Kikwete azindua mradi wa Umeme uliojengwa na Kanisa Katoliki

Kikwete azindua mradi wa Umeme uliojengwa na Kanisa Katoliki

Hivi kwani Waislam wamezuiwa kuomba misaada SAUDIA ili wafanye mambo ya maendeleo? Siamini kama Mashirika na watu binafsi UAE watakataa kufadhili miradi ya waislamu wenzao, naamini misikiti ikaweka masheikh wasomi wakaandaa proporsal zenye akili-hasa katika miradi ya viwanda vya siraha kama mabomu na bunduki watapata tu wadhamini!!!! Taratibu vidole na macho jamani, hii miradi inatunufaisha wote bila kujali mimi m-protestanti, shangazi yangu muislam au mjomba yangu mkatoliki; sote tunatibiwa kwenye Hosptitali za hawa jamaa, na watoto wetu wanasoma Vyuo vyao biila ubaguzi..hata huu umeme wao ukiunganishwa kwenye gridi ya taifa wallah Ustaadh Jumaa atafurahia kuwasha kijilaptop chake na watoto kuangalia TV bila kujali umeme wa warumi!!!

Kwani wewe hujui hilo Serikali ina sababu gani za msingi kukataa Tanzania kuwa mjumbe wa OIC? Vile vile kuna pesa za Opec waulize jamaa wa hazina zilikuwa zinaenda wapi kabla ya Malima kuja kusambaratisha network. Sasa hivi kanisa linajua ule mrija wa kuiba hela unaelekea ukingoni unakuja na miradi ya kuifunga serikali na mikataba. Ndio maana nauliza kanisa katoliki linafanya biashara? Sijawahi kusikia katika nchi zilizoendelea kanisa likawa na miradi ya biashara only in Tanzania ajabu sana.
 
Nshukuru sana mkuu wangu wala huna sababu ya kuniheshimu kwa sababu ya kupigania kanisa. yes Mohammed Said na Faizafoxy wataniona hivyo kwa sababu wao na wewe hamna tofauti inapokuja maswala ya dini wewe KANISA, wao EAMWS na mimi MTANZANIA na mimi siwatetei kanisa wala EAMWS maana wote hawa ni wafanya biashara wakitumia jina la dini...Hoja hapa ni swala la Umeme, imekuwaje Mkandara awe issue kwenu? ebu jiulizeni mbona mimi sizungumziii maisha yenu lakini mara Mkandara mkimbizi na kadhalika..hakika mkiishiwa hoja mnakuja na mengi ya Udini.

Sawa niite mimi mdini, lakini haya anayoyafanya JK ambaye nyie wenyewe mnamwita Mdini sijui inabadilika vipi akiwatendea nyie na leo ndiye rais mzuri kwenu akifuata ya kanisa. CCM wataachaje kuitawala nchi milele ikiwa dawa ni kuendeleza mfumokristu!
Tatizo la Watanzania ni KANISA KATOLIKI.

Labda tu nikuulize ndg Mkandara, nini kifanyike ili tatizo la watanzania "kanisa katoliki" liondoke?
 
Ningekuwa mshauri wa rais ningemshauri apumzike kuzindua vitu na kuhudhuria mahafali za shule
 
Labda tu nikuulize ndg Mkandara, nini kifanyike ili tatizo la watanzania "kanisa katoliki" liondoke?

Huko ni kuwkepa kukabili tatizo halisi
  • Llikishaondoka kanisa katoliki bado itaonekakana kuna tatizo. Zigo la tatizo hilo litatupwa kwa watu wa Kagera, Watu wa kilimanjaro watu wa mbeya , tuwaweke na wazanaki sababu mkatoliki wao ndio chanzo cha matatizo tuliyoanyo hadi leo...........
  • Haya yakiondolewa hayo makabila bado itaonekana kuna tatizo. na tatizo itakuwa labda ni Mfumo dume.



 
Hawashirikiani na serikali kutoa huduma hizo. Bakwata ni NGO inapata fursa za NGos kama NGos nyinginezo na hujasikia mtu akizungumzia NGos za wakristu..Kisha sii mwakilishi wa waislaam isipokuwa kwa tafsiri ya serikali ili kuendeleza mfumo kristu..
Mtaendelea kubisha kwa sababu mnapenda Udini lakini nawaambieni athari zake hakika tunaijenga Nigeria ya kesho kwani wao walianza vipi?

