Uchaguzi 2020 Kikwete: CCM ni chama cha dini zote, makabila yote, taaluma zote na wanasanaa wote kichagueni

Vipi Ile kauli ya chadema ni chama Cha kikiristo imeishia wapi maana siisikii tena
 
 
Mzee Kikwete anafanya kampeni kwa shingo upande
 
Chama kinakuwaje na taaluma zote kama sio chama dola. Kama hivyo vingine havina sifa hizo si vingekuwa vimefutwa kwa muibu wa sheria na katiba.
 
Ponda kamata hapo hapo
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili Pombe
Waislamu wa haki hatuwezi kudanganywa Tena sisi tupo na ponda kura kwa Lissu
 
Kwa lile hekalu lazima ambembeleze jiwe
 
Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze Kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasijitokeze Mbaka ipatikane katiba mpya, Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa wata lalamika wameibiwa kura.
 
Waislamu mliwaua 1999, 2000 na mmewafunga masheikh wao
 
Hakuna Chama chenye wanafiki wa kidini kama CCM huko ndio jaa la wanafiki,halafu huna hata haja ya kutafuta ushahidi,jamaa wanaadhirika mchana kweupe,wamesahau msemo usemao usihadaike na kiza ......njiani.
Kiza ni utawala wa CCM ,umewahadaa na kujiona wao wanaijua dini kuliko wengine na kufikiria watafanikiwa kuwaburuza wananchi wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…