Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Mkuu nimekuelewa sana! Lakini kwa complication hizi,nguvu zimeisha! Sijui tutoke vipi!

Kwa hali ya sasa, wa kufanya maamuzi magumu sio viongozi bali vijana, na hapa sina maana ya UVCCM bali vijana wa Tanzania, haswa wale wenye bahati ya elimu na upeo, kuwaongoza wenzao waliokosa bahati hiyo, katika uelewa wa mambo; Ni bahati mbaya sana kauli mbiu muhimu kama hizi za 'maamuzi magumu', 'ukosefu wa ajira kwa vijana ni timing bomb', n.k. huwa tunaletewa na viongozi badala ya chimbuko lake kuwa ni vijana wenyewe, ikiwa sehemu ya msimamo na dira ya vijana; Badala yake, vijana tumekuwa tunashirikiana kwa kauli tu, huku tukielekeza nguvu na akili zetu zote kwenye ushabiki na ufuasi wa pande mbili au tatu zilizopo badala ya vijana wenyewe kutengeneza upande wa nne, kwa manufaa yetu wenyewe.
 
Bwana Nderingosha,
Nashukuru sana kwa swali lako. Una hoja nyingi sana na za msingi kabisa. Ila ukumbuke kwamba nilichokieleza ni ufahamu wangu juu ya hali halisi ilivyo, sio ushabiki. Na kuhusu TISS na maslahi ya nchi, ni dhahiri kwamba TISS ya sasa sio ile ya Kitine, au Maiga, kwani kwa sasa qwngi mle wapo kwa ajili ya maslahi binafsi. Hapo nyuma, baadhi yao walikuwa wanaona kama vile ENL ndiye mvurugaji, lakini baada ya ENL kumvua nguo Mkuu wa nchi Dodoma majuzi, na mkuu kukaa kimya, vijana wengi wa TISS wameanza kuhamia kwa ENL, wakidai anaonewa, lakini ni mvumilivu, na mchapa kazi, hivyo anastahili kuchukua jahazi. Lakini kama ulivyotamka mwenyewe, wenye nchi hii ni UMMA, kwani wao ndio wenye maamuzi ya mwisho, sio TISS, CCM, wala JWTZ. Pia taarifa kwamba wanajeshi ngazi za chini wamechoka, na huwa wanatoa matamshi makali sana kila mara milipuko ya mabomu inapotokea kwenye kambi. Wengi huwa wanatamka kwamba kuna umakusudi. Na kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi wa ngazi za chini na polisi hawapo katika meli moja kuhusu masuala mengi juu ya nchi hii. Lakini ni muhimu tukumbuke pia kwamba JWTZ ni taasisi yenye nidhamu na utiifu wa hali ya juu sana, na JWTZ kama taasisi, ina ushirikiano wa karibu sana wa kikazi na TISS. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya kazi maalum ya Kitine (Kanali Mstaafu), chini ya Nyerere.

Baada ya kusema yote haya, tunarudi kwenye ukweli kwamba, pamoja na mapungufu yake mengi na tuhuma nyingi mbali ya Richmond, ENL amejipanga vya kutosha kuwa rais wa tano wa Tanzania. Sio CCM, wala Tume ya Uchaguzi (NEC), itakayoweza kubadilisha ndoto yake, bali UMMA kwa njia ya UMMA, sio UMMA kwa njia ya KURA. Umma hautafanikiwa kumzuia ENL kupitia sanduku la KURA, bali kwa njia ya maandamano na mgomo wa UMMA kama huko Libya, Tunisia na Misri na kwingineko ulipopataja, iwapo ENL atatangazwa kuwa Rais wa Tano na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) 2015. Lakini hii haina maana kwamba upinzani hauna nafasi 2015, lakini kama tetesi juu ya ENL, RA, wakisaidiwa na vijana wao Bashe na January, kukisaidia CHADEMA kwa fedha na mikakati kishinde uchaguzi mdogo wa Igunga, ni za kweli, ni vigumu kupata kuelewa ni jinsi gani wataweza upinzani utaweza kumzuia ENL na timu yake mwaka 2015.