Watu kama nyie wenye chuki na dini za wengine ndio mnaoijenga Nigeria sababu mnapanda mbegu ya chuki kati ya wakristu na waislamu.
 
Watu kama nyie wenye chuki na dini za wengine ndio mnaoijenga Nigeria sababu mnapanda mbegu ya chuki kati ya wakristu na waislamu.
Kwanza ulianza vizuri sana kuniuliza kisha umerudi na kusema mimi nina chuki na dini za wengine. Kwani Ukristu ni dini ya nani, hivi leo nikitaka kuingia Ukristu kuna mtu atanizuia? niweje na chuki na dini ambayo sii yako ila ya Mungu? Jamani tuwe tunajenga hoja zenye manufaa.

Tunachozungumzia hapa ni katiba na jinsi serikali inavyoshirikiana na kanisa ktk mradi mkubwa wa serikali kama umeme..Kanisa halina record ya uzalishaji wa umeme wala sii kampuni ya uzalishaji umeme. Haya sii ndio yangekuwa maswali ya kujiuliza kabla ya shirika kupewa liseni ya kuzalisha Umeme. Sasa kanisa liunde shirika la kuzalisha umeme sii ndio yale yale ya Richmond, kuendea Dowans lna leo tumepachikiwa kampuni ya Kimareka. Je kuna ubaya gani mwananchi kuhoji uwekezaji huo?..Iweje kanisa lifanye biashara mbele za macho yetu lakini haturuhusiwi kuuliza..alaaah!

Chuki za Nigeria zimetokana na Waislaam kupewa nafasi kama hizi na mgawanyo mbaya wa rasilimali zao jambo ambalo naliona kuwa ni hatari kwa Tanzania, japokuwa kuna tofauti ya dini gani. Na nitasema mbele yenu kwamba yanayofanyika Nigeria nayalaani kuwapendelea Waislaam dhidi ya Wakristu, na ndio maana hawaendelei pamoja na utajiri mkubwa walokuwa nao. Sasa udini wangu uko wapi?..wewe unashindwa kukilaani kanisa hata wakikamatwa na Unga bado wamesingiziwa..

Leo nasema kitu hiki badala ya watu kutazama kama kweli linaweza kuleta uhasama imekuwa Mkandara ndiye mwenye Udini. Udini kwa kusema kilichokweli maanake kama ningetunga na kusingizia kitu ambacho hakipo mnaweza kudai hivyo lakini hii kitu iko mbele ya macho yenu lakini hamtaki kuona..Well, niiteni mdini lakini siku ya siku mtakapo jikuta katika hali ambayo amani imepotea ndipo mtakuja nikumbuka kama Nyerere - Mkandara alisema!
 
Kwanza ulianza vizuri sana kuniuliza kisha umerudi na kusema mimi nina chuki na dini za wengine. Kwani Ukristu ni dini ya nani, hivi leo nikitaka kuingia Ukristu kuna mtu atanizuia? niweje na chuki na dini ambayo sii yako ila ya Mungu? Jamani tuwe tunajenga hoja zenye manufaa.

Tunachozungumzia hapa ni katiba na jinsi serikali inavyoshirikiana na kanisa ktk mradi mkubwa wa serikali kama umeme..Kanisa halina record ya uzalishaji wa umeme wala sii kampuni ya uzalishaji umeme. Haya sii ndio yangekuwa maswali ya kujiuliza kabla ya shirika kupewa liseni ya kuzalisha Umeme. Sasa kanisa liunde shirika la kuzalisha umeme sii ndio yale yale ya Richmond, kuendea Dowans lna leo tumepachikiwa kampuni ya Kimareka. Je kuna ubaya gani mwananchi kuhoji uwekezaji huo?..Iweje kanisa lifanye biashara mbele za macho yetu lakini haturuhusiwi kuuliza..alaaah!

Chuki za Nigeria zimetokana na Waislaam kupewa nafasi kama hizi na mgawanyo mbaya wa rasilimali zao jambo ambalo naliona kuwa ni hatari kwa Tanzania. Leo nasema kitu hiki badala ya watu kutazama kama kweli linaweza kuleta uhasama imekuwa Mkandara ndiye mwenye Udini. Udini kwa kusema kilichokweli maanake kama ningetunga na kusingizia kitu ambacho hakipo mnaweza kudai hivyo lakini hii kitu iko mbele ya macho yenu lakini hamtaki kuona..Well, niiteni mdini lakini siku ya siku mtakapo jikuta katika hali ambayo amani imepotea ndipo mtakuja nikumbuka kama Nyerere - Mkandara alisema!

