Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Na usikute ni wao waliomuweke Othman Chande pale alipo!, then wao ndio the most powerful persons in Tanzania!, usikute hata ni hao hao ndio waliyemuweka Rashid Othman pale alipo!, usikute ndie waliyemuweka Said Mwema pake alipo!, usikute ndio waliyemuweka Davis Mwamunyange pale alipo!, usikute ndo waliomuweka Hosea pale alipo!, and the list goes on...then if that is true, hii inamaanisha 100% sure 2015 ni Lowassa!. Hii inamaanisha JK na serikali yake yote si chochote, si lolote kwa watu hawa! This is not a joke!.

Hakuna siri ndani ya TISS, kwamba RO aliwekwa na ENL na RA, chini ya usimamizi wa Abson. Chaguo lingine la mtu wa kumrithi Abson, mbali ya RO, lilikuwa ni pamoja na watu kama Job Masima, ambae kwa sasa ni Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi. Kilichomnyima Masima nafasi hiyo ni pamoja na ubinamu wake na Mzee Malecela. Vinginevyo, Masima bado ni mtu wa karibu sana kina Abson, ENL, RA.
Licha ya kustaafu mwaka 2008, Abson bado ana nguvu kubwa sana ndani ya TISS. Lakini vilevile, Hassy Kitine pia bado ana wafuasi wengi sana TISS. Suala hili lina historia ndefu kidogo. Kuna mtu anaitwa Mwambulukutu - huyu alikuwa balozi wa Tanzania Afrika Kusini kipindi fulani. Miaka ya awali ya 1970s, Mwambulukutu aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Personal and Administration, TISS, chini ya Hassy Kitine, ambae alikuwa Mkurugenzi Mkuu. Mwambulukutu na Kitine walipewa jukumu na Nyerere kuifumua idara ya usalama na kuindua upya na kuzaa TISS miaka ya mwanzo ya 70. Hatua hiyo ilitokana na Nyerere kugundua kwamba mfumo uliorithiwa baada ya ukoloni ungemletea shida baadae. Ni Mwambulukutu ndiye alim discover Bernard Membe na kumwajiri TISS na kum groom, pamoja na vijana wengine kadhaa. Na membe huwa yupo muwazi sana juu ya suala hili. Pia katika miaka ya 70 kulitokea tatizo la kiutendaji kwa upande wa Abson, hivyo kupelekea Kitine kumfukuza kazi mara moja, Abson, lakini Mwambulukutu ndiye aliemwokoa kwa kumuombea msamaha Abson kwa Kitine. Msamaha huo ndio uliomwokoa Abson mpaka kustaafu kwake 2008.

Miaka ya 2006-2007, kulikuwa na tetesi kwamba Mwambulukutu alikuwa anarudi Tanzania kuja chukua nafasi ya RO pale TISS, kwani RO hakubaliki na upande wa JK. Na kwa muda mrefu sana, RO na Mwambulukutu hawakuwa wanaiva, kwani mara kadhaa wamekuwa na migongano. Mwambulukutu ana mwanae mmoja ambae alikuwa TISS tangia kipindi cha Mkapa, lakini inasemekana kwamba tofauti zake na RO kikazi, zikapelekea RO kumsimamisha kazi kijana huyo. Vile vile kuna tetesi zilizopo kwenye corridor za TISS ni kwamba ajali iliyomkumba Mwambulukutu mwaka 2007 nchini Afrika ya Kusini, lilikuwa ni jaribio la makusudi la kuchukua maisha yake. Tetesi ni kwamba majambazi yalikodiwa kutoka msumbiji, Zimbabwe na Afrika ya kusini, na ENL, RO, RA, na maafisa wa TISS ubalozini Afrika Kusini walikuwa wana ufahamu mpango wote, hatua kwa hatua. Na hata uvamizi huo ulipotokea, uchunguzi wa kipolisi ukafutwa haraka sana kwa maombi kutoka Dar-es-salaam. Na hata Rais Mbeki kwenda kumpa pole Mwambulukutu hospitali, ilikuja baada ya Mbeki kuomba ruksa rasmi Ikulu Dar-es-salaam, kitu ambacho Kikwete alikiruhusu mara moja. Inasemekana pia kwamba Abson alitumwa rasmi na serikali kwenda Afrika ya Kusini kuweka mambo sawa.

Zipo juhudi za chini kwa chini za kumwondoa RO TISS lakini zinagonga mwamba kutokana na mkono wa kina RA na EL. RO amekuwa ni kero kwa JK, kwani uaminifu wake upo zaidi kwa ENL, RO, January, Abson na wengineo katika kundi hilo. ENL, RA pia ndio waliomweka Mwamnyange na Said Mwema kwenye nafasi zao za sasa. Safari ya ENL 2015 ina mizizi mirefu, na haitakuwa rahisi kumzuia katika nafasi hiyo. TISS imegawanyika katika makundi matatu – Kundi la waadilifu (watu wa Nyerere kama kina Kitine n.k), Kundi linalowaunga mkono RA, ENL, Abson, January, na kundi dogo linalomuunga mkono Kikwete. Kinachompa nguvu ENL pia ni kuungwa kwake mkono na Balozi na taasisi nyingi za kimataifa zilizopo Tanzania. Kwa wote hawa, chaguo lao kwa 2015 ni ENL, kutokana na uchapa kazi wake, pamoja na mtindo wake wa uongozi ambao wanasema unaendana sana na matakwa ya wawekezaji.
 
