Hauna haja ya kujisikia mpweke. Cha kufanya uheshimike, lipa ada yao ya mwaka, ambayo ni kubwa sana, kitu kama laki tano au milioni moja. Pili, jitengenezee mazingira upate cheo serikalini au kwenye taasisi kubwa au nyeti nchini, na kama hilo haliwezekani, ongeza juhudi uwe mjasiriamali ili uwe na uwezo mzuri wa fedha utakaokupa heshima mbele ya wanachama wenzako. Ukifanikiwa kufanya hayo, taratibu utaanza kualikwa kwenye hafla zao za usiku wa manane huko kwenye nyumba za kukodi maeneo ya Mbezi, na kusubur Toyota Hiace iwaletee mabinti wa boarding sekondari, lakini sana sana mabinti wa vyuo vyetu vikuu, kisha muwachezee watoto wa watu, huku mkiwa mnatembea uchi wa mnyama na vilevi vyenu mikononi, mkibadilishana binti kwa binti na kusisitiza sera ya uwazi, sio sera ya wivu, huku pia mkiwalazimisha watoto wa watu wafanye ngono wao kwa wao nyie mkipiga makofi na miluzi, mkiongozwa na 'prince to be', Fred Edward Ngoyai Lowassa na kundi lake, kisha kuwarudisha watoto wa watu kabla ya jua kuchomoza, kwa hiace mliyokodi, wakiwa wamelewa, na wachovu, bila ya senti, kwa ahadi kwamba mtawarudia tena, kwani nyinyi ndio wenye nchi.