Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Mkuu Mtoa habari,taifa limetikiswa na limetikisika,wengi hawajui lakini wapiganaji wengi wamenunuliwa na imefika mahala hakuna kuaminiana tena! Vita imekuwa ngumu kwasababu waliokuwa mbele kwa muda mrefu wametusaliti wakiwemo wanasiasa na waandishi maarufu! Tunaelekea kushindwa sababu hakuna kiongozi wa dhati wa mapambano haya anaeweza kumobilize wafuasi watiifu na wazalendo. Unajua wakati mgumu alionao Dr Slaa mtu pekee ambae angeweza kusimamia mageuzi haya independently!

Mzee Mwanakijiji sijawahi kuona akibadili msimamo juu ya Lowasa lakini ukimya wake kwenye thread hii unatoa ujumbe fulani! Anaonekana on line lakini amekuwa msomaji tu! binafsi ilipofikia hizi siasa zetu hakuna wa kumwamini ni kama wengine tumeamua kusubiri kuona nini kitatokea! Umejiuliza Ben Saanane kwanini hajachangia lolote? Take it simple (but it's complicated).
 
Woote hawa uliowataja, Kikwete, Rostam ,Mkapa, Shein, Apson Mwang'onda n.k ni Genge la majambazi wanajipanga kwa kila namna ili kuiibia nchi wala si kuwaletea maendeleo wananchi...
Tunawajua ...na sasa hivi baadhi yao wapo katika tuhuma kuwa walihusika kum-ingizia Nyerere viini vya kandsa ya damu ile waje wapate madaraka , kwani walijua wasingekuja kuwa maraisi wa nchi hii Mwalimu akiwa hai.
Kwa vyovyote vile, mimi hiyo naiona ni vita ya mashetani, linapoumizwa moja huwezi kuilionea huruma.....maana yoote ni maovu.
 
Naona watu wanaogopa kuvamiwa na G8!
 

aisee kazi kweli inamaana kama asingewekewa viini vya kansa angeishi milele?je alikuwa ana mkataba na mungu
 
The Boss,
Unakumbuka hili swali lako?

huwa natamani mtu mwenye kujua historia sahihi ya EL ailete hapa
hasa historia ya kabla ya kufika chuo

Je, unaonaje kwa uzi huu, unapata majibu?


 
Nadhani tumemkaba Lowasa kiasi cha kutosha. Jamaa ni mjanja sana. Akiona amekabwa hivi atatoa pasi kwa mfungaji mwingine kama alivyofanya mwaka 2005. Goli likishafungwa yeye atajua namna ya kujitokeza! Lowasa anautaka URAIS sio kwa kuwa anajua kuongoza tu. La hasha. Anataka kulinda utajiri wake haramu na wa kundi lake ambalo sasa ni kubwa sana.

Endapo Lowasa atashindwa kutoa pasi kama ile ya mwaka 2005 atatoa krosi ambayo inaweza kusababisha tukajifunga wenyewe kama lile goli la ManU juzi. Baadhi ya mabeki wa upande huu siwaoni. Wako kimya.
 


Nasikia anataka kumpa pasi ya kisigino Amani hasa mkimng'ang'ania kwa kigezo cha "zamu ya zanzibar" ila hataki kuwa mgombea mweza kama itakua hivyo,anataka kurudi kumalizia pale alipopatia ile "ajali yake" mashuhuri!
 
Mkuu mtoa habari, japo mimi sio msemaji wa Mzee Mwanakijiji, lakini ufahamu wangu kupitia maandiko yake, ukimya wa Mwanakijiji kwenye mada hii, sio kupoteza credibility, kununuliwa au kukata tamaa, bali baada ya kuelewa the motives behind usafishaji wa Lowassa unaofanyika humu na mimi nikiwa ni mmoja wa waumini wakuu wa usafi wa Lowassa na mmoja wa wapiga debe wake wa kujitolea, Mzee Mwanakijiji ametuelewa na kujinyamazia asiendelee kumbomoa, ili kazi yetu ya kumsafisha ifanikiwe na lengo la usafishaji huo litimie!.