And this is 2012 hahah ahahaha ahahahah!!!!!!!!!!!!! Naona bora tukapige mbege tu!
 
Hakuna siri ndani ya TISS, kwamba RO aliwekwa na ENL na RA, chini ya usimamizi wa Abson. Chaguo lingine la mtu wa kumrithi Abson, mbali ya RO, lilikuwa ni pamoja na watu kama Job Masima, ambae kwa sasa ni Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi. Kilichomnyima Masima nafasi hiyo ni pamoja na ubinamu wake na Mzee Malecela. Vinginevyo, Masima bado ni mtu wa karibu sana kina Abson, ENL, RA.
Licha ya kustaafu mwaka 2008, Abson bado ana nguvu kubwa sana ndani ya TISS. Lakini vilevile, Hassy Kitine pia bado ana wafuasi wengi sana TISS. Suala hili lina historia ndefu kidogo. Kuna mtu anaitwa Mwambulukutu - huyu alikuwa balozi wa Tanzania Afrika Kusini kipindi fulani. Miaka ya awali ya 1970s, Mwambulukutu aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Personal and Administration, TISS, chini ya Hassy Kitine, ambae alikuwa Mkurugenzi Mkuu. Mwambulukutu na Kitine walipewa jukumu na Nyerere kuifumua idara ya usalama na kuindua upya na kuzaa TISS miaka ya mwanzo ya 70. Hatua hiyo ilitokana na Nyerere kugundua kwamba mfumo uliorithiwa baada ya ukoloni ungemletea shida baadae. Ni Mwambulukutu ndiye alim discover Bernard Membe na kumwajiri TISS na kum groom, pamoja na vijana wengine kadhaa. Na membe huwa yupo muwazi sana juu ya suala hili. Pia katika miaka ya 70 kulitokea tatizo la kiutendaji kwa upande wa Abson, hivyo kupelekea Kitine kumfukuza kazi mara moja, Abson, lakini Mwambulukutu ndiye aliemwokoa kwa kumuombea msamaha Abson kwa Kitine. Msamaha huo ndio uliomwokoa Abson mpaka kustaafu kwake 2008.

Miaka ya 2006-2007, kulikuwa na tetesi kwamba Mwambulukutu alikuwa anarudi Tanzania kuja chukua nafasi ya RO pale TISS, kwani RO hakubaliki na upande wa JK. Na kwa muda mrefu sana, RO na Mwambulukutu hawakuwa wanaiva, kwani mara kadhaa wamekuwa na migongano. Mwambulukutu ana mwanae mmoja ambae alikuwa TISS tangia kipindi cha Mkapa, lakini inasemekana kwamba tofauti zake na RO kikazi, zikapelekea RO kumsimamisha kazi kijana huyo. Vile vile kuna tetesi zilizopo kwenye corridor za TISS ni kwamba ajali iliyomkumba Mwambulukutu mwaka 2007 nchini Afrika ya Kusini, lilikuwa ni jaribio la makusudi la kuchukua maisha yake. Tetesi ni kwamba majambazi yalikodiwa kutoka msumbiji, Zimbabwe na Afrika ya kusini, na ENL, RO, RA, na maafisa wa TISS ubalozini Afrika Kusini walikuwa wana ufahamu mpango wote, hatua kwa hatua. Na hata uvamizi huo ulipotokea, uchunguzi wa kipolisi ukafutwa haraka sana kwa maombi kutoka Dar-es-salaam. Na hata Rais Mbeki kwenda kumpa pole Mwambulukutu hospitali, ilikuja baada ya Mbeki kuomba ruksa rasmi Ikulu Dar-es-salaam, kitu ambacho Kikwete alikiruhusu mara moja. Inasemekana pia kwamba Abson alitumwa rasmi na serikali kwenda Afrika ya Kusini kuweka mambo sawa.

Zipo juhudi za chini kwa chini za kumwondoa RO TISS lakini zinagonga mwamba kutokana na mkono wa kina RA na EL. RO amekuwa ni kero kwa JK, kwani uaminifu wake upo zaidi kwa ENL, RO, January, Abson na wengineo katika kundi hilo. ENL, RA pia ndio waliomweka Mwamnyange na Said Mwema kwenye nafasi zao za sasa. Safari ya ENL 2015 ina mizizi mirefu, na haitakuwa rahisi kumzuia katika nafasi hiyo. TISS imegawanyika katika makundi matatu – Kundi la waadilifu (watu wa Nyerere kama kina Kitine n.k), Kundi linalowaunga mkono RA, ENL, Abson, January, na kundi dogo linalomuunga mkono Kikwete. Kinachompa nguvu ENL pia ni kuungwa kwake mkono na Balozi na taasisi nyingi za kimataifa zilizopo Tanzania. Kwa wote hawa, chaguo lao kwa 2015 ni ENL, kutokana na uchapa kazi wake, pamoja na mtindo wake wa uongozi ambao wanasema unaendana sana na matakwa ya wawekezaji.
mtoahabari, kwanza karibu sana jf, wewe ni mtu muhimu sana hapa kutupa hizo za corridors za TISS.

Kusema ukweli, mimi nimezungumza na EL Desemba mwanzoni, nimemnote kama afya yake ni dhoofu!, kama yuu dhoofu sasa, 2012, jee 2015 atakuwaje?.
 
mtoahabari, kwanza karibu sana jf, wewe ni mtu muhimu sana hapa kutupa hizo za corridors za TISS.

