Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

ni kweli katiba mpya ndo tiba, ila sidhani km hii ya sasa inakubali nchi itawaliwe na mafisadi, ama sidhani km katiba ya sasa haina miiko ya uongozi na hivyo EL kukosa sifa, tatizo ni nani anailinda katiba,

Katiba yetu ya sasa imetoa SIFA chache na rahisi sana za mgombea. Baadhi ni hizi:
-Uteuliwe na CHAMA
-Uwe na umri wa miaka 40 au zaidi ( Wakati Mwalimu alishika uongozi wa nchi kabla ya umri huo!)
-Uwe na akili timamu( hili nalo huwa hatuthibitishiwi na yeyote!)
-Elimu ya kawaida tu!
-etc., etc,
 
ok. mkuu ni sababu gani zinakufanya wewe usigombee urais na badala yake umpendekeze lowasa?

Mimi sio mwanasiasa.

Wilcard, mie sio Lowassa. CCM walitumia ELIMU ya degree kwa ajili ya Mrema.
 
Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.

Lowassa chaguo la Mungu!

[h=2]God[/h]   [god]
noun1.the one Supreme Being, the creator(King Maker) and ruler of theuniverse(?Danganyika).


 
Mimi sio mwanasiasa.

Wilcard, mie sio Lowassa. CCM walitumia ELIMU ya degree kwa ajili ya Mrema.
Ingawa unaijua kweli SIASA. Tena kwa nguvu ya hoja na msimamo usioyumba hasa juu ya Lowasa!
 

Lau Masha ni mtu wa ENL mpaka kaburini.
 

TISS haina nguvu zaidi ya umma, hakuna kilichokuwa na nguvu zaidi ya UMMA katika taifa lolote lile. Abdulla Al Senussi alikuwa Chief of Intelligence wa Ghadafi, yu wapi leo?
 

Kuhusu Profesa ni tetesi kwamba alikutana na Marehemu aliyehai kwenye shopping Mall katika nchi moja, alipoenda kwenye semina, na haikuwa Marekani. Profesa akapiga simu nyumbani kuelezea tukio hilo, na yakatokea yaliyotokea. Hizi ni tetesi lakini, hazina uthibitisho.
 

Ukumbuke kwamba ENL na Chadema walikuwa hawana tofauti zozote mpaka lilipoibuka suala la Richmond. Pia, Karatu na Monduli ni majimbo yanayopakana kama Segerea na Ilala, na wahusika huko wanaheshimiana vizuri sana. Baada ya yaliyotokea Dodoma na kuvuana nguo kwenye Halmashauri Kuu, msimamo cha Chadema kwa ENL upo vipi? Ni suala la mjadala.
 
Duh! shekhe yahya kafufuka? au mrithi wake anatafuta attention ndio aanze kazi
 
hujajibu swali la magogoko

je huko TISS hakuna true sons of this generation wa kuamua to end all this rubbish??????

Nilishamjibu ila sio moja kwa moja. Narudia tena, TISS haina nguvu zaidi ya UMMA. Chifu wa intelligence wa Ghadafi, Abdulla Al Senussi, yu wapi leo?
 
Nashindwa ku-guess wewe ni nani.Kwa vyovyote vile si kambi ya Kikwete.Most likely wewe ni kambi ya EL,unachofanya ni ku-expose ujinga wa Kikwete.Kwa vile wengi tuko fedup with him, tumefurahi.It's good information.ambayo inanisaidia to more correctly guess on the future,that for example Lowasa will be our next president.Too bad indeed,ingwa it now seems most likely.
 
dah! tena la mjadala mzito, na ile kauli ya Dr.Slaa kuwa nusu ya TISS wanaripoti kwake ni kwasababu ya lowasa au?
 
Ahsante sana mkuu!....na je watu wa TISS wako upande wa chama gani? CDM au CCM? Dr Slaa au EL?
 
Ingawa unaijua kweli SIASA. Tena kwa nguvu ya hoja na msimamo usioyumba hasa juu ya Lowasa!

Sababu mmeshindwa kunishawishi vinginevyo. Mmebakia na kumsakama Lowassa bila kuja na rais mmbadala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…