Mtoahabari,
Hii tafsiri kuwa Jk alivuliwa nguo/kufadhaishwa na Hoja za EL mbona ni Potofu na mnaiendeleza? Hizo hoja zimo ndani ya Threand moja hapa JF (zisomeni kwa kituo kisha mtafakari, labda ziwe zimenukuliw vinginevyo, ingekuwa vema ipatikane Audi/vidio yake) sababu kubwa ya madai hayo ni kuwa Jk alitikisa kichwa kukubali alichohoji EL na halafu hakujibu. Hiyo imesababisha mumtie hatiani Jk bila kurudi katika historia ya jambo lenyewe, Mkameza aliyosema EL bila kuzingatia Busara za Jk za Kukaa Kimnya.
 
MN
Kwa hali ya sasa, wa kufanya maamuzi magumu sio viongozi bali vijana, na hapa sina maana ya UVCCM bali vijana wa Tanzania, haswa wale wenye bahati ya elimu na upeo, kuwaongoza wenzao waliokosa bahati hiyo, katika uelewa wa mambo; Ni bahati mbaya sana kauli mbiu muhimu kama hizi za 'maamuzi magumu', 'ukosefu wa ajira kwa vijana ni timing bomb', n.k. huwa tunaletewa na viongozi badala ya chimbuko lake kuwa ni vijana wenyewe, ikiwa sehemu ya msimamo na dira ya vijana; Badala yake, vijana tumekuwa tunashirikiana kwa kauli tu, huku tukielekeza nguvu na akili zetu zote kwenye ushabiki na ufuasi wa pande mbili au tatu zilizopo badala ya vijana wenyewe kutengeneza upande wa nne, kwa manufaa yetu wenyewe.

Na hasa katika mchakato wa kuandika Katiba Vijana mtahitajika sana kwani nyie ndio mnaoelekea katika miaka 50 ijayo.
 
Bwana Nderingosha,
Nashukuru sana kwa swali lako. Una hoja nyingi sana na za msingi kabisa. Ila ukumbuke kwamba nilichokieleza ni ufahamu wangu juu ya hali halisi ilivyo, sio ushabiki. Na kuhusu TISS na maslahi ya nchi, ni dhahiri kwamba TISS ya sasa sio ile ya Kitine, au Maiga, kwani kwa sasa qwngi mle wapo kwa ajili ya maslahi binafsi. Hapo nyuma, baadhi yao walikuwa wanaona kama vile ENL ndiye mvurugaji, lakini baada ya ENL kumvua nguo Mkuu wa nchi Dodoma majuzi, na mkuu kukaa kimya, vijana wengi wa TISS wameanza kuhamia kwa ENL, wakidai anaonewa, lakini ni mvumilivu, na mchapa kazi, hivyo anastahili kuchukua jahazi. Lakini kama ulivyotamka mwenyewe, wenye nchi hii ni UMMA, kwani wao ndio wenye maamuzi ya mwisho, sio TISS, CCM, wala JWTZ. Pia taarifa kwamba wanajeshi ngazi za chini wamechoka, na huwa wanatoa matamshi makali sana kila mara milipuko ya mabomu inapotokea kwenye kambi. Wengi huwa wanatamka kwamba kuna umakusudi. Na kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi wa ngazi za chini na polisi hawapo katika meli moja kuhusu masuala mengi juu ya nchi hii. Lakini ni muhimu tukumbuke pia kwamba JWTZ ni taasisi yenye nidhamu na utiifu wa hali ya juu sana, na JWTZ kama taasisi, ina ushirikiano wa karibu sana wa kikazi na TISS. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya kazi maalum ya Kitine (Kanali Mstaafu), chini ya Nyerere.