Kusema ukweli, mimi nimezungumza na EL Desemba mwanzoni, nimemnote kama afya yake ni dhoofu!, kama yuu dhoofu sasa, 2012, jee 2015 atakuwaje?.

Asante sana Pasco,
Hata mimi binafsi nimemuona katika hali hiyo hiyo, lakini nasikia kuna dawa anaitumia nadhani ameletewa kutoka Malaysia, ambayo anaipaka kumsaidia kupunguza mikono kucheza cheza baada ya ile mild stroke aliyoipata miezi kadhaa iliyopita. Tatizo jingine na ENL ni kilevi - anakunywa sana Remmy Martin kavu, na ni kawaida kumaliza chupa moja kwa siku; vinginevyo ana umri mzuri tu kwa ndoto za mwaka 2015, kwani by that time atakuwa na miaka kama 61 au 62. Familia yake ingemshauri apunguze kilevi, na aendelee na mazoezi (kwani kwa kawaida anafanya sana mazoezi). Pia ni muhimu ajiangalie sana na wapambe wake maana hawa ndio wanaomletea matatizo ya kiharusi, presha etc. Wao wanamwita ENL The God Father, and in the process wanamtwisha mzigo mkubwa sana kimawazo kutokana na taarifa zao kwake kila siku za majungu n.k, kwani wao wanajipangia tayari vyeo, tender, ujaji, n.k. Vinginevyo JK sio hofu kwa ENL hata kidogo, huyo alishamkabili tangia mwaka 1995.
 
Wacha wa-kolimbane kwani si wote Mafisadi?
 
Asante sana Pasco,
Hata mimi binafsi nimemuona katika hali hiyo hiyo, lakini nasikia kuna dawa anaitumia nadhani ameletewa kutoka Malaysia, ambayo anaipaka kumsaidia kupunguza mikono kucheza cheza baada ya ile mild stroke aliyoipata miezi kadhaa iliyopita. Tatizo jingine na ENL ni kilevi - anakunywa sana Remmy Martin kavu, na ni kawaida kumaliza chupa moja kwa siku; vinginevyo ana umri mzuri tu kwa ndoto za mwaka 2015, kwani by that time atakuwa na miaka kama 61 au 62. Familia yake ingemshauri apunguze kilevi, na aendelee na mazoezi (kwani kwa kawaida anafanya sana mazoezi). Pia ni muhimu ajiangalie sana na wapambe wake maana hawa ndio wanaomletea matatizo ya kiharusi, presha etc. Wao wanamwita ENL The God Father, and in the process wanamtwisha mzigo mkubwa sana kimawazo kutokana na taarifa zao kwake kila siku za majungu n.k, kwani wao wanajipangia tayari vyeo, tender, ujaji, n.k. Vinginevyo JK sio hofu kwa ENL hata kidogo, huyo alishamkabili tangia mwaka 1995.
Mtoahabari, asante sana kwa taarifa hizi, natumaini ujumbe huu mzito, umeshamfikia EL, au wapambe wake waliota alaki humu jf watampelekea na kuvuta kama kweli anakata!.

Kusema ukweli, mimi binafsi ni miongoni mwa watu waliofarijika sana na ujio wako humu mtandaoni, speculations zimekuwa nyingi kuliko uhalisia hivyo uweko wako ni checks and balance muhimu sana.

Tukiachana na EL, jee huku kuugua kwa Prof.M na Dr.HM jee kuna kwa ukweli ni vijana wa kazi, au mnasingiziwa?.
 
Pasco! Mimi nakuona Kama mtu yeyote wa Kitanzania wenye tabia za kufanana, wenye umaskini mwingi, wenye tabia ya kujipendekeza Na wenye uchu wa madaraka tena kuupata kwake tunategemea fadhila, wote tumeoza hakuna aliyepona katika hili, lol natania tu. Lakini pili, umesema una MAPENZI Na nchi yako, hivi ni EL tu ndo bora kuliko wote in this country? Tumeomba basi tupeni mazuri ya EL tuyaone mtuaminishe nasi tumpigie chapuo. Mimi naona hata Kama suala la Richmond halikuwa lake Kama Kiongozi safi alitakiwa kuwa upande wa nchi yake si upande wa ubinafsi wake eti ape we fadhila za uraisi, je ni Viongozi tuwatakao? Niaminishe Pasco.
 
JokaKuu, JK na EL hawajakosana, na wala hawajakutana barabarani hivyo ni wale wale they are one and only, tofauti yao ni sisi tunaowatazama, umdhanie ndiye, siye!, na umdhaniye siye, ndiye!. Kuna mmoja kati yao anayeonekana mchafu, kumbe ndiye msafi, ila uchafu ni kweli ameubeka ili mwenzake aonekane msafi!

Kwa wenye kumbukumbu ya 2005, JK na EL walichgukua fomu pamoja na kuzisainisha pamoja, walikodi ndege moja kwenda kuzirudisha fomu zao kwa pamoja kule Dodoma, na baada ya Mkapa kupitishwa, walifanya press conference ya pamoja na JK akalalamikia kupigwa zengwe!.

Ben baada ya kushinda, akashauriwa na sytem enzi za Abson, ambao ndio hao hao kina EL na RA, kuwa ni lazima awatumie kwenye cabinet yake, ili kuwaconsole wafuasi wao, kama walivyompa umakamo wa rais, Dr. Bilal, lengo ni kuwapooza tuu wafuasi wake kule Zanzibar ili wasipige kura ya chuki dhidi ya Shein ili kuiadhibu CCM.

