The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
trachomatis, mbona una haraka wewe?, subiri basi apitishwe, utaisoma ilani yake, kwa kukusaidia tuu, sera ya habari, nui uhuru usio mipaka, kima cha chini cha waandishi ni milioni, kwa vile wananchi wana kui ya habari, serikali yake itagharimia magazeti yote hivyo yatatolewa bure!. Kila mkoa kuwa na TV kituo chake cha TV kutangaza maendeleo yake. Wakulima watanunuliwa matreckta, kima cha chini laki tano. Elimu ya lazima ni mpaka kidato cha sita, halafu elimu mpaka chuo kikuu bure, huduma za afya bure, yaani hospitali zote bure, serikali itazipa ruzuku hospitali zote ili kina yakhe tukatibiwe bure!.
Angalizo:, nawaombeni msinibeze, pigine bdebe la Lowassa mpate mambo mazuri!.
Pasco,
Kweli umeamua. Jana niliposema kuwa hii thread ni mazingaombwe matupu na imeletwa kwa nia fulani akina Edson na Mushi wakanijia juu. Sasa mleta thread kaingia mtini (kama hatumii identity nyingine kama ninavyodhania), mtoahabari naye kaishia sasa tumebaki kumpigia na kumkandia EL!!