Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udaku wa wenye ukweli kama huu ndo asili yetu,tutaupenda tu. Tupe na wewe mwingine badala ya kukosoa without having grounds, acha kutetea watu kwa kushabikia, anika ukweli wao ba ni zipi na mchele ni upi? usiposema wewe wenye ya kusema watasema utabaki kulalama tu!Watanzania,
Hivi kweli mnapenda story za udaku namna hii?.
Kila siku huwa nasema na kusisitiza anzeni kufikiri kwa kutumia ubongo wenu acheni magazeti na mitandao kuwafikiria.
Ndio maana mnalialia kila kukicha maisha magumu, hayawezi kuwa raisi kama mnaamini story ya kutunga kama hiyo hapo juu.
Udaku wa wenye ukweli kama huu ndo asili yetu,tutaupenda tu. Tupe na wewe mwingine badala ya kukosoa without having grounds, acha kutetea watu kwa kushabikia, anika ukweli wao ba ni zipi na mchele ni upi? usiposema wewe wenye ya kusema watasema utabaki kulalama tu!
Kuhusu Profesa ni tetesi kwamba alikutana na Marehemu aliyehai kwenye shopping Mall katika nchi moja, alipoenda kwenye semina, na haikuwa Marekani. Profesa akapiga simu nyumbani kuelezea tukio hilo, na yakatokea yaliyotokea. Hizi ni tetesi lakini, hazina uthibitisho.
.....IMMA advocate ilipoanzishwa, iliwavutia mtandao original na wakaanza kuitumia kwa shughuli zao mbli mbali. IMMA pia wakamwahidi JK kwamba watamsomesha Ridhiwani Degree ya Sheria Uingereza bure, na kumwajiri. Walimpeleka Ridhiwani Uingereza kama walivyoahidi, akafeli katikat chuo cha kwanza, akapelekwa cha pili, napo huko akafeli. Sifa zake za elimu hapa Tanzania, pamoja na uwakili wake wa mahakama kuu ni wa kiujanja ujanja, wakufanyiwa mipango pamoja na mitihani na IMMA advocate. Ingawa Bado Ridhiwani ana ukaribu wa kikazi na IMMA, lakini hawapo nae tena kiroho, na hawamtaki, na wameapia kumvua nguo muda utakaporuhusu. Hii inatokana na tofauti zilizojitokeza baina ya God Father wa IMMA (ENL) na Baba mzazi wa Ridhiwani, huku Ridhiwani na yeye akipiga vijembe vya chini kwa chini......
Tetesi nyingine ni kwamba, huyu mheshimiwa anafanya ule mchezo mchafu, ile dhambi kuu mbele ya mwenyezi mungu na rafiki yake na mpiganaji wake, yule kijana (PS), mwakilishi wa wananchi kutoka jimbo moja wapo kule kanda ya ziwa Tanganyika. Tukiwa Dodoma, kuna wakati fulani, wenzetu ambao ni wafanyakazi mahotelini, walitoa taarifa kwa wenzao wengine (sio ofisini), jinsi gani waheshimiwa wawili hawa walivyokuwa wanatembeleana nyakati za usiku vyumbani wakiwa na soksi na kaptura za kulalia tu. Taarifa hizi zinapelekea wengi wetu kuamini ule msemo kwamba ukishakuwa na utajiri wa kupitiliza, maovu kama yale sio ajabu kuyatenda. Lakini hizi nazo ni tetesi, hazina uthibitisho.
Mtoa habari=Jack Zoka
Kuna member humu ndani aliyemtokea mtoto wao na gx100 akatolewa nishai, akaambiwa si lolote si chochote kwasababu demu yeye alienda na jeep versio2010 lol!
Uyo mbunge Ps ndio nani jamani?ata kwa kuniPM.
Mkuu T R,
Mimi nilikuwa na hisia kuwa Mtoa Mada ( Hutaki Unaacha) na Mtoa habari ni Mtu na Kivuli chake!! Nadhani unanielewa? Angalia huu mjadala ulivyopoteza Afya. Isipokuwa siamini kuwa unahusiana na uchaguzi wa CCM mwakani.
Mkuu mbona sasa unaji contradict? Kwenye uzi huu huu (ukusara fulani) umeandika kwamba ENL kuchukua nchi hii ni lazima na ni kama count down ya new year,, sasa mbona unakuja kivingine tena?? Unaanza kunitia mashaka
Mama Regina Lowassa na Jaji Damian Lubuva ni ndugu wa ukoo mmoja.
