Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Mkuu Mtoahabari, hapo kwenye red umenikumbusha kitu fulani. kuna siku nilikuwa pale Rose Garden na nikamuona L.Masha akiwa na
vijana kama sita hivi wakipata lunch karibu sana na sehemu ambayo na mimi nilikaa kupata lunch yangu....kusema kweli kwa mbali
nilimsikia Lau Masha akimuongelea EL kwa wale vijana aliokuwa amekaanao pale,yaani ilikuwa kama kuna maagizo fulani anawapatia
kuhusiana na EL....yaani walitumia karibu nusu saa hivi kumuongelea EL,lakini Lau Masha alikuwa anaongea kwa sauti ya chini sana kwa hiyo sikuambulia kitu chochote pale zaidi ya jina la EL. Je huyu Masha nae yuko kwenye kundi la EL au yuko against EL?
Umbeya @ work...
 
Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.

Lowassa chaguo la Mungu!

Halafu unasema hujanunuliwa!!!

Umeshaongea na mungu na keshakupa uwakilishi wa watanzania zaidi ya milioni arobaini?? aisee

Hata kama wengine wapo neutral, hili linachefua kabisa
 
Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.

Lowassa chaguo la Mungu!

mkuu upo serious kweli au unatania?
kwanza Mungu hadhihakiwi aisee, labda huko huko kwa freemason, EL ni kimeta, hafai hata ukuu wa wilaya.
mtajisumbua bure, safari hii na njaa hizi hatutadanganyika.
 
Halafu unasema hujanunuliwa!!!

Umeshaongea na mungu na keshakupa uwakilishi wa watanzania zaidi ya milioni arobaini?? aisee

Hata kama wengine wapo neutral, hili linachefua kabisa

na wewe Umeongea na Mungu kujua EL sio chaguo lake? Au Umeongea na Mungu kukwambia mie nimenunuliwa Kama sio umbeya?. Unaponyoosha kidole kwa mwenzio vinne vinakulenga mwenyewe.
 
FaizaFoxy na Hali Halisi wako kwenye likizo ya mwaka ambako hakuna mitandao ya kuwasilisha mawazo yao humu? Mbona naona kama wao wanaweza kuyabainisha zaidi mambo haya?.
 
mkuu upo serious kweli au unatania?
kwanza Mungu hadhihakiwi aisee, labda huko huko kwa freemason, EL ni kimeta, hafai hata ukuu wa wilaya.
mtajisumbua bure, safari hii na njaa hizi hatutadanganyika.

kweli?? OK. Nielezee basi nani anafaa zaidi ya Lowassa.
 
Utatoka mapovu bure. HuKo kwa Jesus pia tumeshaenda, tume pewa a go ahead pia. Labda uende kwenye mashetani huKo hatujaenda, kwakua tunaamini nguvu ni moja tu ni Mungu.

Lowassa chaguo la Mungu!

Atakuwa Chagua la Shetwani kama wenzake wa sasa, na watanazania safari hii ya 2015 hatutokubali kuchagua shetwani tena
 
Naona mijadala kuhusu Lowassa haulengi kutatua changamoto zilizopo, na badala yake umetawaliwa na malalamiko, nahali ya kukata tamaa. Tulijadili hilo japo kidogo. Kwa hali ya sasa, Edward Ngoyai Lowassa kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni suala lililo katika ‘count-down’ kama vile kuelekea mwaka mpya. Njia za kuzuia hilo lisitokee ni kumi. ................................

Nadhani kwa wale wasiopendelea Lowassa awe Rais wa Tano wa Tanzania, angalau sasa mnajua wapi kwa kuanzia kuzima ndoto yake hiyo. Vinginevyo, kwa wale mashabiki wa Lowassa, hakika mnagundua jinsi gani ni vigumu kwa kipenzi chenu kukatishwa safari yake ya kuelekea mahali pale patakatifu – Ikulu.

yeye/wao watakuja kwa pesa na vitisho vya risasi, lakini sisi (wanyonge) tutavuliwa ukondoo wetu na kujazwa ujasiri japo kwa mda mfupi nakuingia barabarani kwa jina la Mungu.
 
kweli?? OK. Nielezee basi nani anafaa zaidi ya Lowassa.

kwanza nakusahihisha, usiseme zaidi ya lowasa, niulize nani anayefaa kuwa rais wa tanzania, nitakujibu hivi
aliyemsafi , si msafi wa mwili, bali msafi wa moyo na matendo yake (asiwe fisadi)
atakayelinda rasilimali zetu na kuthubutu kuzigawanya kwa usawa rasilimali zilizopo kwa watu wote.
mwenye hekima.
asiyejilimbikizia mali. una la zaidi?
 
