Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

FP mkuu wangu..normally mabandiko yako ni objective lakini kwa hili bandiko ume demonstrate ulivyo biased kabisa and Iam sure hata nafsi yako inakusuta kwa sababu unajua unasema kitu ambacho in practice kwa siasa zetu za Tanzania ni ngumu kutekelezeka. Unaturudisha enzi za Mkapa kulalamika kwamba tuhuma dhidi yake na wala rushwa wenzake zipelekwe mahakamani wakati anajua mtuhumiwa ni YEYE na katiba na sheria zinamlinda asipelekwe mahakamani! Strange?? Mkuu kupambana na rushwa kwenye vinchi vyetu vya kimasikini it takes more than laws na akina Takukuru! It needs political will-something we badly lack, maana wanasiasa ndo wezi wakubwa! Kwa wote wenye nia na mapenzi mema na taifa letu tunalijua hili ndo maana tunaitafuta katiba mpya.

Otherwise, mkuu kama kawaida nitaheshimu michango yako hata kama sikubaliani na wewe mara nyingi..maana naamini ni mitazamo kama hii inatufanya tuwe na majadiliano tukitafuta suluhisho la matatizo yetu. Lakini kwa kauli yako hapo juu, I can safely say..umekuwa mnafiki: Pole kwa kutumia neno hilo maana nimekosa neno mbadala mkuu! Ushauri wangu hata kama tunawasupport hawa jamaa kwa sababu zetu mbali mbali..lakini tujitahidi kubakia objective kwenye hoja zetu (atleast kwa wale wengi wetu ambao bado tunaamini objectivity ya hoja). Maslahi ya taifa letu mbele daima.

Happy new year!

Masanja,

Masanja,

Wala usijali jina au neno unalotumia. Mie nikisoma tu maandiko naelewa una maanisha nini.

Back to the mada. Ndugu yangu kama KWELI UNANISOMA NA KUELEWA basi usingeandika wala kufikiri kua mimi ni mnafiki. Kwanini basi?:

- Huyu EL ana nguvu kweli kama tunavyooneshwa humu au kutakiwa tuamini?, ana nguvu kupita Rais kwa hiyo hawezi kuhijiwa na Takukuru?, kweli unaamini? na kama anazo hizo nguvu ilikuaje akautema uwaziri mkuu!!!?

- Huyu EL ni mwizi kweli kiasi hicho?, maana Wildcard ameandika kila sehemu anaiba, USHAHIDI ZEROOOO!

- Kweli kama huyu jamaa angekua na nguvu kiasi hicho kwanini asihame chama?. Pesa is almost everything... kama kweli pia ana hizo hela!

Basi Masanja ukishatafakari yoote hayo wewe mwenyewe bila kutumia magazeti au JF utanielewa. Kuna watu wapo humu kumponda Lowassa, kupandikiza chuki kuonyesha kila hila mbaya nk.

Why wapo hapa, kwasababu wametumwa, Lowassa ana nguvu za utendaji na anawaumbua wazembe ambao hawampendi.

By the way WHY LOWASSA tu ndie anajadiliwa?

Hope umeelewa.
 
Biashara pekee ya Lowasa ambayo ni kubwa tu na hamtaki kuitaja ni ile ya kutafuna Idara na mashirika ya UMMA yaliyokuwa kwenye wizara alizowahi kuongoza:
-Kitengo cha Maafa ofisi ya WM kilimpa fedha nyingi sana wakati ule.
-Mamlaka za Maji Mijini zikiongozwa na DAWASA ya Mutalemwa zimemchangia sana tu.
-Ule mradi mzima wa maji wa ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama ametafuna ni balaa.
-Alipoanza tu Uwaziri Mkuu akahakikisha anateua wakurugenzi wake wa halmashauri/Manispaa wengi tu ili atafune.
-NHC akiwa waziri wa ardhi na Haruna Masebu akiwa DG wakati huo ni balaa.
-EWURA ya Masebu nayo iliendelea kumneemesha LOwasa isivyo kawaida.
Mchezo huu unafanywa na mawaziri wengi tu sasa ingawa muasisi na kinara wake ni Lowasa.