Kwa vile hawa ni mafahali wawili, mara tuu baada ya kuingia cabinet, wakaamua wakiendelea kupigana, ziumiazo ni nyika, hivyo wakatengeneza mtandao wa "the winning coalition" kujiandaa kwa 2005 na kuamua iwe isiwe, lazima mmoja kati yao ateuliwe. Yeyete aliyeonekana anaweza kuwa kikwazo, alishughulikiwa ipasavyo akiwemo Magufuli, na Mwandosya, wenye kumbukumbu mtakumbuka makambora ya scandali baada ya scandali za dhidi yao zilivurumishwa.

EL na JK walijiwekea their own secret accord, (Hawakukutana barabarani), wakakubaliana JK ndie achukue fomu na EL asichukue, kwa ahadi kuwa EL atakuwa PM na baada ya zamu ya JK, EL ndie angefuatia automatically!.

CCM ilipobakiza wagombea watatu, JK , Dr. Salim na Prof. Mwandosya, zengwe lililovurumishwa kwa Dr. Salim mnalijua, mpika zengwe mnamjua na shukrani kwa wapakuaji wa hilo zengwe mnajua walivyozawadiwa!. Mtu wa ajabu kabisa kwenye CCM ni Mkapa, anajua wazi kabisa ukweli kuhusu Dr. Salim na uwezo wa JK ukimlinganisha na Mwandosya, lakini Mwenyekiti wa CCM, kama zuzu vile ( naamini teknolojia ya Mlingotini ilitumika!), alijiunga na kambi ya JK , tena sio tuu kwa mwenyekiti ku take side, bali kuwa kuwadi wa JK kwa kumpigia kampeni za wazi kuwaambia wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM, wamchague mtu aliyetoka mbali na CCM!. Kitendo cha Prof. Mwandosya kuonekana ni mtu wa principles na Mkapa aliyajua madudu yake aliyofanya pale Ikulu, ilionekana Prof. anaweza kumtundika msalabani, bora zimwi likujualo, wakamchinjia Prof. Baharini na JK akapeta na ndio ikatoka ni mpaka magogoni!.

Kweli JK aliitimiza ahadi, EL Waziri Mkuu!.

Dili la Richmond lilivyokuja, ni dili la mzee mzima mwenyewe!, hata vile vimemo vya EL yeye alikuwa ni mjumbe tuu au tarishi wa mwenye mali! dili Richmond lilipobackfire, ndipo RA na EL wakatumia Dowans kumnusuru muzeiye! Sitta anajua, na kwa vile na yeye 2015 alijipanga kuingiza karata yake, kupitia vijana wa TISS, wakafanya utambuzi yakinifu na kupata ushahidi wa vimemo vya EL. Sitta akamtumia Mwakyembe kumtundika msalabani EL na kumsulubisha moja kwa moja bila kumuuliza chochote!.

Kwa vile l;engo lilikuwa ni kumsulubu EL, wakati wote wa uchunguzi, EL na RA hawakuwa na wasiwasi wowote, kwa vile walijiaminisha, maadam game ni la muzeiye, basi muzeiye akalipumch na kuzuia lisifumke, ndio maana kina Hosea walikuwa na viburi vya ajabu!. Kabla ripoti haijatoka, JK alishaiona, EL alishaiona na aliyeipeleka kote huko ni SS, JK alitoa go ahead EL akaangwe ili CCM inusurike, vingenevyo SS angeliomgoza bunge kwenye impeachment!. Hivyo EL akatolewa kafara, muzeiye akapona, CCM ikapona na hapo sasa ndipo vita mpya ikaanza!.

The King Maker (RA), akajiapiza, lazima atawashughulikia vimbembele wote kwenye kamati ya Mwakiembe wakianzia na SS, na kusema ukweli, faranga ilitembezwa, waliosalimika kama SS ameponea tundu la Sindano la huruma ya JK na walijiundia safe heaven ya CCJ ili watimkia kule, milango ikafungwa, SS akapiga magoti CCM ndia salama yake, hata huo uspika akapigwa chini, Selelii kilichomkuta mnakijua ilimradi ni piga ua!.

Baada ya JK kuridi 2010, akamshukuru Mwakyembe kwa kumnusuru, na asanye SS kwa kuto mu impeach, akijiaminisha EL ataendelea kunyamaza, na infact EL aliamua kunyamaza kimya kabisa!. Kilichomtibua ni vuvuzela la kile kitoto kijinga jinga ambacho kinapuliza vuvuzela la ufisadi as if hakijua nani ndio mafisadi halisi ndani ya CCM!, nawahakikishia mwisho wake ni uchaguzi wa CCM mwakani!.

Sasa kinachoendelea, nadhani RO ni implant ya RA pale TISS hivyo they are not sure EL atanyamaza mpaka lini!, hivyo the only way ni au wamshughulikie au wampe anachotaka ambacho ni urais 2015!. JK ni powerless with nothing to do maana EL ndio kashika mpini mtake msitake, mkubali msikubali
El in this game, "this (EL) is the name of the game!.

Umepoteza ushawishi.kaogee.
 
SS is history!, ila nimegundua wewe ni mtu wa timu ya joka la mdimu, yule mzee wa kimbelembele, kujikomba komba komba na kujipendekeza!, ndugu yangu, lili ni boya tuu, sio tuu linaelea, bali halina hata kamba, hivyo litaperushwa hata na upepo!.