Mkandara,

Mie nimeyazungumza hayo hayo lakini badala kuwa wananisoma wanaona nina chuki na kanisa katoliki. Utafiti uliofanyika huko kwa jamaa Naija na benki kuu yao unasema tatizo la Boko Haram linasababishwa na economic opportunities rather than religious conflicts. Tatizo hilo hilo linalelewa na kukuzwa na serikali ya Tanzania. Just to give you a references soma Rwanda conflicts na source ya genocide. Inasemekana Kanisa Katoliki limechangia kwa kiwango kikubwa kwa kumezea maovu ya watutsi kwa vile wao walikuwa wafaidikaji wakubwa. Hembu soma hapa:-

The most detailed discussion of the role of religion in the Rwandan genocide is Timothy Longman's Christianity and Genocide in Rwanda.[SUP][5][/SUP] He argues that both Catholic and Protestant churches helped to make the genocide possible by giving moral sanction to the killing. Churches had longed played ethnic politics themselves, favoring the Tutsi during the colonial period then switching allegiance to the Hutu after 1959, sending a message that ethnic discrimination was consistent with church teaching. The church leaders had also long had close ties with the political leaders, and after the genocide began, the church leaders called on the population to support the new interim government, the very government that was supporting the genocide.

At the same time, churches were not uniformly supportive of the genocide. In the period leading up to the genocide, 1990-1994, major splits emerged within most churches between moderates who promoted democratic change and conservatives allied with the Habyarimana regime. Many of the clergy were Tutsi, and they generally supported democratic reform, but many moderate Hutu within the churches supported reform as well. Churches provided major support to the formation of the new human rights groups that emerged in the early 1990s. When the genocide began, some clergy and other church leaders opposed the violence, even at the risk of their own lives.[SUP][6][/SUP]


Wacha yakija kuripuka mtakuja kusema Akina Mdondoaji na Mkandara waliyasema.
 
Mkandara ndugu yangu sikufahamu lakini nafikiri mchango wako kwenye hii article unasikitisha kwa sababu fulani. Haimaanishi kwamba kama kanisa limeamua kujenga mitambo ya kuzalisha umeme, basi serikali inakumbatia mfumo Kristu. Sidhani kwamba, (na naomba kama nimekosea hapa nisahihishwe) katika suala zima la uzalishaji wa umeme haliruhusiwi kufanywa na taasisi yoyote ila serikali. Kama mtirirko wako wa mawazo utakuwa sahihi, basi hata mashule, mahospitali yanayomilikiwa na taasisi mbalimbali za kidini Tz, zingefanya serikali kukumbatia dini fulani. Hoja yako kuwa serikali imekumbatia mfumo Kristu haijengi, haionyeshi mantiki yoyote, na nafikiri inapaswa kuchukuliwa kwa dharau inayostahili.Hata serikali zilizoendelea duniani haziwezi kufanya kazi zote wenyewe. Wanategemea taasisi hasa za kidini. Ingekuwa kanisa katoliki imechukua jukumu la kuandika katiba mpya, au ya kuongoza wizara ya nishati na madini, basi article yako ingekuwa na uzito. Naomba kuwakilisha.
 
Mkandara ndugu yangu sikufahamu lakini nafikiri mchango wako kwenye hii article unasikitisha kwa sababu fulani. Haimaanishi kwamba kama kanisa limeamua kujenga mitambo ya kuzalisha umeme, basi serikali inakumbatia mfumo Kristu. Sidhani kwamba, (na naomba kama nimekosea hapa nisahihishwe) katika suala zima la uzalishaji wa umeme haliruhusiwi kufanywa na taasisi yoyote ila serikali. Kama mtirirko wako wa mawazo utakuwa sahihi, basi hata mashule, mahospitali yanayomilikiwa na taasisi mbalimbali za kidini Tz, zingefanya serikali kukumbatia dini fulani. Hoja yako kuwa serikali imekumbatia mfumo Kristu haijengi, haionyeshi mantiki yoyote, na nafikiri inapaswa kuchukuliwa kwa dharau inayostahili.Hata serikali zilizoendelea duniani haziwezi kufanya kazi zote wenyewe. Wanategemea taasisi hasa za kidini. Ingekuwa kanisa katoliki imechukua jukumu la kuandika katiba mpya, au ya kuongoza wizara ya nishati na madini, basi article yako ingekuwa na uzito. Naomba kuwakilisha.