- Ule mradi wa Mchuchuma na Liganga pia alikwapua hela zote
- Ule mradi wa umoja wa mataifa wa kufadhili nchi masikini iliyokua chini yake alipokua waziri mkuu
- Kuna fungu la kuendeleza AICC pia alilikwapua
-Kila mkurugenzi wa manispaa kila mwezi anampelekea hela la sivyo kazi hana na ameshafukuza ishirini kwa kushindwa kupeleka hela
- Kila mkataba anaosaini lazima apewe 20% yeye hataki 10%
- Kuna hela alipewa za kusaidia jimbo lake kutoka Ujerumani alizila zote wala hakusaidia jimbo
- Ana nyumba kama nane hivi London pekee yake
- Anauza ng'ombe kama mia kila wiki anapeleka Commoro na visiwa vingine hawa ng'ombe ni wale wanaoibiwa umasaini..

ENDELEZA MENGINE MABAYA UYAJUAYO YA Lowassa!!
 
watanzania bwana wanajua kupenda bila sababu.Rost tamu haziivi,low asa na wazee wengine.wameiendesha nchi kwa muda mrefu kwa jinsi usivyoweza kufikiri.wanamiliki chama,wana muweka mgombea wanahakikisha anaipita.wanampangia jinsi ya kufanya kazi asiguse interest zao.wengine tunavaa khanga na kujidai wanachama.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mh waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hajamfahamu adui yake no 1. Hii inatokana na ukweli kuwa vita anayopigana inamhusisha yeye na adui asiowajua. Membe anaamini adui zake wakubwa ni Rostam na Edward.Amepotoka.

Membe napenda nikufahamishe ya kuwa, usipoangalia, yatakupata makubwa zaidi ya yale yaliyompata Harrison. Unapigana na watu hatari na wanaotumia akili nyingi sana kwenye game hili la siasa.

Katika baraza la kwanza la JK uliteuliwa kuwa deputy wa home affairs. Ulilalamika sana kwa JK. SMS ya kulalamika kwako uliyomtumia JK, iliwafikia Rostam na Edward at the same time bila wewe kufahamu. Tafakari kwanza!

Richmond haijaletwa na Rostam wala Edward nchini. Wewe unafahamu vyema jinsi JK alivyocheza dili la Richmond kishamba akishirikiana na Gire baada ya mazungumzo yao huko U.S. Baada ya mambo kuharibika ndipo rostam na edward wakashirikishwa. Unafahamu vizuri role aliyoicheza rostam kuhakikisha angalau dowans inazaliwa ili kumwokoa JK.Ya lowassa kujiuzulu unayafahamu vizuri sana sitaki kuyazungumzia kwa sasa.

Sitta hakuwahi kuwa rafiki wa Harrison hata siku moja. Alimtumia tu ili kutimiza malengo yake ya kumwondoa Lowassa kwenye nafasi yake. Wewe ndiye uliyekuwa ukiwachonganisha mara kwa mara JK na PM wake Lowassa. Hata nafasi ya nje uliipata kwa jungu kubwa na la ustadi wa hali ya juu ulilochezewa na vijana wawili wa usalama wa taifa kwa kumchafua Lowassa. JK akaanza kukuamini.Ulicheza vizuri karata kwani ulijua fika jinsi gani sitta alivyomchukia rostam na Lowassa kwa yale waliyomtendea ili asiwe PM na kwa ustadi wa hali ya juu ukamshawishi sitta alitumie bunge ili kumwadhibu lowassa.

Mwakyembe ana ugomvi wa siku nyingi na rostam hata kabla ya JK kuwa rais. Alitumia nafasi hiyo kumnyonga Lowassa na rafiki yake Rostam na kwa bahati mbaya akakiri ndani ya bunge kuwa kuna machafu mengi yameachwa ili kunusuru heshima ya serikali. Kosa kubwa sana kuwahi kufanywa na mtu aliyepitia idara ya usalama wa taifa. Unafahamu vyema kuwa hili kosa ndilo linalomgharimu Harrison huko Appollo. Baada ya Lowassa kuangushwa, ulikumbatiana na Mwakyembe, Rais akawapongeza, mkafurahi, mkabweteka na kumwamini JK. Kosa la pili kubwa.