Joka la mdimu, kama ni mti, basi ni mpapai dume, haufai kwa kivuli, kwa kuni tena wala hauzai matunda!, sasa unataka kuulinganisha na kisiki cha mpingo!.

Welcome on board!.

... hope u meant to say 'welcome aboard' ..
 
mtoahabari, kwanza karibu sana jf, wewe ni mtu muhimu sana hapa kutupa hizo za corridors za TISS.

Kusema ukweli, mimi nimezungumza na EL Desemba mwanzoni, nimemnote kama afya yake ni dhoofu!, kama yuu dhoofu sasa, 2012, jee 2015 atakuwaje?.


kwa hiyo hiyo TISS ya kundi la Kitine na Nyerere wamekubali EL ndo awe next
President pia??????
 
Na ndio juhudi zinafanyika ili wanajeshi, askari, usalama wa taifa na wengine wote walio sehemu nyeti wapate elimu ya kutosha na kuacha kupokea amri ovu hata kama akili zao zinaona hivyo.]

wewe unajiona ndio umesoma na hao hawajasoma? mhhhhhhhhhh, wish ungejua............ usichokijua.................

Ungeniuliza kama hukuelewa where i am coming from, upo completely out of my line of thinking, are you on medication?
 
Mtoahabari, asante sana kwa taarifa hizi, natumaini ujumbe huu mzito, umeshamfikia EL, au wapambe wake waliota alaki humu jf watampelekea na kuvuta kama kweli anakata!.

Kusema ukweli, mimi binafsi ni miongoni mwa watu waliofarijika sana na ujio wako humu mtandaoni, speculations zimekuwa nyingi kuliko uhalisia hivyo uweko wako ni checks and balance muhimu sana.

Tukiachana na EL, jee huku kuugua kwa Prof.M na Dr.HM jee kuna kwa ukweli ni vijana wa kazi, au mnasingiziwa?.

Adui mkubwa wa mtandao original (2005), alikuwa ni Mwandosya. Salim ilijulikana wazi hatapita, ingawa ilihitaji nguvu ya ziada dakika za mwisho kummaliza 2005. Vinginevyo Nyerere alijaribu 1985 na 1995 kumbeba Salim bila mafanikio. Mwandosya na ENL walikuwa maswahiba wakubwa sana miaka ya nyuma, kiasi cha kufikia hata mtoto mkubwa wa ENL bwana Fred kufanya kituo cha utafiti cha Mwandosya kama sehemu yake ya kujipatia uzoefu na pia vijisenti wakati wa likizo zake alipokuwa anarudi kutoka chuo kikuu cha Birmingham, akisome degree ya engineering. Hata binti mkubwa wa Mwandosya alikuwa chuo hicho hicho, idara hiyo hiyo, na alikuwa mpenzi wa muda mrefu wa fred. Ni siasa zilikuja kuwavuruga baadae, haswa lile tendo la ENL kujiunga upande wa Kikwete, ambae tayari alikuwa haivi na Mwandosya tokea walipokuwa wizara ya nishati - huko walikuwa na vita vya wazi wazi na hadharani, kutokana na tofauti za kiutendaji - siasa versus utaalam. Lakini pia inasemekana ugomvi ule ulichangiwa na yale mambo yetu huko maofisini.

Kina Sitta na Mwakyembe ni vipenzi vya Mwandosya, na Nape nae kaingia humo baada ya kusoma mchezo kwamba hao ndio wanaweza kumkabili adui yake namba moja, ENL. Walichokuwa wanafanya hawa wote kabla ya kuugua kwao ni kumtengenezea Mwandosya mazingira mwaka 2015, vinginevyo Sitta hatafuti urais, sana sana ni uwaziri mkuu, huku kina mwakyembe, Nape n.k wakitegemea kupata vyeo vingine nyeti chini ya Serikali ya Mwandosya. Lakini ndoto hiyo inafifia kwani nyota za wapiganaji wao zinaanza kuzimika polepople kwa sababu ya maradhi yao lakini vilevile mikakati na kasi kubwa ya ENL na timu yake kujinasua na Richmond, kazi ambayo imeanza kuonyesha mafanikio.

Kuugua kwa Mwakyembe, Mwandosya, hakuna taarifa rasmi juu ya hilo, lakini tetesi ni kwamba hao wanaotajwa ndio wanahusika. Shughuli kama hizo huwa hazifanwyi ki-idara ambapo information ina circulate au trickle down.
 
Mr President,

Ningekuwa na muda ningekueleza mengi sana. Muda wangu ni kidogo sana ndiyo maana nashindwa hata kupost mambo mengi kuhusu taifa hili hapa JF. Ninatuma post hii si kwa lengo la kukutisha. Lengo ni kukukumbusha uwe makini ili usijefanya uamuzi wa hovyo na kuliingiza taifa katika machafuko na kuharibu timetable za watanzania. Machafuko ndiyo tunayoyakwepa lakini si wewe (I have to tell you the truth because you are not my breadwinner at all).

Mtandao

Ninachozungumzia hapa ni kundi kubwa na hatari linaloaminika kuongozwa na Edward, Rostam, Othman, Apson, Karume na Shein na Mkapa. Ninakufahamu vizuri sana na ungekuwa uwezo wako, hawa wote ungeweza kufanya uwezalo ili kumweka madarakani mtu unayemtaka kwa maana ya Asha au Nahodha. Huu ni mtandao unaofanya kazi kwa umakini wa hali ya juu sana. Ukitaka kuamini, jiulize swali la kipuuzi sana kuwa kwanini kila plans unazofanya (zisizo na faida) kwa kundi hili zote zimefail?