Mkuu , hawa ndugu zetu ni wa kuacha tu kuwasikiliza... unaweza kupata ulcers bure ...!
Yaani kushindwa kwao kuweka mipango madhubuti ya maendeleo basi wanataka na kanisa liwe kama wao....yaani kila kitu kifanye serikali.
Serikali imewapa bure kiwanja na majengo ya Tanesco wakaanzisha chuo chao cha waislam pale na wanapata ruzuku ya kutosha lakini bado nikulalama. ..wanataka wapewe viwanja na hospitali bure waziite hospitali xxx za kiislam. Kifupi ni kwamba hawana initiative yeyote kwenye shughuli za maendelleo na hata priorities zao ziko kwenye mambo mengine. Wenzetu wamejikita sana kwenye dini na kuieneza wakati kwenye Kanisa kuna balance nzuri sana kati ya mambo ya imani na maendeleo. Hata tukienda back to square one.....tuseme hakuna MoU wala nini....hawa jamaa watalalama tu tena zaidi ya hapo kwa sababu wataachwa nyuma sana! Fact!
 
@Mkandara
katiba za Iran na Saudia....haisemi kunywa Pombe ni haramu isipokuwa inafuata Sharia Law na katika kutafsiri Sheria ...That's my point my friend. Kwamba sheria za nchi zinaongozwa na misingi ya dini fulani i.e Islam, hivyo sheria yoyote itakayokwenda kinyume na principles of Islam ni batili. Na ndio maana nikatoa mfano wa pombe, kwambe Islam inakataza kunywa pombe hivyo kama nchi inafuata SHARIA LAW basi unakuwa kwenye hatia. Haiwezekani kwa nchi inayofuata SHARIA LAW itafsiri sheria zake kinyume na Islam. Huo utakuwa ni usanii. Sasa Tanzani inatafsiri sheria zake kwa misingi ya dini ipi? Hapa ndio kiini cha serikali kuwa na dini ya la.

Katiba imetamka kwamba serikali yetu haina dini na nimewauliza ina maana gani ktk usemi huu - Again, sheria mama (katiba) haiko based kwenye specific dini. Nahisi hapa unataka ku-suggest kwamba kama serikali inashiriki kwenye shughuli ya dini fulani basi inakuwa na dini! Hii hoja ingewezekana kama dini ingekuwa 'inaambukiza'. Hivi kwa mfano Mkandara ukiwa na mwanafamilia mkristu na mkawa mnashirikiana kwenye mambo mbalimbali hata mkafikia mahali mkawa na kampuni pamoja ina maana wewe unakuwa mkristu? au yeye anakuwa mwislam? Ili mtu awe mkristo au mwislam anatakiwa afanye nini? Hivyo hivyo ili serikali iwe na dini inatakiwa ifanye nini?


Yanayofanyika sasa hivi serikali ipo karibu sana na kanisa kiasi kwamba inafungamana na kanisa na kuunda Partnership...It is natural kuwa karibu na mtu/watu walio na interest kama zako. Serikali na kanisa pengine wana mengi ya kuzungumza e.g kujenga shule, vyuo vikuu, kuchimba visima vya maji, miradi ya kufua umeme. Hivi wewe utataka kuwa karibu na mtu anayelalamika kila siku tu au yule anayetumia muda mwingi kuongea miradi ya maendeleo? Na kama utachunguza zaidi utagundua sio tu kanisa, serikali pia iko karibu na wahindi!
 
Nenda kasome kipengele cha divorce kinasemaje kwa waislamu usinifanye nikarudia kila mara maneno yale kwa yale. Au nenda katika thread ya mahakama ya kadhi na OIC nimekifafanua Sina muda wa kurudia rudia

Mdondoaji nimeitafuta huo mchango wako katika uzi ule na nimekuta kuwa si sahihi na unaonyesha kuwa huelewi kutafsiri sheria. Sikulaumu kama wewe si Mwanasheria ni kuwa hukusoma masomo ya "Legal Method na Jurisprudence." Mimi ni Wakili na mbali ya kuyasoma hayo nilisoma vilevile soma la Sheria za Familia na Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 ndiyo ilikuwa sehemu kubwa ya somo hilo. Nimeona mambo ya ajabu ajabu katika hoja zako. Ninachosema ni kuwa Sheria ya nchi yetu inatambua ndoa za aina mbili:
1. Ndoa ya Mke mmoja