Kwa bahati mbaya sana ukaungana na Mwakyembe, Mengi, Sitta, na wafuasi wake kwa ajili ya kuutafuta urais tena kwa kumtumia mwanaye Ridhiwani. Hili ni kosa la tatu kubwa kwani ulichanganya kwenye kundi lako watu wasio marafiki wa JK ambao kwa hakika wata-demand umburuze JK mahakamani pindi utakapokuwa rais.

Rostam-JK-lowassa

1. Hawa ni marafiki wakubwa ambao licha ya wawili kuwa nje ya serikali lakini wote watatu wanaendesha serikali na hawasiti 'kuwanyamazisha'' wabaya wao wanaogusa interest zao.Individually wanatofautiana ila wakiwa watatu ni wamoja.Membe naomba ufahamu hili.
2. Wewe ulimtaka sitta awe spika kwa mara nyingine tena. JK alimtaka sitta pia lakini katika kikao cha watatu akakubaliana na pendekezo ingawa kwa shingo upande la Anne kuwa spika.
3. JK atakuwa safe kama lowassa akiwa rais.Hatakuwa safe endapo mmoja wenu atakuwa rais.Anafahamu hili fika.
4. Richmond itarudi bungeni kabla ya 2015.Wakati wa kujadili, wewe na mwakyembe mko tayari kusema ukweli.Ili kuwazima, mwakyembe 'ataondoka' then wewe waweza kufuata!.Haya yatafanywa na umoja wa hawa watatu na si individually
5. Ndani ya CC iliyopita zilipigwa kura za siri ili kumfukuza Lowassa uanachama.Kati ya wajumbe 32, 19 walimsupport lowassa na 13 kwa JK!.Hapa wanaonekana ni wapinzani ingawa wakiwa watatu ni wamoja.
6. JK anaweza kukusikiliza na kujifanya mko pamoja naye. Lengo ni kutaka kujua what's going on in your group ili wawamalize vizuri.
7. JK hakumtaka Bilal, lakini umoja ukalazimisha ndiye awe makamu wa rais. Mkapa alitumwa bila kuelewa.
8. Hawa watatu kwa pamoja walimteua Mkama. Wewe hujui hilo ingawa mwenzako chiligati alishastukia!
9. Membe unafahamu ya kwamba kujivua gamba ni hoja iliyoletwa na rostam kwa mara ya kwanza kwenye kikao cha watatu hao ili game iishie bungeni kwenye kujadili Richmond upya? Symbion iko nchini Membe. Unajua kaileta nani?. Je, nani kamleta Mama Clinton nchini?
10. Membe muulize Mwandosya akwambie jinsi watatu hawa wanavyomtesa. Umesahau tulipokuwa Marekani jinsi Balali alivyosema kuhusiana na chanzo cha afya yake kuzorota?.
etc, etc, etc, etc

Ushauri wangu kwa Membe
:

Be careful sana katika game hili Membe. Kama kweli unautaka urais lazima kwanza uufahamu mchezo unavyokwenda. Wenzako wanacheza game nzito na kisayansi zaidi. Know your enemy first. Na kwa kukusaidia, adui yako namba moja ni huo utatu and not an individual person

Kila anayetaja anamtaja Mkuu au RA. Sasa bwana EL mbona mnampakazia sana?
 
Wow! this is powerful... yaani nasoma narudia kusoma na usoma hadi nashindwa kuelewa siasa za Bongo...Wanikumbusha Mzee Es wakati wake..