Baada ya kusema yote haya, tunarudi kwenye ukweli kwamba, pamoja na mapungufu yake mengi na tuhuma nyingi mbali ya Richmond, ENL amejipanga vya kutosha kuwa rais wa tano wa Tanzania. Sio CCM, wala Tume ya Uchaguzi (NEC), itakayoweza kubadilisha ndoto yake, bali UMMA kwa njia ya UMMA, sio UMMA kwa njia ya KURA. Umma hautafanikiwa kumzuia ENL kupitia sanduku la KURA, bali kwa njia ya maandamano na mgomo wa UMMA kama huko Libya, Tunisia na Misri na kwingineko ulipopataja, iwapo ENL atatangazwa kuwa Rais wa Tano na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) 2015. Lakini hii haina maana kwamba upinzani hauna nafasi 2015, lakini kama tetesi juu ya ENL, RA, wakisaidiwa na vijana wao Bashe na January, kukisaidia CHADEMA kwa fedha na mikakati kishinde uchaguzi mdogo wa Igunga, ni za kweli, ni vigumu kupata kuelewa ni jinsi gani wataweza upinzani utaweza kumzuia ENL na timu yake mwaka 2015.


Naona karibu tutaivisha Karamu ya (Mh. EL) kuingia Magogoni. Tumeanza maandalizi mapema na bila shaka mialiko imeshatolewa. Kuna Mstahiki mmoja naona amesahauliwa kabisa, sijui nafasi ya Muungano na Wateule wao tumeiweka wapi. Its all EL hapa na bla.........bla.....blaaa..............!
 
Bwana Nderingosha,
Nashukuru sana kwa swali lako. Una hoja nyingi sana na za msingi kabisa. Ila ukumbuke kwamba nilichokieleza ni ufahamu wangu juu ya hali halisi ilivyo, sio ushabiki. Na kuhusu TISS na maslahi ya nchi, ni dhahiri kwamba TISS ya sasa sio ile ya Kitine, au Maiga, kwani kwa sasa qwngi mle wapo kwa ajili ya maslahi binafsi. Hapo nyuma, baadhi yao walikuwa wanaona kama vile ENL ndiye mvurugaji, lakini baada ya ENL kumvua nguo Mkuu wa nchi Dodoma majuzi, na mkuu kukaa kimya, vijana wengi wa TISS wameanza kuhamia kwa ENL, wakidai anaonewa, lakini ni mvumilivu, na mchapa kazi, hivyo anastahili kuchukua jahazi. Lakini kama ulivyotamka mwenyewe, wenye nchi hii ni UMMA, kwani wao ndio wenye maamuzi ya mwisho, sio TISS, CCM, wala JWTZ. Pia taarifa kwamba wanajeshi ngazi za chini wamechoka, na huwa wanatoa matamshi makali sana kila mara milipuko ya mabomu inapotokea kwenye kambi. Wengi huwa wanatamka kwamba kuna umakusudi. Na kibaya zaidi ni kwamba wanajeshi wa ngazi za chini na polisi hawapo katika meli moja kuhusu masuala mengi juu ya nchi hii. Lakini ni muhimu tukumbuke pia kwamba JWTZ ni taasisi yenye nidhamu na utiifu wa hali ya juu sana, na JWTZ kama taasisi, ina ushirikiano wa karibu sana wa kikazi na TISS. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya kazi maalum ya Kitine (Kanali Mstaafu), chini ya Nyerere.

Baada ya kusema yote haya, tunarudi kwenye ukweli kwamba, pamoja na mapungufu yake mengi na tuhuma nyingi mbali ya Richmond, ENL amejipanga vya kutosha kuwa rais wa tano wa Tanzania. Sio CCM, wala Tume ya Uchaguzi (NEC), itakayoweza kubadilisha ndoto yake, bali UMMA kwa njia ya UMMA, sio UMMA kwa njia ya KURA. Umma hautafanikiwa kumzuia ENL kupitia sanduku la KURA, bali kwa njia ya maandamano na mgomo wa UMMA kama huko Libya, Tunisia na Misri na kwingineko ulipopataja, iwapo ENL atatangazwa kuwa Rais wa Tano na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) 2015. Lakini hii haina maana kwamba upinzani hauna nafasi 2015, lakini kama tetesi juu ya ENL, RA, wakisaidiwa na vijana wao Bashe na January, kukisaidia CHADEMA kwa fedha na mikakati kishinde uchaguzi mdogo wa Igunga, ni za kweli, ni vigumu kupata kuelewa ni jinsi gani wataweza upinzani utaweza kumzuia ENL na timu yake mwaka 2015.
Kwa kuhitimisha ndio kusema ili kumshinda EL..
1. Upinzani utatoka CCM..
2. Nguvu ya UMMA.
Lakini kwa UNAFIKI wa mwafirka kweli haya yawezekana?..
 