Hapa mkuu Pasco umeangalia zaidi mazingira ya DD.Mtoa habari, sio kila tetesi ni kweli zingine ni uwongo!.
Hoteli yao wote hao ni DD, nami hufikia hoteli hiyo hiyo, nature ya hoteli yenyewe inatoa fursa watu kujiachia maana lounge, garden, swimming pools, dinning, restaurant na bar zote ziko mahali pamoja, mtu akitoka pool na swim suit akaa garden anaweza kukutana na watu waliokuja formal dinner hapo hapo garden, hivyo sio ajabu mtu kukatisha from one place to another akiwa na boxer shot!.
Siamini hata kama ni kweli wana mahusiano yasiyo ya kawaida, hawawezi kufanya upuuzi huo hapo DD hotel, wale wasukuma, Cheyo, Chenge, Ndasa na Kikula wa UDOM, counter ndio sebuleni kwao na mpaka wachoke ndipo bar ifungwe!, nani afanye upuuzi huo open place kama pale!, I don't buy this!
mmh very interestin yaan..... mambo yoote waz.Mr President,
Ningekuwa na muda ningekueleza mengi sana. Muda wangu ni kidogo sana ndiyo maana nashindwa hata kupost mambo mengi kuhusu taifa hili hapa JF. Ninatuma post hii si kwa lengo la kukutisha. Lengo ni kukukumbusha uwe makini ili usijefanya uamuzi wa hovyo na kuliingiza taifa katika machafuko na kuharibu timetable za watanzania. Machafuko ndiyo tunayoyakwepa lakini si wewe (I have to tell you the truth because you are not my breadwinner at all).
NITAENDELA SIKU NYINGINE WAPENDWA WANA JF
tatizo lako ni moja tu ..''lack of power from within and cpativity of negativity''...hapo ulipo unatawaliwa na ''power of disguise'' na ndio maana unasema hii habari ni mazingaombwe.....masaa 3 umeyamaliza kwa kusoma mazingaombwe???!! hukuwahi kuyajua haya....hukutegemea kama kuna haya....umetolewa porini na kuletwa barabarani sasa unashangaa tu na kuona ni mazinagaombwe.....jiamini iatakusaidia sana
Mkuu Mr Zero, hivi waliyekuwa wakimwita Mr Zero ni Sumaye?
Kwa uzoefu wangu humu ndani, mmefanana sana kwa namna mbali mbali...
hiyo ndio mitego sasa,ulipoongea mwanzo about jenerari na huo upuuzi wa kina lowassa kwake hiyo miaka ya nyuma nilidhani unazungumza jambo unalolijua pengine nalo ni kutoka kwenye corridor za uwt kumbe hata we mwenyewe huna uhakika,ndio ile niliozumngumza kumwambia mchangiaji mmoja huko nyuma kwamba kitu unaweza kukianzisha mwenyewe tena kwa kauli ya kilevi tu baadae kikazunguka kikaja kukufikia wewe mwenyewe ila this time ukiwa hauna pombe kichwani na wewe ukakiamini na kukishikia bango kumbe ulikianzisha mwenyewe katika ulevi tu!leo kututaka tena sisi tusithibitishe habari unazotoa wewe inaweza kuonekana ni kioja cha kufunguliwa mwaka 2012!
THE ROMANTIC [TR] kwa kawaida msimamo wangu humu kwa wanao ndani nilishaweka mbele kuwa kwangu mimi TANZANIA MBELE.Mimi na vyama vya siasa paka na panya.Nimefuatilia jukwaani mchango wako wewe kwangu si mmoja wa wale TANZANIA MBELE.Hivyo basi mchango wako umenipelekea kufanya utafiti japo kidogo tu ili niue kabla sijasema mengi dhidi yako kupitia michango yako humu ndani basi nijaribu kukujulisha kuwa wewe simmoja wa watu wanaostahiki kuchangia mada [thread ] za Hutaki Unaacha [HU] kwa kuwa wewe na yeye hamsafili mashua moja mwenzio anazungumzia issues unazungumzia watu.