Mkuu pengine uko karibu na hawa jamaa, lakini mbona unajichanganya kumwodoa JK ktk chaguzi za mwaka 2000 wakati Rostam na Lowassa walikuwa kundi moja na JK?.. Na ilikuwaje mwaka 2005 hawa kina Lowassa wakampiga vita Mkapa waziwazi na kuwa kundi la JK ambalo walihakikisha watu wote wa Mkapa wanatelekezwa?..Haya mahusiano ya Mkapa, Lowassa na Rostam kimtandao yameanza lini haswaa maana kwa jinsi hali halisi inavyojionyesha Mkapa kavutwa tu miaka michache kuelekea 2010 baada ya kumtishia Ufisadi hasa walipochukuliwa Yona na Mramba na kuwafungulia mashtaka yasiyokwisha.. Mkapa hadi hajitokezi mbele ya kadamnasi - akizomewa nchi nzima!

Nijuavyo kimtandao hii ilikuwa mbinu nzuri sana ya kumweka Mkapa na kina Sumaye kapuni leo tunawaona wamejiunga na Mtandao huo toka uchaguzi wa mwaka 2010..Mtandao wa Lowassa sasa hivi una nguvu kubwa sana baada ya kuwavuta mtandao wa Mkapa ndani na kuwa kitu kimoja.. Hili kundi zima sidhani kama JK hayumo, bali anajua kinachoendelea na yeye ndiye rais kundi hili linamuhitaji kuliko watu wote. JK hakuwa rais kwa uchaguzi wa Chama bali alikuwa rais kwa mikakati ya mtandao ambayo ilimuondoa kwanza Malecela na Kigoda kisha wakamaliza na Salim..Muafaka ndani ya chama CCM ulikuwa kuunganisha makundi haya na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Ushauri wako nadhani unaupeleka pabaya maana JK ni jemedari wa Jeshi hilo na analindwa sidhani kama yuko hatarini bali mchezo ndio unachezwa mtu kama wewe na mimi tufahamu hivyo..JK kama rais hatakiwi kujionyesha yupo kundi nao ama ana Ubia na mtu japokuwa upo na dalili zote zipo...

Mkandara,
Ubeti wako wa Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya umeishia wapi?

Hutaki Unaacha ni kama yuko right, usimbeze.

Nawatakia kila la kheri ktk safari yenu ya kuzimu.

Fanya kazi yako ya fani achana na siasa za CCeM wanakupotosha
 
- Ule mradi wa Mchuchuma na Liganga pia alikwapua hela zote
- Ule mradi wa umoja wa mataifa wa kufadhili nchi masikini iliyokua chini yake alipokua waziri mkuu
- Kuna fungu la kuendeleza AICC pia alilikwapua
-Kila mkurugenzi wa manispaa kila mwezi anampelekea hela la sivyo kazi hana na ameshafukuza ishirini kwa kushindwa kupeleka hela
- Kila mkataba anaosaini lazima apewe 20% yeye hataki 10%
- Kuna hela alipewa za kusaidia jimbo lake kutoka Ujerumani alizila zote wala hakusaidia jimbo
- Ana nyumba kama nane hivi London pekee yake
- Anauza ng'ombe kama mia kila wiki anapeleka Commoro na visiwa vingine hawa ng'ombe ni wale wanaoibiwa umasaini..

ENDELEZA MENGINE MABAYA UYAJUAYO YA Lowassa!!
Niliyoyataja mimi hayana ubishi. Waliompelekea MAMILIONI haya wapo. Mali anazomiliki zipo ambazo nyingi zinatokana na mamilioni haya. Unadhani ni rahisi yeye mwenyewe akalikana hili?
 
Mtoa habari umesema matajiri wa nje wameaminishwa kuwa ENL ni raisi a miaka 20, 2005-2025, so u mean that he is the current president sio?huyu tulionae ni just shadow ehheeeee, fantastic!
 
Masanja,

Wala usijali jina au neno unalotumia. Mie nikisoma tu maandiko naelewa una maanisha nini.