Kama kawaida tunaanza kuwajadili mtoa habari na hutaki unaacha badala ya contents@Royals.
 
Pasco,

Mwaka 1991, Mwinyi akamhamishia ENL Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo Mijini, na hapo ndipo alipokutana na Haruna Masebu kama Mkurugenzi Mkuu wa NHC, na kuanza urafiki mkubwa sana wa kikazi na kimaslahi. Mwaka muhimu kukumbuka ni ule wa 1992 ulioruhusu viongozi wa CCM na Serikali kumiliki mali.

Mwalimu alibishana sana na Sitta, na baadae Mwalimu akamwambia “Wewe ni waziri wa sheria na katiba, sasa kwa nafasi yako, nimepewa faili juu ya mtu huyu, naomba uchukue faili hili la ENL, na kwa nafasi yako kama waziri wa sheria, utusaidie kufafanua yaliyomo humo ili tubaini kama ENL anaonewa.” Sitta akakaa chini na hakusimama na wala kuzungumza tena.

ENL hakuacha kuendelea kujijengea mtandao kwa ajili ya mwaka 2005 na baadae. ENL hajijengei mtandao kwenye siasa tu bali kwenye vyombo vya usalama, taasisi za Umma, Binafsi n.k. Ana mtandao mkubwa sana kwenye sekta za Umma kama Ewura ambako alimweka ndugu yake Haruna Masebu ambae alikuwa NHC, ENL alipokuwa waziri wa ardhi. ENL pia ana mtandao mkubwa sana TRA, Tanesco, kampuni za mawakili, wamiliki wa ma-baa, taasisi mbalimbali za kidini (dini zote), polisi, TISS, taasisi za kimataifa zenye wawakilishi wake Tanzania, n.k.
.
ENL na Haruna ni ndugu?
 
Erickb,
Hakuna haja ya Jazba hapa. Huu ni ukumbi wa Mjadala na ili uyamudu Majadiliano ni lazima uweze kukontrol Hisia zako. (Keep your cool) na kama hilo huliwezi, hapa hapakufai. (samahani huu ni ushauri usiotaka malipo).
Unajua mtu anapokuja na jazba na kuanza kutulaumu watanzania kwa maneno ya kashfa haifai hata kidogo,kila mtu ana mitizamo yake so asituone watanzania wajinga wakati kila siku tunahangaikia haki zetu ila wenye mamlaka wametuzidi nguvu.Kama ana hoja aseme kistaarabu ila mtoa mada HAJAMTETEA EL wala JK ye katoa aliyonao then sisi tuyatafakari.Over...!
 
Hakika nimejifunza mengi, hata Yale ambayo sikuwahi kuota Na kuwaza, JF idumu milele tuendelee kujua mengi, watu Kazini wanatapika tu. Nahisi hii ndio thread bora ya kuanza mwaka.
 