1. Shein ni nani?

Nataka nikukumbushe ''issue'' ya Omar Juma. Huyu alikuwa threat kubwa kwa kundi lenu kwa ajili ya 2005. Mtandao wake ukibebwa na Mkapa ulikuwa ni hatari sana. The only way ilikuwa ni ''kumwondoa'' na hilo liliwezekana. Siku nikiwa na muda nitaeleza mchezo wote ulivyofanyika. Wakati jina limeletwa tukiwa hotel moja maarufu hapa Dar, nakumbuka hukuweza kumfahamu Shein wala kulitamka jina lake vizuri. Ulikosea mara tatu kulitamka. Tukacheka wote. Hatimaye Shein akawa makamu wa rais.

Baada ya wenzako kukuweka madarakani (mgombea ndani ya CCM), kosa ambalo Shein hataweza kukusamehe katika maisha yake (Mimi sio Mungu, kwani anaweza kukusamehe vilevile) ni pale ulipo-attempt kumfanya Zakhia kuwa makamu wa rais. Asingekuwa Edward, Rostam, Mkapa na Karume, leo hii Shein angekuwa mwenyekiti wa TPDC au TANAPA!. Kitendo cha Shein kuletwa na kundi hili, kutetewa na kundi hili achilia mbali kushawishiwa na kundi hili agombee urais wa Zanzibar ili kummaliza nguvu Nahodha chaguo lako kinamfanya awe mtiifu kwao kuliko hata kwa Mwanamwema!. Unafahamu vizuri Shein alivyoshinda urais Zanzibar, rafiki zako walikuchezea akili wakikuambia kuwa wamemleta Shein ili kupunguza kura za Bilal na ulipomkubali Shein wao wakaenda kumpigia Bilal kampeni wakijua kazi ya kumweka Shein imekamilika. Baada ya hapo uliendelea kumng'ang'ania Zakhia kuwa makamu. Mkapa akishirikiana na Rostam (ambaye alikuwa akim-install Bilal kuwa makamu huku yeye akiwa South Africa kuangalia World Cup) walimweka Bilal hapo alipo.

Shein hakushinda uchaguzi Zanzibar. Kilichofanyika ni Mkapa, Rostam, Karume kumhonga pesa za kutosha sana Maalim kupitia kwa kijana wao hatari sana Jussa (kumbuka huyu aliletwa na Rosatm ili umteue awe mbunge). Today, umeshindwa kumweka mtu wako Zanzibar na makamu wa rais Muungano. Walichoweza kufanikisha ni kuiteka Zanzibar yote (Bilal na Shein). Nakukumbusha ya kwamba, ili uwe mgombea kupitia CCM, unahitaji Zanzibar na 'Lake Zone'. Kule 'Lake Zone' wamekushinda. Hilo unalifahamu vizuri. Hii ndiyo maana Wanzanzibar wamekutesa sana ndani ya CC iliyopita. Ili kukuonyesha kwamba hufai, Shein kampa udaktari wa heshima ''Baba yake'' mdogo Karume. Ninafahamu jinsi unavyojikosha kwa Anne kwa kumpa nishani ili kusiwe na vote of no confidence mwakani hasa kwa sakata la Richmond na Twiga. Napenda kumhakikishia Anne ya kwamba that's a strategy anayoitumia Mugabe ya kuwamaliza watu. JK ameiiga huko. Naomba Anne uwe makini sana. Waweza kufa kwa ''presha'' usipoangalia.

2. Karume ni nani?

Huyu alipigiwa kampeni kubwa sana na Edward na Rostam mwaka 2000 licha ya CCM Zanzibar kumkata jina lake. Kwa hili Karume hawezi kuwasahau hawa jamaa mpaka anakufa. Karume alikupinga Butiama. Yeye, Edward na Rostam wakaenda ku-design ''mwafaka'' wao wanaoujua ambao leo hii unafanya kazi Zanzibar. Nataka nikukumbushe mara ya pili kuwa Jussa aliletwa kwako na Rostam ili umpe ubunge. Think twice! Karume ndiye rais aliyeleta maendeleo makubwa Zanzibar. Shein will do more than what Karume did. Usishangae ukisikia Karume kuwa makamu wa Lowassa 2015!. Karume ana msimamo. Hayumbi na bahati mbaya sana hakuogopi.


NITAENDELA SIKU NYINGINE WAPENDWA WANA JF

mmhhh,you smell like JASON BOURNE
 
JokaKuu, JK na EL hawajakosana, na wala hawajakutana barabarani hivyo ni wale wale they are one and only, tofauti yao ni sisi tunaowatazama, umdhanie ndiye, siye!, na umdhaniye siye, ndiye!. Kuna mmoja kati yao anayeonekana mchafu, kumbe ndiye msafi, ila uchafu ni kweli ameubeka ili mwenzake aonekane msafi!

Kwa wenye kumbukumbu ya 2005, JK na EL walichgukua fomu pamoja na kuzisainisha pamoja, walikodi ndege moja kwenda kuzirudisha fomu zao kwa pamoja kule Dodoma, na baada ya Mkapa kupitishwa, walifanya press conference ya pamoja na JK akalalamikia kupigwa zengwe!.