Hata wewe Mkuu Mwanahabari, nakuaminia kama ni mtu unayetaka mabadiliko ya kweli, na unazijua fika polical dynamics za siasa za Tanzania, kama ni kweli unataka mabadiliko, utakuwa upande wetu, tumpigie debe, Lowassa asimamishwe kuwa mgombea wa CCM!.
 
Are you the monster? Acha uongo mkuu usiandike kwa kutumia masaburi.
 
Mkuu Mtazamo, kiukweli humu ndani sio tuu wengi tunatofautiana mtazamo, uelewa na ufahamu, bali hata imani ya kutokuaminiana!. Kwa watu wanaomfahamu Mzee Mwanakijiji wa ukweli, bado tunamwaminia na ukimuona kimya kwenye issue fulani, ujue ukimya wake una mshindo mkuu, kwa vile Mwanakijiji ni very vocal, akibadili msimamo atasema na sababu zake, ukimya huu ni kutuachia sisi tunaomsafisha Lowassa tuendeleze kazi hii nzuri tuliyoianza ili malengo ya safisha safisha hii yatimie!

Kama ni kweli unaamini Dr. Slaa ndie pekee anayeweza kuleta mageuzi ya kweli hapa nchini, na unampenda kwa dhati, then utamlinda kwa njia zote ili asipotee kabla ya hiyo 2015!. Kuna aina nyingi za upendo moja wapo ni hii " Anayeipenda sana nafsi yake, ataiangamiza, na atakayekubali kuiangamiza nafsi yake ndiye atakayeiokoa"!.

Determinant ya nani atakuwa ndie rais ajaye, lies with CCM candidate!. Kama mgombea wako ni Dr. Slaa, ni washabiki wajinga tuu ndio wataamini Dr. Slaa atapitia njia nyeupe kuingia Ikulu ya Magogoni!. Watu serious wanajua jinsi njia ilivyo ngumu na ilivyojaa miiba!. Hebu imagine chances za Dr. Slaa akisimama na mtu kama Dr. Shein, Dr. Shein atazoa kura zote za compasssion kwa vile Mzee wa watu huyu hawezi hata ku shout!. Just imagine Dr. Slaa anasimamisha na Magufuli unajua nini kitafuatia!. Hivyo determinant ya ushindi lies with mgombea wa CCM na mgombea kipenzi cha watu, kipenzi cha wote, mwenye mvuto wa ajabu, mwenye sura ya kupendeza, mwenye usafi usiokuwa na mashaka, mwenye utakatifu wa kukaribiana na Bwana wetu Yesu Kristo ni Edward Lowassa pekee!. Huyu ndie mkombozi wa taifa letu aliyebakia kwenye safu ya CCM!, tumpiganie yeye asimamishwe, tupate ukombozi wa kweli!

Pasco (wajf)
 

Orait sasa nimekupata bara bara.😛oa
 
Are you the monster? Acha uongo mkuu usiandike kwa kutumia masaburi.
Tongindi, I might be a monster, wewe ambaye ni human being umeandika nini?. Kama ni uongo, unaonaje kama ukiuonyesha huo uongo halafu ukauweka na ukweli unaouana wewe?. Hili la kuandika kwa kutumia masaburi nalo neno na maandamu ni wewe umelisema, inamaani unafikiri kwa kutumia masaburi, mimi mwenzako naandika kwa kutumia kidole tena naandikia kidole kimoja tuu, ukiona vipi, naweza ...
 
mkuu lengo kumbe ni kumpigia debe EL asimamishwe kuwa mgombea wa CCM na sio kuwa rais wa TZ?
 