2. Ndoa inayoweza kuwa ya wake wengi (potentially polygamous).

Ndoa zinazoweza kuwa za wake wengi ni za kitamaduni, kitamaduni na kiserikali. Ndoa za Kikristu ni za mke mmoja.
Wafungishaji wake ni Wasajili wa ndoa. Wa aina ngapi? Kiserikali (mara nyingi Mkuu wa Wilaya), na viongozi wa kidini wa dini mbalimbali, na kitamaduni Sina uhakika kama hawa wa kitamaduni kama wamepewa vyeti hivyo na serikali. Nani analipwa mshahara? Mkuu wa Wilaya tu kama mfanyakazi wa serikali.

Sheria ya ndoa inaruhusu talaka. Sheria au mafunzo ya ukristu hayaruhusu talaka, isipokuwa kwa uzinzi tu. Kwa wakatoliki hata hilo halikubaliki"kwani alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe." Kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na sheria moja ya ndoa Serikali iliamua kuzileta ndoa hizi katika sheria moja licha ya kutofautiana kwa mafunzo na kanuni ya dini zao. Kwa taarifa yako hakuna muswada uliojadiliwa sana kama sheria ya nchi kama huo na Wanawake (UWT), wakiongozwa na Mama Sofia Kawawa, walichachamaa sana kuweka vipengele vya kuwalinda na kutambuliwa.

Sasa kama kuna hoja nyingine kuhusiana na mfumo wa ndoa zetu unaweza kusema na nikipata muda nitajibu kwani nasema unazungumza na mtu anayejua nini anasema.
 
Nashindwa kuelewa watu ambao wako nje za nchi wanapolalamika pale wananchi wanapopata huduma nyeti ya umeme kwa sababu tuu imeletwa na Wakatoliki, inahuzunisha sana! Mimi sijali kabisa kuhusu hizi dini zilizoletwa na wazungu au waarabu, lakini dini yeyote ambayo itaplay part yake katika kumwinua mwananchi nitaisupport 100%. Zaidi ya yote, ni lazima tutambue ya kuwa hakuna sheria inayokataza dini kufanya biashara!
 
Mdondoaji nimeitafuta huo mchango wako katika uzi ule na nimekuta kuwa si sahihi na unaonyesha kuwa huelewi kutafsiri sheria. Sikulaumu kama wewe si Mwanasheria ni kuwa hukusoma masomo ya "Legal Method na Jurisprudence." Mimi ni Wakili na mbali ya kuyasoma hayo nilisoma vilevile soma la Sheria za Familia na Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 ndiyo ilikuwa sehemu kubwa ya somo hilo. Nimeona mambo ya ajabu ajabu katika hoja zako. Ninachosema ni kuwa Sheria ya nchi yetu inatambua ndoa za aina mbili:
1. Ndoa ya Mke mmoja

2. Ndoa inayoweza kuwa ya wake wengi (potentially polygamous).

Ndoa zinazoweza kuwa za wake wengi ni za kitamaduni, kitamaduni na kiserikali. Ndoa za Kikristu ni za mke mmoja.
Wafungishaji wake ni Wasajili wa ndoa. Wa aina ngapi? Kiserikali (mara nyingi Mkuu wa Wilaya), na viongozi wa kidini wa dini mbalimbali, na kitamaduni Sina uhakika kama hawa wa kitamaduni kama wamepewa vyeti hivyo na serikali. Nani analipwa mshahara? Mkuu wa Wilaya tu kama mfanyakazi wa serikali.

Sheria ya ndoa inaruhusu talaka. Sheria au mafunzo ya ukristu hayaruhusu talaka, isipokuwa kwa uzinzi tu. Kwa wakatoliki hata hilo halikubaliki"kwani alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe." Kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na sheria moja ya ndoa Serikali iliamua kuzileta ndoa hizi katika sheria moja licha ya kutofautiana kwa mafunzo na kanuni ya dini zao. Kwa taarifa yako hakuna muswada uliojadiliwa sana kama sheria ya nchi kama huo na Wanawake (UWT), wakiongozwa na Mama Sofia Kawawa, walichachamaa sana kuweka vipengele vya kuwalinda na kutambuliwa.