Ben baada ya kushinda, akashauriwa na sytem enzi za Abson, ambao ndio hao hao kina EL na RA, kuwa ni lazima awatumie kwenye cabinet yake, ili kuwaconsole wafuasi wao, kama walivyompa umakamo wa rais, Dr. Bilal, lengo ni kuwapooza tuu wafuasi wake kule Zanzibar ili wasipige kura ya chuki dhidi ya Shein ili kuiadhibu CCM.

Kwa vile hawa ni mafahali wawili, mara tuu baada ya kuingia cabinet, wakaamua wakiendelea kupigana, ziumiazo ni nyika, hivyo wakatengeneza mtandao wa "the winning coalition" kujiandaa kwa 2005 na kuamua iwe isiwe, lazima mmoja kati yao ateuliwe. Yeyete aliyeonekana anaweza kuwa kikwazo, alishughulikiwa ipasavyo akiwemo Magufuli, na Mwandosya, wenye kumbukumbu mtakumbuka makambora ya scandali baada ya scandali za dhidi yao zilivurumishwa.

EL na JK walijiwekea their own secret accord, (Hawakukutana barabarani), wakakubaliana JK ndie achukue fomu na EL asichukue, kwa ahadi kuwa EL atakuwa PM na baada ya zamu ya JK, EL ndie angefuatia automatically!.

CCM ilipobakiza wagombea watatu, JK , Dr. Salim na Prof. Mwandosya, zengwe lililovurumishwa kwa Dr. Salim mnalijua, mpika zengwe mnamjua na shukrani kwa wapakuaji wa hilo zengwe mnajua walivyozawadiwa!. Mtu wa ajabu kabisa kwenye CCM ni Mkapa, anajua wazi kabisa ukweli kuhusu Dr. Salim na uwezo wa JK ukimlinganisha na Mwandosya, lakini Mwenyekiti wa CCM, kama zuzu vile ( naamini teknolojia ya Mlingotini ilitumika!), alijiunga na kambi ya JK , tena sio tuu kwa mwenyekiti ku take side, bali kuwa kuwadi wa JK kwa kumpigia kampeni za wazi kuwaambia wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM, wamchague mtu aliyetoka mbali na CCM!. Kitendo cha Prof. Mwandosya kuonekana ni mtu wa principles na Mkapa aliyajua madudu yake aliyofanya pale Ikulu, ilionekana Prof. anaweza kumtundika msalabani, bora zimwi likujualo, wakamchinjia Prof. Baharini na JK akapeta na ndio ikatoka ni mpaka magogoni!.

Kweli JK aliitimiza ahadi, EL Waziri Mkuu!.

Dili la Richmond lilivyokuja, ni dili la mzee mzima mwenyewe!, hata vile vimemo vya EL yeye alikuwa ni mjumbe tuu au tarishi wa mwenye mali! dili Richmond lilipobackfire, ndipo RA na EL wakatumia Dowans kumnusuru muzeiye! Sitta anajua, na kwa vile na yeye 2015 alijipanga kuingiza karata yake, kupitia vijana wa TISS, wakafanya utambuzi yakinifu na kupata ushahidi wa vimemo vya EL. Sitta akamtumia Mwakyembe kumtundika msalabani EL na kumsulubisha moja kwa moja bila kumuuliza chochote!.

Kwa vile l;engo lilikuwa ni kumsulubu EL, wakati wote wa uchunguzi, EL na RA hawakuwa na wasiwasi wowote, kwa vile walijiaminisha, maadam game ni la muzeiye, basi muzeiye akalipumch na kuzuia lisifumke, ndio maana kina Hosea walikuwa na viburi vya ajabu!. Kabla ripoti haijatoka, JK alishaiona, EL alishaiona na aliyeipeleka kote huko ni SS, JK alitoa go ahead EL akaangwe ili CCM inusurike, vingenevyo SS angeliomgoza bunge kwenye impeachment!. Hivyo EL akatolewa kafara, muzeiye akapona, CCM ikapona na hapo sasa ndipo vita mpya ikaanza!.

The King Maker (RA), akajiapiza, lazima atawashughulikia vimbembele wote kwenye kamati ya Mwakiembe wakianzia na SS, na kusema ukweli, faranga ilitembezwa, waliosalimika kama SS ameponea tundu la Sindano la huruma ya JK na walijiundia safe heaven ya CCJ ili watimkia kule, milango ikafungwa, SS akapiga magoti CCM ndia salama yake, hata huo uspika akapigwa chini, Selelii kilichomkuta mnakijua ilimradi ni piga ua!.

Baada ya JK kuridi 2010, akamshukuru Mwakyembe kwa kumnusuru, na asanye SS kwa kuto mu impeach, akijiaminisha EL ataendelea kunyamaza, na infact EL aliamua kunyamaza kimya kabisa!. Kilichomtibua ni vuvuzela la kile kitoto kijinga jinga ambacho kinapuliza vuvuzela la ufisadi as if hakijua nani ndio mafisadi halisi ndani ya CCM!, nawahakikishia mwisho wake ni uchaguzi wa CCM mwakani!.

Sasa kinachoendelea, nadhani RO ni implant ya RA pale TISS hivyo they are not sure EL atanyamaza mpaka lini!, hivyo the only way ni au wamshughulikie au wampe anachotaka ambacho ni urais 2015!. JK ni powerless with nothing to do maana EL ndio kashika mpini mtake msitake, mkubali msikubali
El in this game, "this (EL) is the name of the game!.
Maneno mazito sana haya Pasco........

Hauoni kama yanaweza kumharibia EL?,maana nayaona kama yamekaa kiuchonganishi vile.......Sidhani kama ulikuwa na haja ya kuyaandika haya(kama kweli una nia ya dhati kabisa ya Lowassa for 2015).....