Japo unaweza kunyoosha kidole kwa kuona kataja watu, kwa tulipofika kwa kuwa tatizo letu ni watu waliochafua mfumo basi hana budi kuwaingiza kwenye thread zake ili kutupatia mtililiko wa mkakati tatizo uliotusibu Watanzania.Basi kama unaupeo hafifu hakika HU utaishi kudandia vijisehemu vidogo visivyo na uzito nawe kuvigeuza mazungumzo yako na kushindwa kubeba ujumbe ulio ndani ya ujumbe mzima.Ili kumjua HU yakupasa uwe INNATE vinginevyo si lazima kuchangia unaweza kusoma,japo sikukatishi tamaa ukijifunza waweza kuwa na mchango mzuri sana ndani ya JF.
Ukitaka kujua ujui unachofanya angalia Identity name yako uliyochagua THE ROMANTIC [eeeeeeeeh thats teens kind of a identity].Soma defition ya Romantic kisha kaa chini tafuta aina mpya ya Identity kisha ludi ndani ya nyumba JF tutangazie Identity yako mpya wanaume na akili zetu basi tutajua kuwa hata mchango wako utafanana basi na ujio wa jina lako jipya.
Kwa kukusaidia definition ya Identity yako
THE ROMANTIC is If you say that someone has a romantic view or idea of something, you are critical of them because their view of it is unrealistic and they think that thing is better or more exciting than it really is.
Hivyo sio makosa yako kwa a true great thinker kwa uchache naweza kusema maneno machache kukuhusu wewe kupitia sentensi nyekundu hapo juu.
Sugu zamani aliitwa MR II Proud,kijana alipokuwa akatafakari sana akaona la anakoelekea anaitaji kubadilika na kuwa mtu mzima mwenye msimamo wake makini,akachagua jina kwa utafiti wake akona sugu linamfaa akatuwekea jina jipya SUGU na kutupatia tafsiri yake watanzania kwanini amechagua jina hilo na watanzania kumkubalia kuwa kweli kwa alikopita na kuyatenda basi anastaki hatimae leo hii ni Mbunge wa Kuchagulia Mbeya Tena Mkoa wenye watu makini na waelewa.
Hivyo hivyo Dudu baya alichagua jina yaliyojili kwenye jina lake watanzania wote imekuwa historia kwenye mziki wa kizazi kipya,maskini akakaa chini akaona du jina hili uwenda ndio sababu akajigeuza kuwa Dudu zuri,lakini maskini hakujua kuwa bado DUDU ajaliiacha hivyo basi imekuwa ndio mwisho wake hajulikani hata yuko wapi.
THE ROMANTIC bado unao muda jipange
Hapana, sio salender, naongelea Legend, imejificha sana na ni kwa members peke yake. Ipo upande wa kushoto, barabara kuu,kama unatokea palm beach kuelekea mjini. Ipo upande wa kushoto, ukishavuka Jengo la Zamani la TCRA/Las vegas Casino, kama mita 70 hivi kutoka kwenye kona/mataa ya kuingilia Mtaa wa Ohio/Movenpick.
Baada ya mjadala huu,kuna vitu nimeanza kumwelewa Nape Nnauye!! Kuna vitu Nape yupo sahihi!
Wildcard,
Umejivisha upofu na kusahau. Mtu ambaye maisha yake yote ya ujana kasoro miaka 23 iliyopita alikua anamiliki Volkswagen TAP 180 anawezaje kufanya starehe za aina ya G8?.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Naona nakaribia kunyamaza maana argument zingine utafikiri mtu umeibiwa password ya JF! LOL
FP,
Nadhani January hii kuna kikao cha BUNGE. Mwambie Lowasa akajisafishe kule Bungeni "alikochafuliwa", "alikoongopewa", "alikobeba msalaba usio wake". Tuhuma ni dhidi ya serikali. Mambo anayotuhumiwa kwayo aliyafanya SERIKALINI sio ndani ya CCM.
Huku kwenye vikao vya CCM ameshazuia matusi dhidi yake. Amekataa kulivua gamba. Tumemwelewa. Anna Makinda ndiye Spika sasa, sio Sitta.
Hii ni fundisho kuwa hapa ni sehemu ya Great thinker ni matarajio yangu unajua nini maana ya kuwa great thinker.Acha hizo ukichemka unakula za uso.Well said but at the wrong place at the right time.
Ungetuma PM (private message) au uka mu inbox ingekua very constructive. Hapa ulichofanya hujajenga kwa bwana The Romantic.
Busara...