Sasa kama kuna hoja nyingine kuhusiana na mfumo wa ndoa zetu unaweza kusema na nikipata muda nitajibu kwani nasema unazungumza na mtu anayejua nini anasema.

Rugemeleza, naifahamu vizuri sheria tena pengine nimesoma zaidi yako (kwasababu ni watu wachache tanzania wanaweza kusema wana degree tatu na kuendelea) . Usifikiri unazungumza na mtu asiyefahamu sheria. Kwanza lazima ufahamu serikali inatambua ndoa ya monogamous na polygamous lakini ukiisoma sheria what is a priority for the government is monogamous marriage na ndio inayotambulia na serikali. Polygamous marriage inachukuliwa kipengele sawa na traditional marriages in Tanzania.

Tukija katika talaka sheria na mafunzo ya uislamu pia kuna mafundisho na talaka ni jambo la mwisho katika ndoa. Tatizo linakuja wakati serikali inatambua uwepo wa kamati za maelewano za kanisa. Kamati za maelewano za waislamu hazipo. Vile vile ndoa za waislamu zinaozeshwa na masheikh wa mitaani ambapo zinakosa legitimacy of being a binding contract. Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema ndoa za waislamu zitaozeshwa na kadhi lakini kadhi mwenyewe hamuwataki badala yake mmewaruhusu masheikh wa mitaani waozeshe. Ndio maana waislamu wengi wanaachwa kama kuku na watoto wengi mitaani ni wa kiislamu kwasababu mirathi ya waislamu inakuwa inakosa mtu wa kuwasimamia. Sheria za Tanzania ziko canonical zaidi kuliko kufuata misingi na maadili ya tanzania.

Najua vizuri nini naongea ndugu next time njoo tena na hoja nyengine usifikiri unajadiliana na mtu kihiyo .
 
Kwani wewe hujui hilo Serikali ina sababu gani za msingi kukataa Tanzania kuwa mjumbe wa OIC? Vile vile kuna pesa za Opec waulize jamaa wa hazina zilikuwa zinaenda wapi kabla ya Malima kuja kusambaratisha network. Sasa hivi kanisa linajua ule mrija wa kuiba hela unaelekea ukingoni unakuja na miradi ya kuifunga serikali na mikataba. Ndio maana nauliza kanisa katoliki linafanya biashara? Sijawahi kusikia katika nchi zilizoendelea kanisa likawa na miradi ya biashara only in Tanzania ajabu sana.

Nadhani suala la maendeleo tutajiletea sisi wenyewe siyo OIC, OPEC, IMF, EU, nk. Hakuna organization au mtu ambaye atabeba maendeleo kwenye bakuli na kukuletea wewe mezani kwako. Kuna tofauti kubwa kati ya wahisani wa makanisani na wahisani wa misikitini. Wa miskitini wanajikita zaidi kuigawa jamii kati ya wao na sisi, misaada yao inalenga zaidi jamii moja tu na inaambatana na kuwafundisha chuki wale wanaonufaika na hiyo misaada. Chuki ikishajengeka kinachofuata ni kupandikiza wapiganaji (mujaheedin) ambao watachoma maduka ya nguruwe na pombe na kutangaza nchi ni ya kiislam. Wale wahisani wa kanisani wao wanalenga jamii yote bila ubaguzi wanakusudia kuwatatulia watu matatizo ya kimaisha ya kila siku. Ni kweli kwa kufanya hivyo pia wanaifikishia jamii ujumbe kuwa kuna Mungu anayewapenda ambaye ndo mtoaji wa huduma bora za kimaisha na kwamba wao ni vyombo tu anavyovitumia kuwafikia wanyonge. Mwisho wake jamii zilizofikiwa na wahisani wa makanisani zinastawi na kuwa na amani, zile zingine zinaingia kwenye mvurugano na machafuko yasiyokoma
 
Rugemeleza, naifahamu vizuri sheria tena pengine nimesoma zaidi yako (kwasababu ni watu wachache tanzania wanaweza kusema wana degree tatu na kuendelea) . Usifikiri unazungumza na mtu asiyefahamu sheria. Kwanza lazima ufahamu serikali inatambua ndoa ya monogamous na polygamous lakini ukiisoma sheria what is a priority for the government is monogamous marriage na ndio inayotambulia na serikali. Polygamous marriage inachukuliwa kipengele sawa na traditional marriages in Tanzania.