Mtoahabari, hapa umemaliza kila kitu!. Taarifa kuwa Lowassa sio Mmasai nilikuwa nazo ila hazikuwa deep kihivi. Thanks.
Jee wewe mtoa habari unataka mabadiliko ya kweli 2015?. Kama jibu ni ndiyo, then please join the team Lowassa asimamishwe CCM tuende kwenye mabadiliko, hata kama humkubali Lowassa, nakuomba ujinyamazie kama Mzee Mwanakijiji, mtuachie sisi tuendeleze kazi ya kumsafisha mpaka atakate na kumpaka mafuta ang'are na kumeremeta!. Please!.
 
Lowasa ni MMASAI bwana, nasema yeye ni Mmasai. Wanawake wa Kimasai wana tabia kama ya wale wa Kitutsi ya kurudi kutafuta mimba nyumbani halafu huyo Ndosi anaambiwa mimba ni yake! Juzi nilimwona akitajwa kwa cheo kizito tu cha Kimasai.
 
Nasikia anataka kumpa pasi ya kisigino Amani hasa mkimng'ang'ania kwa kigezo cha "zamu ya zanzibar" ila hataki kuwa mgombea mweza kama itakua hivyo,anataka kurudi kumalizia pale alipopatia ile "ajali yake" mashuhuri!
Sasa nimeielewa ile kauli ya Maalim Seif. Kumbe anataka kurudisha fadhila pia. Karume ndie amemfikisha hapo alipo sasa.
 

pasco, hapo kwenye nyekundu nimecheka kama chizi.

infact wadadavuaji kama mwanakijiji inawezekana wako kimya kwa vile they have found out what you are up to......
good luck with your hitherto successful research work.
 
Lowasa ni MMASAI bwana, nasema yeye ni Mmasai. Wanawake wa Kimasai wana tabia kama ya wale wa Kitutsi ya kurudi kutafuta mimba nyumbani halafu huyo Ndosi anaambiwa mimba ni yake! Juzi nilimwona akitajwa kwa cheo kizito tu cha Kimasai.
WildCard, kiukweli Wamasai ndilo kabila linaloongoza kwa birth controll, ile tabia ya watu wa rika moja kujivinjari na wake wa wenzao kwa kuchomeka mkuki mlangoni ni ya kweli, ila mimba itakayoingia ni ile tuu ya mwenye mke!.

Kwa vile Baba Mzazi wa Lowassa, Mzee Ndossi alioa mwanamke wa Kimasai, then wanawake wa Kimasai sio wahuni, sio mala.. wa kuwalangua waume zao ukiondoa ile mila ya kujivinjari, hivyo naamini watoto wote waliozaliwa kwenye familia hiyo ni damu ya Ndossi!. Wanawake wenye tabia ya kuchepuka na kutengeneza katoto ka nje ni Wachagga!.
 


nyie watu wawili nyie sijui vipi? yaani na uelewa wenu wote huo mmetekwa na lowassa?? ...anayway nyie endeleeni lakini nawambia huyu hashiki urais wa nchi hii.....hili nawambia kabisa...we psco nani alikwambia lowasa ni chaguo la Mungu? Mungu yupi wewe unayemzungumzia....hivi lowasa ana tofauti gani na hili juha muliloinstall hapo magogoni?

narudia tena lowasa hatakuwa rais wa nchi hii subirini kwani june mbali?? nyie endeleeni kukunjua viti mlale huko Elairline siku ikifika mtashindwa hata kwenda kutoa heshima za mwisho...
 
Edison, japo ni kweli JK alikuwa ni chaguo la mungu, Lowassa ndio cha Mungu!. Tofautisha!.

wewe itabidi nikutafutie mda tuonane nikifika huko..sitakualika pale club itabidi tuonanie eneo jingine....halafu ile tabia yako ya kualikwa mahali halafu unajilipia gharama ilumuudhi yule jamaa sana siku ile pale kanda ya kati...ulimuona alivyoshangaa...

uliweza kujilipia bill japo ulialikwa lakini leo ile dhamira huna tena unanunulika kirahisi sana....hivi umetwa na nini? huyu ENL amekuahidi ee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…