Nina usingizi lakini nimeamua kuweka Miguu kwenye maji ili niendelee kusoma mastori. Bora Kama tutakesha wote, usinitose.
Bora ulale uamke na nguvu na hoja mpya zaidi....mi nalala
 
You are the one on medication. Popote unapotokea,huna unalolijua kuhusu hao uliwaandika kwamba hawajasoma,especially........,,tatizo mnadharau vyombo vya ulinzi,mnadhana kule hakuna phd
 
kazi aliyotumwa ameikamilisha.
kazi hiyo ni kupanda mbegu miongoni mwa jamii
kwamba enl na mtandao wake hawashikiki katika mbio
za 2015.

kwa kiasi kikubwa amefanikiwa na sasa watu wanasheherekea 2012
kwa rèmy martin.

nami nawatakia mwaka 2012 mwema
 
Wafuasi wa Nyerere kilichobakia hivi sasa ni kulaumu utendaji mbovu wa serikali na ukiukwaji wa maadili wa viongozi, sana sana baada ya ENL kujiuzulu. Kina Warioba, Salim, Butiku, Kaduma, Kitine n.k. wanakerwa na mwenendo wa sasa wa nchi - kiutendaji na miiko ya maadili ya uongozi, na kama wanatofautiana na ENL, basi ni chini kwa chini, vinginevyo hakuna taarifa za wazi juu ya kumkubali au kumkataa ENL moja kwa moja.

Kuhusu Mwambulukutu kusamehe, kama nilivyoeleza awali, taarifa juu ya njama juu ya mauaji yake ni tetesi tu miongoni mwa maafisa wa TISS ambazo zimekuwa zinazagaa tangia mwanzoni mwa mwaka 2008. Vinginevyo sina taarifa zaidi kwani Mwambulukutu kwa hivi sasa ametoweka katika jamii/vijiwe, kwahiyo maoni au mtazamo wake juu ya jambo lolote ni vigumu kusikia kwa sasa. Vinginevyo, Mwambulukutu alikuwa na ukaribu sana na ENL, Kikwete, na Apson, na hakukutana nao wote hawa barabarani, bali ni mahusiano ya muda mrefu ya kifamilia.

Kwa hiyo Mtoahabari Unazomwaga Hapa hazitoki ndani kama wengi wanavyoelekea kuamini. Ni za Vijiweni kama unavyithibitisha kupotea kwa Mwambulukutu Vijiweni Kumekupunguzia Vyanzo vya kujaza kurasa
. Je maoni hayo ni sahihi??
 
Ungeniuliza kama hukuelewa where i am coming from, upo completely out of my line of thinking, are you on medication?
YOU ARE THE ONE ON MEDICATION ................. SINA HAJA YA KUJUA UNATOKEA WAPI,TATIZO MNADHARAU VYOMBO VYA ULINZI MNADHANI KWAMBA HAKUNA WASOMI KULE ......... HIZI SIO ZAMA ZA MIAKA YA MWANZO BAADA YA UHURU, MAMBO YAMEBADILIKA.......... , NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK....
 
Nina usingizi lakini nimeamua kuweka Miguu kwenye maji ili niendelee kusoma mastori. Bora Kama tutakesha wote, usinitose.

unajua tangu nifuatilie thread hii najikuta naanza kuichukia nchi yangu mwenyewe, kumbe tunaongozwa kimafia? kweli nilikuwa gizani
 
Maneno mazito sana haya Pasco........

Hauoni kama yanaweza kumharibia EL?,maana nayaona kama yamekaa kiuchonganishi vile.......Sidhani kama ulikuwa na haja ya kuyaandika haya(kama kweli una nia ya dhati kabisa ya Lowassa for 2015).....

Ni mtazamo tu....

Bala.
Asante Bala, kwa vile EL kachafuliwa sio mikono tuu useme atanawa na kuisha, amechafuliwa mpaka nguo za ndani, hivyo njia sahihi ya kumsafisha ni kumvua nguo zote ili uchafu wake wote uonekane, na atakapotakata, usafi wake ujidhihirishe, tatizo kubwa la EL ni hilo zigo la uchafu wa Richmond, anatakiwa alibwage hilo zigo, watu wamjue mwenye zigo lake, ndipo atakapotakata!.

Tatizo langu ni kusema ukweli daima, japo umesha nicost sana, ila mwisho wa siku ni ukweli utasisimama!
 
Back
Top Bottom