MarekaniNaomba kufahamishwa tu ! He ni nchi gani zilizoendelea sana katika hii dunia ambazo hazikutawaliwa na madikteta kwanza ??!! ( je )
Mzee umefanya tafiti au una knowledge kuhusu tafiti? Hauwezi chukuwa watu 2 ukafanya as representative, lazima kuwepo na pattern, that's what intrigues people to investigate.Kwa nini sio Unguja na Pemba alikotoka Abdularazak Gurnah mshindi wa Nobel na Salim Ahmed Salim?
Lazima kuwepo na pattern inayo deviate from the norm, kuna msemo wa kiingereza "Once is an accident, Twice is a Coincidence, but Thrice is a Pattern". Kwa mfano, mbona wahaya wengi ni ma Prof? Tayari kuna pattern, mbona wachaga wanapenda kunywa mbege? Watz wote wanakunywa mbege? It's almost specific kwa wachaga, Sasa unaenda kuangalia kwann? Etc sijui kama unanielewa.Kwa nini sio Unguja na Pemba alikotoka Abdularazak Gurnah mshindi wa Nobel na Salim Ahmed Salim?
Unaweza kuthibitisha Wahaya Wengi ni maprofesa?Lazima kuwepo na pattern inayo deviate from the norm, kuna msemo wa kiingereza "Once is an accident, Twice is a Coincidence, but Thrice is a Pattern". Kwa mfano, mbona wahaya wengi ni ma Prof? Tayari kuna pattern, mbona wachaga wanapenda kunywa mbege? Watz wote wanakunywa mbege? It's almost specific kwa wachaga, Sasa unaenda kuangalia kwann? Etc sijui kama unanielewa.
Ni msemo tu kama ilivyo mengine mingiKuna msemo kijiji chenye wazee hakipungukiwi busara.
Kwa mfano hawa wote umewataji ni waislam, achieved tremendously academically, smart people, Sasa angalia hapa, labda na hili utabisha ila si unaona kuna anecdotal evidence waislam wengi hawajasoma, hawafanyi vizuri academically, Salim sio mwislam? Ila the fact that waislam hawafanyi vizuri lazima ikuvutie kufanya tafiti kujua kwann, na unaanza kutengeneza hypotheses zako, mfano, Muslims are genetically predisposed to perform poorly academically, Muslim community as opposed to Christians value and prioritize religious education compared to formal education,Kwa nini sio Unguja na Pemba alikotoka Abdularazak Gurnah mshindi wa Nobel na Salim Ahmed Salim?
Marekani walipigana wenyewe kwa wenyewe kwa miaka mingi tu !! Hiyo ni zaidi ya udikteta mkuu !!Marekani
Unanikatisha tamaa, anyways ntaendelea kukujibu, Bill, Mark wote hao walikuwa havard, ni drop outs, they have had a brilliant mind kuna na ideas kama Microsoft na Facebook, which in itself is a brilliant mind, Mark Zuckerberg, hao ni Ashkenazi, Havard wanaenda vilaza? Nimekutolea mfano wa ma Prof sababu kuna pattern, Ina maana hauwezi grasp beyond nachokutolea mfano ubebe concepts??Unaweza kuthibitisha Wahaya Wengi ni maprofesa?
Uprofesa ndio kipimo cha uwezo wa akili?
Bill Gates, Mark Zuckerberg, Jeff Bezos, Jack Ma, Steve Jobs, Thomas Edison, Wright Brothers, Benjamin Franklin, Jack Dorsey, Alexander Fleming walikuwa hata na masters achilia mbali huo uprofesa wako unaoupigia debe?!
Nilikuwa sifahamu kama kupigana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya udikteta!Marekani walipigana wenyewe kwa wenyewe kwa miaka mingi tu !! Hiyo ni zaidi ya udikteta mkuu !!
Nilikuwa sifahamu kama kupigana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya udikteta!
Kwani udikteta ni nini?
Wakati wanapigana Rais wao alikuwa nani?
Nani hao wanasema hivyo?Wanasema marekani haijawahi kuwa na dikteta moja kwa moja na haikuwa na stable democracy pia !!!
Magu aliwatukana sana wastaafu wenzake, na kuonyesha hawakufanya lolote la maana toka nchi ipate uhuru. Yaani yeye tu ndo alikuwa wa maana. Mtu akisema tu anaambiwa "anawashwawashwa"...Sasa kazi anayo.
Kuna democracy ya kweli na democracy ya hivyo hivyo tu !! Inaitwa bora liende !!Nani hao wanasema hivyo?
Nini maana ya stable democracy?
Hukohuko aliko anapelekewa motoNani kazi anayo ?
Hukohuko aliko anapelekewa moto
ππππππKwani ile kazi ya kusimamia malaika aliyoomba hakupewa hadi useme kuwa tumuache apumzike?