza wanamsengenya marehemu kwa kuwa aliwaumiza wao na kudondosha uchumi wao!!!

Wakati Adolf Hitler anaazisha vita Ujerumani ilikua poor na wananchi walikua na hali mbaya sasa nieleze Wajerumani walipata hasara gani!!!

Kumbuka Adolf Hitler alianzisha WII baada ya GED niambie alileta hasara gani Ujerumani wakati tayari kulikua na hasara.

Ukiongelea Udikteta hata China imeyapitia,Russia,North Korea,Japan.

Hivi unajua hata white house ya USA imejengwa na watumwa.
Kuna tofauti gani kati ya utumwa na Udikteta.

UTAJUA HUJUI!!! HAMNA VISION KABISA KAZI KUULIZA MASWALI WA KUJIBU HAKUNA CHA AJABU MNASUBIRIA MJIBIWE NA VIONGOZI WA SASA WENYE CHUKI ZAO BINAFSI NA JPM PAMOJA NA DEVELOPED COUNTRIES.
 
Punguza hasira, lete majibu kistaarabu na siyo kuita wenzako wajinga.

Issue ya kufufua imetokea wapi? Mjinga ni wewe sasa umepata kigugumizi unazunguka zunguka tu.
 
Punguza hasira, lete majibu kistaarabu na siyo kuita wenzako wajinga.

Issue ya kufufua imetokea wapi? Mjinga ni wewe sasa umepata kigugumizi unazunguka zunguka tu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hasira ipo wapi?Rudi darasani ukajifunze matumizi ya alama ya uandishi '!' ukatoe ujinga uelimike.Mimi nimeweka msisitizo!Unachojua ni kuwa '!' inamaanisha ukali wa kauli?

Haya tufanye mimi ni mjinga naomba unielimishe.Ila kwanza ya yote yapasa kujua sijazunguka na wala sijapata kigugumizi.Nasubiri hoja zako sasa maana haujaleta hoja!!!Mimi kusema mkamfufue ni hoja kwa mtu anayeamini kumsema marehemu siyo hekima bali ni ujinga!!!

LETE HOJA MAANA WEWE NDIYO UNAYETAKA KUZUNGUKA!!!
 
Kwa hiyo ndio kusema Kikwete kastaafu na akili zimekwisha.Unaenda kwenye msiba unaanza kuongea mambo mengine kabisa yasiyo husika na msiba.Hii ni laana ya aliyoyafanya
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
It's neither a misconception nor a lie brother, Sangara, dagaa na sato wana DHA ya kutosha which is a precursor for building a smart Brain, hiyo tu article nimekutumia na ni tafiti imefanywa na wazungu across different countries, wameongelea Nile perch (sangara) na sardines (dagaa) wa ziwa Victoria.

You cannot dismiss the role of DHA in building a smart brain, nimekwambia ndio maana ulaya wamepitisha sheria ni lazima (a must) makampuni yanayozalisha maziwa ya watoto waweke DHA, I know you're intelligent enough, ask yourself why? Kwann hawakusema a must kwenye micronutrients yoyote except DHA? And so it happens sangara na dagaa wana DHA ya kutosha,. Kuna tafiti ntakutumia wamefanya hao wazungu Lake Victoria wanasema maziwa ya mama wa mfangano Island (breast milk) surpassed a global average of DHA (0.3 vs 0.7), na wanakula hao samaki na dagaa.

Moreover, tafiti mbalimbali zinasema maziwa ya mama yenye DHA 0.7 yako linked with higher IQ, bado unaona hizo ni coincidence? ๐Ÿค—

There's a lot of causality, Mimi sio muhaya au mkerewe ila hawa watu wana IQ kubwa na watu wengi tu Kanda ya ziwa na mwambao wa ziwa Victoria Hadi Kenya. And Luo pia nimesoma tafiti hizo hizo za wazungu.

Minofu ya Sangara inaenda Japan, Israel,. Europe, ask yourself why,? Anyways ntakutumia tafiti Leo usiku uta confirm nachokwambia, ukibishana na tafiti can't beat ignorance, can I? Kama haupendi samaki wa ziwa Victoria, pia kuna Usipa Lake Nyasa wana DHA comparatively to wild salmon. Hopefully you can't dispute scientific studies on salmon and brain development!!

Note: (I) issue sio sangara au dagaa wa Lake Victoria, issue ni content ya hao samaki, study Moja pia Lake Nyasa imekuta hicho hicho maziwa ya wa mama wanaokula Usipa yana DHA nyingi above global norms.

(Ii) Genetics inatengeneza foundation, nutrition inamalizia, usije kuja na hoja kwamba kila mtu anaekula dagaa na sangara anatakiwa kuwa Einstein ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚...kwamba Kuna mazwazwa kibao unawajua wamekula hao samaki na bado wana akili za kiazi, kwenye genetics kuna kitu kinaitwa assortative mating ni muhimu sana pia, ni wide subject unaweza soma but that's what has kept Ashkenazi Jews smarter for generations, a smart mother and father have the best chance of having intelligent offsprings and vice versa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