Ni mtazamo tu....

Bala.
 
Adui mkubwa wa mtandao original (2005), alikuwa ni Mwandosya. Salim ilijulikana wazi hatapita, ingawa ilihitaji nguvu ya ziada dakika za mwisho kummaliza 2005. Vinginevyo Nyerere alijaribu 1985 na 1995 kumbeba Salim bila mafanikio. Mwandosya na ENL walikuwa maswahiba wakubwa sana miaka ya nyuma, kiasi cha kufikia hata mtoto mkubwa wa ENL bwana Fred kufanya kituo cha utafiti cha Mwandosya kama sehemu yake ya kujipatia uzoefu na pia vijisenti wakati wa likizo zake alipokuwa anarudi kutoka chuo kikuu cha Birmingham, akisome degree ya engineering. Hata binti mkubwa wa Mwandosya alikuwa chuo hicho hicho, idara hiyo hiyo, na alikuwa mpenzi wa muda mrefu wa fred. Ni siasa zilikuja kuwavuruga baadae, haswa lile tendo la ENL kujiunga upande wa Kikwete, ambae tayari alikuwa haivi na Mwandosya tokea walipokuwa wizara ya nishati - huko walikuwa na vita vya wazi wazi na hadharani, kutokana na tofauti za kiutendaji - siasa versus utaalam. Lakini pia inasemekana ugomvi ule ulichangiwa na yale mambo yetu huko maofisini.

Kina Sitta na Mwakyembe ni vipenzi vya Mwandosya, na Nape nae kaingia humo baada ya kusoma mchezo kwamba hao ndio wanaweza kumkabili adui yake namba moja, ENL. Walichokuwa wanafanya hawa wote kabla ya kuugua kwao ni kumtengenezea Mwandosya mazingira mwaka 2015, vinginevyo Sitta hatafuti urais, sana sana ni uwaziri mkuu, huku kina mwakyembe, Nape n.k wakitegemea kupata vyeo vingine nyeti chini ya Serikali ya Mwandosya. Lakini ndoto hiyo inafifia kwani nyota za wapiganaji wao zinaanza kuzimika polepople kwa sababu ya maradhi yao lakini vilevile mikakati na kasi kubwa ya ENL na timu yake kujinasua na Richmond, kazi ambayo imeanza kuonyesha mafanikio.

Kuugua kwa Mwakyembe, Mwandosya, hakuna taarifa rasmi juu ya hilo, lakini tetesi ni kwamba hao wanaotajwa ndio wanahusika. Shughuli kama hizo huwa hazifanwyi ki-idara ambapo information ina circulate au trickle down.
Ubarikiwe mkuu kwa kuendelea kutufumbua macho,binafsi naamini maadui wa lowasa hawajui uchafu wake mwingi tena wa kumharibia,wanakomaa na Richmond ambayo inaonesha ni nyepesi kujivua gamba.kama si unafiki wanapaswa kuanika mengi zaidi ya hayo ili kuwakatisha tamaa! Mtoa Habari uwe unatutembelea japo mara 1 kwa wiki kutuelimisha mwenendo wa mambo nyuma ya pazia!
 
Ubarikiwe mkuu kwa kuendelea kutufumbua macho,binafsi naamini maadui wa lowasa hawajui uchafu wake mwingi tena wa kumharibia,wanakomaa na Richmond ambayo inaonesha ni nyepesi kujivua gamba.kama si unafiki wanapaswa kuanika mengi zaidi ya hayo ili kuwakatisha tamaa! Mtoa Habari uwe unatutembelea japo mara 1 kwa wiki kutuelimisha mwenendo wa mambo nyuma ya pazia!
Inawezekana wakawa wanaujua uchafu mwingi ila muda muafaka wa kuutoa ukawa haujafika.....Kumbuka SAS alichafuliwa ndani ya miezi tu(ya mwaka 2005).......Ukute ni suala la muda tu..

Binafsi nawashauri wapambe wa EL(Pasco & Co) watulie,wanaongea sana kiasi kwamba 'wanavuka mipaka' na kumuharibia EL.....Kuna mengine wanayawahisha mno,hayapaswi kuongewa sasa hasa kwa siasa za kuviziana za ndani ya CCM na Tanzania kwa ujumla....

Bala.
 
Mtoahabari, asante sana kwa taarifa hizi, natumaini ujumbe huu mzito, umeshamfikia EL, au wapambe wake waliota alaki humu jf watampelekea na kuvuta kama kweli anakata!.

Kusema ukweli, mimi binafsi ni miongoni mwa watu waliofarijika sana na ujio wako humu mtandaoni, speculations zimekuwa nyingi kuliko uhalisia hivyo uweko wako ni checks and balance muhimu sana.

Tukiachana na EL, jee huku kuugua kwa Prof.M na Dr.HM jee kuna kwa ukweli ni vijana wa kazi, au mnasingiziwa?.

Mkuu Pasco,
Una uhakika gani kuwa Mtoahabari sio Speculeta kama Walivyo/Tulivyo wengine hapa Jamvini? Mengi katika makala yake yamo mitaani.
Kama kusema kuwa ENL na RA ndio wanaoweka watu katika nafasi za juu inamainisha kuwa JK ni picha/Robbot linaloendeshwa tu, fanya hivi, mweke Juma/Joni Pale. Mnataka tuamini hivyooo?
 
Back
Top Bottom