Back to the mada. Ndugu yangu kama KWELI UNANISOMA NA KUELEWA basi usingeandika wala kufikiri kua mimi ni mnafiki. Kwanini basi?:

- Huyu EL ana nguvu kweli kama tunavyooneshwa humu au kutakiwa tuamini?, ana nguvu kupita Rais kwa hiyo hawezi kuhijiwa na Takukuru?, kweli unaamini? na kama anazo hizo nguvu ilikuaje akautema uwaziri mkuu!!!?

- Huyu EL ni mwizi kweli kiasi hicho?, maana Wildcard ameandika kila sehemu anaiba, USHAHIDI ZEROOOO!

- Kweli kama huyu jamaa angekua na nguvu kiasi hicho kwanini asihame chama?. Pesa is almost everything... kama kweli pia ana hizo hela!

Basi Masanja ukishatafakari yoote hayo wewe mwenyewe bila kutumia magazeti au JF utanielewa. Kuna watu wapo humu kumponda Lowassa, kupandikiza chuki kuonyesha kila hila mbaya nk.

Why wapo hapa, kwasababu wametumwa, Lowassa ana nguvu za utendaji na anawaumbua wazembe ambao hawampendi.

By the way WHY LOWASSA tu ndie anajadiliwa?

Hope umeelewa.
Ushahidi sio ZERO. Lowasa hajawahi kuwa nje ya utumishi wa UMMA tangu alipomaliza chuo mwaka 70 na ngapi sijui. Tumefanya nae kazi katika baadhi ya sehemu alikopita. Tunamfahamu na ukusanyaji wake wa maduhuli tunaufahamu. Hivi visingizio vya kuuza maua, vocha ni vitu vidogo sana.
Mkimdanganya akachukua fomu ya URAIS tutasema sana tu. Labda mtushughulikie mapema tu kama ilivyotokea kwa Dr OA Juma ambaye kukubalika kwake, uadilifu wake tu kulimwondoa duniani.
 
Ah naona kilichoandikwa kinahitaji uchunguzi na evidence,,,,, karume na kikwete wamefanya kazi pamoja na wanaekewana kupingwa ktk siasa ni jambo la kawaida ata hao wabunge wa chama kimoja wanamitazamo tofauti,,,,,,

huyu jamaa katumwa aje kumchafua Lowassa, rostam, shein na Karume na wengn,,,, amna lolote la kuliamini, Ivi kina karume na mkapa binafsi wameshindwa kumhonga direct Maalim mpaka wamtumie Jussa.

Huyu jamaa sijui kachukua mda gani kutunga stori yake, Maalim na Karume wamekuwa marafiki ktk miaka ya ivi karibuni kuanzia awamu ya pili ya Karume, Karume ni adui wa Bilal, Salmini na Mkapa, tena vipi karume awe rfk yake Mkapa?

Baada ya kuskia Znz kunataka kuwepo Mseto kilimuuma sana Mkapa coz alijua wapunzani wanaanza kuingia Madarakani, na hayo yamefanikishwa na Karume na Mkapa hakulipenda,,,,,

Dondoo nlizozipata ni kuwa Mkapa alikutana na mamake Karume na kumlalamikia about anachotaka kufanya Karume, mama akajibu muueni km mlivyomuua babake!

Karume ni kiongozi aloleta maendeleo mengi visiwani kuliko hata Shein, shein yy ataebdeleza tu lkn mwanzilishi ni Karume.

Na aliewaamsha waznz ni Karume na amewapa nafasi ya kujitetea, hilo halijamfurahisha mkapa kbs, tena vipi useme Karume na Mkapa wamo kwenye mtandao 1? Bora ungesema Karume, Kikwete, shein na maalim ni timu 1, afu umuweke Bilal na Mkapa timu nyengine!!
 