Tukija katika talaka sheria na mafunzo ya uislamu pia kuna mafundisho na talaka ni jambo la mwisho katika ndoa. Tatizo linakuja wakati serikali inatambua uwepo wa kamati za maelewano za kanisa. Kamati za maelewano za waislamu hazipo. Vile vile ndoa za waislamu zinaozeshwa na masheikh wa mitaani ambapo zinakosa legitimacy of being a binding contract. Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema ndoa za waislamu zitaozeshwa na kadhi lakini kadhi mwenyewe hamuwataki badala yake mmewaruhusu masheikh wa mitaani waozeshe. Ndio maana waislamu wengi wanaachwa kama kuku na watoto wengi mitaani ni wa kiislamu kwasababu mirathi ya waislamu inakuwa inakosa mtu wa kuwasimamia. Sheria za Tanzania ziko canonical zaidi kuliko kufuata misingi na maadili ya tanzania.

Najua vizuri nini naongea ndugu next time njoo tena na hoja nyengine usifikiri unajadiliana na mtu kihiyo .

Mdondoaji bana ni lini utajiamini katika hoja na si auxiliaries? Kuwa na degree zaidi ya tatu hakukufanyi kuwa na hoja nzito zaidi ya wengine. Besides kwa maandishi yako tu unaonyesha shule yako ni ya kuunga unga Zanaki jioni, cheti DSA, mara Masomo maalum Mgulani. Ok humu tunaeleweshana thru experience, uelewa wa jambo na pia upana wake lakini si nani ana degree ngapi. It's only pple with very low self esteem na wasiojiamini wanaopenda kucheza ngoma hiyo. Na bahati nzuri JF si mahala pake, kuna taaluma za kila aina humu. Man up, lete hoja na si vioja.
 
Wakatoliki ndiyo wanaokula hela za nchi. Ndiyo maana Lowassa ndiyo kiongozi wao anaowasaidia kupata hizi dili.

Huu ni UFISADI. Hizi ni hela za WTZ; kwa nini zinatumika kujenga miradi ya Kanisa? Tunataka nchi yetu ASAP
 
Mdondoaji bana ni lini utajiamini katika hoja na si auxiliaries? Kuwa na degree zaidi ya tatu hakukufanyi kuwa na hoja nzito zaidi ya wengine. Besides kwa maandishi yako tu unaonyesha shule yako ni ya kuunga unga Zanaki jioni, cheti DSA, mara Masomo maalum Mgulani. Ok humu tunaeleweshana thru experience, uelewa wa jambo na pia upana wake lakini si nani ana degree ngapi. It's only pple with very low self esteem na wasiojiamini wanaopenda kucheza ngoma hiyo. Na bahati nzuri JF si mahala pake, kuna taaluma za kila aina humu. Man up, lete hoja na si vioja.

Tena sana you can call it arrogance or confidence but I speek with authority and substance. For your information nimesoma top universities in the world tena top 50 universities in world sio UDSM pekee. Ungelianza kwanza kumuelimisha huyo Rugemeleza aliyetamka kwamba yeye ni mwanasheria na kuleta kauli za kebehi kuwa mie siijui sheria kwa vile yeye ni wakili. What makes him think mie sio wakili au jaji au professa wa sheria? Hata kama mie muuza kahawa hajibu kwanini sheria za tanzania zinachukulia urahisi sheria za ndoa za waislamu kama vile hazina umuhimu wowote nchini na sheria za wakristo kupewa uzito wa kipaumbele? Hata hivyo hilo sio mada husika.

Suala la msingi katika mada ya hapa ni je serikali hii inaweza kuingia mkataba wa biashara na kanisa katoliki? Je serikali ina dini? What if ingelikuwa waislamu ndio wamefungua mradi huu na sheikh mkuu Mufti Shaaban Simba je serikali ingelikubali kuingia mkataba na Mufti kufanya biashara? Hoja ya maana iko wapi? Kwasababu hamjibu suali la msingi kama serikali ina dini au la? Vile vile mnashindwa kuona tatizo lililopo na badala yake mnasukumwa na utashi wa dini.
 