Nimeamua kuinunua hii kesi ya hawa jamaa aise hata wakatambikie katika makaburi yote na madhabahu wanayayo ya jua kuwa yana nguvu hakuna kati yao wala mtu wao atakaye upata urais wa Tanzania....Mbaya zaidi kuaznia sasa wataingia katika mgogoro mkubwa na wao kwa wao watatoana ngeu na kuvuana nguo hadharani mpaka mambo yao yote yatakapo kuja kwenye uso wa watanzania wawasome vizuri wao ni watu wa aina gani; says the prince the son of th most high Jesus Christ son of David.
???????kulikuwa hakna umuhimu .ulikuwa ushaeleweka
 
Wapi? Upande upi kaka? Hamna upande wowote zaidi ya Lowassa.

Naomba nishawishi nihamie upande wenu kwa hoja na sio kwa kumkashifu Lowassa! Hapo ndo mnakosea. Mmepoteza ushawishi mmebakia na eti ukimsema EL utafanya vile au hivi a pure BS!

Anza kunishawishi basi......
Mambo ya mitandao haya FP. Naweza kuwa namshawishi Lowasa mwenyewe, mkewe au mwanae Fred. Nitaweza kweli? Ni kazi ngumu kidogo hasa kama umekula viapo vya nguvu juu ya mtu huyu. Nilikutana na Hamis Mgeja kwenye msiba wa mama mmoja kule Mbezi. Haumwambii kitu kuhusu Lowasa.
 
Mambo ya mitandao haya FP. Naweza kuwa namshawishi Lowasa mwenyewe, mkewe au mwanae Fred. Nitaweza kweli? Ni kazi ngumu kidogo hasa kama umekula viapo vya nguvu juu ya mtu huyu. Nilikutana na Hamis Mgeja kwenye msiba wa mama mmoja kule Mbezi. Haumwambii kitu kuhusu Lowasa.

Wildcard,

Hili swali ni GUMU humu mno la nani zaidi ya Lowassa kwenye urais ujao. Sijakula viapo naweza kubadilika nishawishi tu.
 
Wildcard,

Hili swali ni GUMU humu mno la nani zaidi ya Lowassa kwenye urais ujao. Sijakula viapo naweza kubadilika nishawishi tu.

ok. mkuu ni sababu gani zinakufanya wewe usigombee urais na badala yake umpendekeze lowasa?
 
FaizaFoxy na Hali Halisi wako kwenye likizo ya mwaka ambako hakuna mitandao ya kuwasilisha mawazo yao humu? Mbona naona kama wao wanaweza kuyabainisha zaidi mambo haya?.
Hao wapo sana, sema mijadala ikiwa ya moto na hawaiwezi huwa wanaingia kwa mlango wa nyuma (multiple IDs) na kurusha makombora. Ukisoma baadhi ya posts humu utaona 'tone' zao
 
Wildcard,

Hili swali ni GUMU humu mno la nani zaidi ya Lowassa kwenye urais ujao. Sijakula viapo naweza kubadilika nishawishi tu.
Sio swali gumu ila limeulizwa wakati usio wake. Tupate KATIBA mpya kwanza. Naamini watu kama Lowasa hawatakuwemo kwenye kinyang'anyiro hiki kwa kukosa SIFA au MIIKO ya UONGOZI itawakamata tu. Katiba mpya lazima itupatie namna bora ya kuupata UONGOZI wa TAIFA.
Unakumbuka CCM walipotaka kumuondoa Mrema kwenye kinyang'anyiro hiki mwaka 1995 waliweka sharti gani kwenye Katiba yao?
 
Sio swali gumu ila limeulizwa wakati usio wake. Tupate KATIBA mpya kwanza. Naamini watu kama Lowasa hawatakuwemo kwenye kinyang'anyiro hiki kwa kukosa SIFA au MIIKO ya UONGOZI itawakamata tu. Katiba mpya lazima itupatie namna bora ya kuupata UONGOZI wa TAIFA.
Unakumbuka CCM walipotaka kumuondoa Mrema kwenye kinyang'anyiro hiki mwaka 1995 waliweka sharti gani kwenye Katiba yao?

ni kweli katiba mpya ndo tiba, ila sidhani km hii ya sasa inakubali nchi itawaliwe na mafisadi, ama sidhani km katiba ya sasa haina miiko ya uongozi na hivyo EL kukosa sifa, tatizo ni nani anailinda katiba,

 
Hivi HUTAKI UTAACHA hurudi hata kusalimia?

Tuletee part 2 , maana hii habari ni nzito . Watu walio msitari wa mbele wanafunguka taratibu, hivyo lete hiyo iliyobaki ili wadau wachambue, watwange, wapepete na wachuje.

Au utarudi rasmi mwisho wa wiki?
 
Back
Top Bottom