Ah naona kilichoandikwa kinahitaji uchunguzi na evidence,,,,, karume na kikwete wamefanya kazi pamoja na wanaekewana kupingwa ktk siasa ni jambo la kawaida ata hao wabunge wa chama kimoja wanamitazamo tofauti,,,,,, huyu jamaa katumwa aje kumchafua Lowassa, rostam, shein na Karume na wengn,,,, amna lolote la kuliamini, Ivi kina karume na mkapa binafsi wameshindwa kumhonga direct Maalim mpaka wamtumie Jussa. Huyu jamaa sijui kachukua mda gani kutunga stori yake, Maalim na Karume wamekuwa marafiki ktk miaka ya ivi karibuni kuanzia awamu ya pili ya Karume, Karume ni adui wa Bilal, Salmini na Mkapa, tena vipi karume awe rfk yake Mkapa? Baada ya kuskia Znz kunataka kuwepo Mseto kilimuuma sana Mkapa coz alijua wapunzani wanaanza kuingia Madarakani, na hayo yamefanikishwa na Karume na Mkapa hakulipenda,,,,,
Dondoo nlizozipata ni kuwa Mkapa alikutana na mamake Karume na kumlalamikia about anachotaka kufanya Karume, mama akajibu muueni km mlivyomuua babake!

Karume ni kiongozi aloleta maendeleo mengi visiwani kuliko hata Shein, shein yy ataebdeleza tu lkn mwanzilishi ni Karume.

Na aliewaamsha waznz ni Karume na amewapa nafasi ya kujitetea, hilo halijamfurahisha mkapa kbs, tena vipi useme Karume na Mkapa wamo kwenye mtandao 1? Bora ungesema Karume, Kikwete, shein na maalim ni timu 1, afu umuweke Bilal na Mkapa timu nyengine!!

Waambie wewe , nikisema mie naonekana namtetea Lowassa. Vitu vingi sana havi ADD up!

Wildcard,

Achana na habari ya kwenye mitandao, hakuna anayeshughulikia mtu. Kila mtu na arobaini zake tu kama alivyopangiwa na Mungu.
 
Eeeeh bwana wee tatizo mimi maskini jeuri tena san,a na najijua kwamba siwezi kuwa mnafiki wala kuikarifisha nafsi yangu ktk kutenda yasiyo mema. Nashukuru Mungu na kidogo nilicho nacho lakini siwezi shika haramu kwa sababu tu ya dhiki. Nimepita sana huko mkuu wangu na sikujaliwa kama walivyojaliwa hawa inabidi sasa kuitafuta pepo...

Maana haya maswala ya kiutawala ni sawa na muuza Unga ipo siku utanasa pabaya na ktk anga za Simba wenye njaa...Tumewaona wangapi mkuu wangu. Kama mimi ningekuwa kundi hilo hizi ndizo dalili tosha za kukuonyesha Ghubu la watu na wanavyomshtakia Mola na kila siku itakuwa na malipo yake pengine hapa hapa duniani.

Naona kama nimekupata kidogo. Nnachokiona dunia inaelekea mahali ambapo Policing itaanza kufanywa from the central point (katika level ya dunia) kuwainvestigate ikiwezekana hata viongozi wa nchi na kuwafungulia mashtaka. Hii njia hatuwezi kuiepuka na hasa ukitilia maanani kuwa uchumi wa dunia upo pabaya sana.

Mataifa makubwa yamekamua wananchi wao ili kusaidia masikini wa third world lakini misaada hiyo inaishia kwa wajanja wachache and the rest wanabaki masikini wa kutupwa. There will be a strategy to deal with this Mafia kwa nguvu zote, huko ndio tunakokwenda sasa.

Lets wait and see, ila this trend will come to an end, i do not know when though.
 
Waambie wewe , nikisema mie naonekana namtetea Lowassa. Vitu vingi sana havi ADD up!

Wildcard,

Achana na habari ya kwenye mitandao, hakuna anayeshughulikia mtu. Kila mtu na arobaini zake tu kama alivyopangiwa na Mungu.
FP,
Umenikumbusha kauli ya Mh Spika Sitta juu ya taarifa za Dr Slaa kuhusu ufisadi wa EPA nadhani. Alimtaka aachane na taarifa za mitandao. Kilichokuja kuthibitika baadae ni suala jingine sasa. Kama Lowasa anautaka Urais kwa udi na uvumba kiasi hiki na sio WANANCHI wanaomtaka awe Rais, atang'oa kila kisiki atakachokumbana nacho kwa namna yoyote ile kama walivyofanya kuanzia 1995-2005.
Hofu yangu ni kwamba huenda hata kifo cha Mwalimu hakikuwa cha kawaida? Kiliharakishwa?
 