hawa refugees ( alliens ) wanatapatapa kila kukicha katika hili, mtake msitake huu ni wivu mbaya wa maendeleo, leo hii mnataka wananchi wenye imani tofauti waendelee kuishi katika giza kisa eti umeme unazalishwa na kanisa, huu ni ufinyu wa akili na ukatili kwa binadamu

kaeni huko huko ukimbizini tena msirudi huku
 
Tena sana you can call it arrogance or confidence but I speek with authority and substance. For your information nimesoma top universities in the world tena top 50 universities in world sio UDSM pekee. Ungelianza kwanza kumuelimisha huyo Rugemeleza aliyetamka kwamba yeye ni mwanasheria na kuleta kauli za kebehi kuwa mie siijui sheria kwa vile yeye ni wakili. What makes him think mie sio wakili au jaji au professa wa sheria? Hata kama mie muuza kahawa hajibu kwanini sheria za tanzania zinachukulia urahisi sheria za ndoa za waislamu kama vile hazina umuhimu wowote nchini na sheria za wakristo kupewa uzito wa kipaumbele? Hata hivyo hilo sio mada husika.

Suala la msingi katika mada ya hapa ni je serikali hii inaweza kuingia mkataba wa biashara na kanisa katoliki? Je serikali ina dini? What if ingelikuwa waislamu ndio wamefungua mradi huu na sheikh mkuu Mufti Shaaban Simba je serikali ingelikubali kuingia mkataba na Mufti kufanya biashara? Hoja ya maana iko wapi? Kwasababu hamjibu suali la msingi kama serikali ina dini au la? Vile vile mnashindwa kuona tatizo lililopo na badala yake mnasukumwa na utashi wa dini.

Hahaha ahahaha! Yaani hoja ya umeme vijijini sasa tunatambiana kusoma ndani ya the top 50 universities in the world? Mkuu huo ni ulimbukeni na uthibitisho kwamba elimu yako ni ya mashaka na ya kuunga unga. Kwa nini hujiamini kiasi hicho ndugu yangu???. Sasa naelewa kwa nini umekubuhu kushusha pumba kila kukicha. Humu tunajadili hoja na si nani kasoma nini na wapi. Hayo ni mambo ya vijiweni na si JF.

That is too low mkuu, humu tunasomana maandishi wala hakuna haja ya kufahamiana wewe ni nani na umesoma nini. Ni wajinga wajinga tu wanaweza kutishwa na eti fulani kasoma wapi!!

Alichosema Rugemeleza ni hiki hapa chini:

Mdondoaji nimeitafuta huo mchango wako katika uzi ule na nimekuta kuwa si sahihi na unaonyesha kuwa huelewi kutafsiri sheria. Sikulaumu kama wewe si Mwanasheria ni kuwa hukusoma masomo ya "Legal Method na Jurisprudence." Mimi ni Wakili na mbali ya kuyasoma hayo nilisoma vilevile soma la Sheria za Familia na Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 ndiyo ilikuwa sehemu kubwa ya somo hilo. Nimeona mambo ya ajabu ajabu katika hoja zako. Ninachosema ni kuwa Sheria ya nchi yetu inatambua ndoa za aina mbili:

Sasa ghafla mkuu badala ya kujibu hoja unakimbilia kwenye premise ya kusoma degree zaidi ya tatu kwenye top 50 universities in the world. Poor you. Kutokufahamu usichofahamu si kosa na wala si kukosa hadhi. Hakuna anayefahanu au aliyesomea kila kitu. Sasa mkuu nadhani kwa sababu ya kupenda ligi na kulazimisha kuaminiwa unaingiza mambo tofauti kabisa. Kweli Tanzania zaidi ya uijuavyo.
 
Kwa vyo vyote tuna haki ya kuwapongeza Kanisa Kaotliki kwa jitihada kubwa za kujali huduma za kiroho na za kimwili. Njombe, Ludewa, Makete na sehemu nyingine za ukanda wa kusini zimeokolewa na wamisiononari, vinginevyo mpaka leo kungebaki nyuma sana. Wamisionari Wabenedikitini kutoka Ujerumani ambao moto yao ni sala na kazi na kuwa kitovu cha uanzishaji wa shule mbalimbali kanda za kusini wamekuwa ndio mkombozi na bado hadi leo baada ya wananchi kushika hatamu za uendeshaji wa huduma za kiroho na kimwili lakini bado wanatupia macho kuondoa kero katika elimu, afya na maendeleo. Tujadili mafanikio yao badala ya kuendekeza mianya ya kidini.
 
Back
Top Bottom