Uchaguzi 2020 Kikwete: CCM ni chama cha dini zote, makabila yote, taaluma zote na wanasanaa wote kichagueni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais mstaafu Dr Kikwete amesema tofauti na vyama vingine CCM ni chama cha dini zote na madhehebu yote kwa mfano waislamu kuna Shia, Sunni.
CCM ni chama cha makabila yote zaidi ya 120

CCM ni chama cha wataalamu wote

CCM ni chama cha wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara

CCM ni chama cha wasanii katika sanaa zote.

Hivyo amewaomba Wananchi wakichague tena katika mkutano mkubwa wa kampeni jimboni Ukonga jana.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
 
CHADEMA ni chama cha watanzania wote na kinapendwa kwa dhati kila kijiji na ni mkombozi wa watanzania kutoka kwa mkoloni mweusi.
 
Ponda kawavuruga, na kawachanganya hasa, pwani ya waislamu inaenda kumpa lissu Kura nyingi
 
Magufuli anastahili kwa asilimia 100 kwani dira yetu watanzania
 


 
Counter attack ni pigo baya sana.
 
huyu aanzishe urafiki na Tundu Lissu mapema mapema ili abahatishe amnesty!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…