Mchambuzi, hii ni take home message nzuri. Jambo moja muhimu ni kuwa lazima tuachane na hii culture ya impunity. Lazima tumshukuru "mletahabari" ili written evidences zihifadhiwe kwenye archives na hawa watu wapate haki yao inavyostahili kuliko kuwaaacha wastaafu huku familia za victims wao zikiteseka na vinyongo.

Mfano mzuri ni organized killings and near death ya balozi wetu aliyekuwa SA na wengineo. Wewe binafsi huoni kuwa kuna umuhimu wa justice kwa yeyote aliyehusika?

Gogomoka,

I understand your point, lakini​ukweli bado unasimama kwamba Mtoa Habari is playing a very dangerous game, these are gruesome accusations, ambazo for sure leaves many of our jaws dropped; If he has evidence (it looks like ni mtu wa ndani), Jamiiforums sio mahala pake, kwani there are institutions that are specially designed to handle such.

Vinginevyo ni muhimu sana sisi kama Vijana tuka focus katika mijadala yenye ukweli na uhakika, and whenever taarifa kama hizi zikiwa zina pop up every now and then, busara ya kawaida kabisa, in my humble opinion, ni kuchukua tu notes.

Otherwise, personally, my unshakable belief is that, kutumia muda mwingi katika mijadala dominated na taarifa zisizo na ukweli au uhakika, doesn't provide us with a better future kama vijana. Discussions zenye traffic kubwa namna hii, laiti zingekuwa zinalenga kwenye mada on youth development e.g. employment generation, elimu, leadership, our new constitution, etc,

sio tu kwamba ingetujengea msingi imara for a better future, but also even our sons, daughters, grandsons and granddaughters, wangefaidika sana kwa kurudia and review our archives in JF, and in the process determine challenges za waliowatangulia zilikuwa ni zipi, hence put them in a better position kuzikabili changamoto zao.
 
Mkuu tunakushukuru endelea kutujuza,MUNGU akupe uhai ili tujue mengi
 
kesha sema kama HUTAKI UNAACHA

Siachi!
JF hatuzibani midomo, huwezi kuleta topic ikabaki bila challenge.
Read between the lines
Kuna mada nyingine ya namna hiyo hiyo aliileta mwaka jana, ipo katika kiungo hiki, soma jue mtoa mada katoka wapi na mada za namna hiyo. Usilale mwanangu.
 
Let me watch and learn..
:juggle:
 
Lowasa will never be the president of Tanzania...never...na hawa walipanda ELairline daraja la economy na business nawashauri wasiendelee na safari maana hawatafika.....

kuhusu kifo cha mwl ..hili tuliongea kwa kirefu snaa jukwaa la inteligence tafuta thread inayosema ''did mwali die a natural death?''
 
FP,
Umenikumbusha kauli ya Mh Spika Sitta juu ya taarifa za Dr Slaa kuhusu ufisadi wa EPA nadhani. Alimtaka aachane na taarifa za mitandao. Kilichokuja kuthibitika baadae ni suala jingine sasa. Kama Lowasa anautaka Urais kwa udi na uvumba kiasi hiki na sio WANANCHI wanaomtaka awe Rais, atang'oa kila kisiki atakachokumbana nacho kwa namna yoyote ile kama walivyofanya kuanzia 1995-2005.
Hofu yangu ni kwamba huenda hata kifo cha Mwalimu hakikuwa cha kawaida? Kiliharakishwa?

YES sir! alikufa kawaida. NI PM nikuongezee kidogo. Ila hakukua na mkono wa mtu alie HAI kwenye kifo cha Mwalimu.

Usiogope hakuna atakaye kutafuta wewe WildCard.
 
Back
Top Bottom