Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Edison, japo ni kweli JK alikuwa ni chaguo la mungu, Lowassa ndio cha Mungu!. Tofautisha!.aliyewamba nani? wewe ni shabiki wake sana na unafahamika sana...huwezi kuacha kumpigia chapuo lowasa...nami nakwambia tayari lowasa hawezi kuwa raisi wa nchi hii......
TB Joshua amemwambiaje kuhusu Urais?Edison, japo ni kweli JK alikuwa ni chaguo la mungu, Lowassa ndio cha Mungu!. Tofautisha!.
Gurti, usichanganye majina Pascal ni member mwingine wa humu humu jf na mimi namfahamu, Pasco wa jf ndio mimi.Mkuu kuhusu msimamo wa mmkijiji nina wasiwasi,
thread imejadiliwa sana kuliko thread iwayo yote wiki hii
Hata hivyo, yeye ameamua kutochangia hoja hiyo inayohusu kama Lowasa anafaa au La. Kilichonishtua ni wapambe wa Lowasa akiwepo Pascal kujenga hoja kwamba baada ya Mzee Mwanakijiji kuona kwamba Lowasa lazima atakuwa Rais, yeye ameona heri amuunge mkono Lowasa. Hata hivyo kinachonishangaza zaidi ni Mzee Mwanakijiji kukaa kimya na kuacha kutoa msimamo wake hata baada ya maeleozo hayo.
Nikaanza kuwaza mwenyewe kuwa;
Kusema kwamba M M Mwanakijiji hajasoma thread hiyo ni jambo lisiloingia akilini mwangu kwa kuwa ni thread ambayo mpaka sasa imechangiwa na watu karibu 1000 na na kusomwa na watu kuelekea 24,000 mpaka leo.
Jambo jingine, kichwa cha habari kilivyowekwa lazima mtu yo yote aliyeko ndani ataisoma, kwa hiyo sikubaliani kwamba hajaisoma.
Ukienda mbele zaidi, ni kuwa thread hiyo imekaa karibu wiki ktk ukurasa wa Mbele bila kuondolewa na Mods.
Kali zaidi, Mzee MM anawekewa maneno mdomoni ili kumprovoke na yeye ameamua kukaa kimya. Kwanini ? Ndo kusema tayari na yeye ameingia EL airline? Au ni kweli hajasoma hiyo thread? Au amesoma thread hajasoma comment za akina Pasco zinazosema kuwa amepanda EL airline? Najiuliza tu. Point of doubt to me.
What do you think?
WildCard, kwani TB Joshua ni Mungu?!. Mimi nasikiliza sauti ya Mungu from within na imenihakikishia Lowassa ndio chaguo la Mungu!. Jk yeye ni chaguo la mungu!TB Joshua amemwambiaje kuhusu Urais?
Mzee Punch, tafadhali sana usitake kutuharibia mgombea wetu!.Dah! Muda wote huu nilikuwa natafakari kuhusu msimamo huu wa mkuu PASCO. Kumbe anampigia chapuo EL ili CCM wafanye makosa ya kumsimamisha iwe rahisi kupigwa kikumbo na mgombea wa opposition na ndipo ukombozi kamili utakapopatikana! Thank you Pasco. Kama ni hivyo, kweli EL anafaa.
Gurti, usichanganye majina Pascal ni member mwingine wa humu humu jf na mimi namfahamu, Pasco wa jf ndio mimi.
Sijasema Mzee Mwanakijiji ame mu endorse Lowassa nimesema Mzee Mwanakijiji ni miongoni mwa wanaotaka mabadiliko ya kweli na ameishaelewa mabadiliko ya kweli yataketwa kupitia kwa Lowassa, mgombea wa CCM ambaye Mzee Mwanakijiji ame mu endorse ni Dr. Shein!. Tumemshauri Dr. Shein hatufai he is too weak kutuletea mabadiliko ya kweli, ametuelewa japo hatuungi mkono lakini ukimya wake ni uthibitisho ameridhia tuendelee kumsafisha Lowassa mpaka atakate!.
Akiwa Waziri Mkuu alishindwa kutukomboa, je akiwa Rais ndio ataweza?
Kitu kimoja nina uhakika nacho ni kwamba jamaa ni Bingwa wa kutumia mamlaka kwa ajili ya sifa na maslahi binafsi. Mtu wa namna hiyo ni hatari sana kwa kuwa hakuna ambaye atakuwa na jeuri ya kumhoji au kuhoji madudu. Tutarudi kwenye zama za Mkapa za usiri mkubwa na ufisadi kwa kwenda mbele. Kwenye mazingira kama hayo hakuna ukombozi.
Ukombozi wa kweli unaendana na uwazi [transparency]. Kwamba kila kitu kifanyike kwa uwazi na ikitokea madudu then watu wahoji na kupewa majibu na siyo kutishana ili watu wawe na hofu ili wasihoji madudu then mafisadi wanaendelea kutafuna mali kama mchwa!
Usishangae ukisikia Karume kuwa makamu wa Lowassa 2015!. Karume ana msimamo. Hayumbi na bahati mbaya sana hakuogopi.
Mr. Zero, wee subiri tuu Lowassa hahitaji kwenda kanisani, wala msikitini, utashuhudia tuu maaskofu na masheikh wakimsafisha huko kwenye nyumba za ibada, JK ni Muislamu lakini 2005 tulihubiriwa makanisani kuwa JK ni chaguo la Mungu.Pasco,
EL atajisafisha mwenyewe...... kisha anzia makanisani. Bado sijamsikia kwenye misikiti. Ila huko sijui kama ataweza, maana sisi wakristo huwa tunaogopa sana misikiti. labda atapitia sherehe za maulid, idd na mifungo ya Ramadhani kwa kutoa futari kidogo.
Mbona hukuanza ama kumalizia na CCM - Lowassa?Keil,
Mkuu wangu sijui nianzie wapi. Maana umesema sana na upo sahihi kabisa. Bado namtetea Lowassa, naamini vyama vya upinzani havijakomaa na sio instutionalized kama CCM.
CUF = Maalim
CDM = Mtei, Ndesa, Mbowe, Makani
NCCR = Mbatia
Kwahiyo mgombea urais wa CCM ndio atashinda na CCM ndo chama huru ANGALAU.
Tukubaliane kutokubaliana mpaka nitakapomshawishi Mkandara akija bongo naye anisaidie namna ya kuelezea kuhusu Lowassa.
Ila bado naamini ELairline ndo airline pekee inayostahili kuwa NATIONAL carrier wa kuanzia 2015.
trachomatis, mbona una haraka wewe?, subiri basi apitishwe, utaisoma ilani yake, kwa kukusaidia tuu, sera ya habari, nui uhuru usio mipaka, kima cha chini cha waandishi ni milioni, kwa vile wananchi wana kui ya habari, serikali yake itagharimia magazeti yote hivyo yatatolewa bure!. Kila mkoa kuwa na TV kituo chake cha TV kutangaza maendeleo yake. Wakulima watanunuliwa matreckta, kima cha chini laki tano. Elimu ya lazima ni mpaka kidato cha sita, halafu elimu mpaka chuo kikuu bure, huduma za afya bure, yaani hospitali zote bure, serikali itazipa ruzuku hospitali zote ili kina yakhe tukatibiwe bure!.Eti Pasco na Fairplayer.. Na hata The Romantic... Vp kuhusu imani yenu na msimamo wa ENL juu ya sera ya habari na uhuru wake..na kwamba hatoweza kufanya manuva bungeni akaibadili katiba kwa matakwa yake. Kwa wenye kufahamu personality yake...