- GDP per capita ndio mdudu gani?
- Yaani wanauchumi wetu bado wanatumia kigezo cha nchi ambazo ni industrial?
- Vya wakulima, wafugaji (wanyama na kuku), wavuvi, waokotaji na wachumaji msituni (wa-Barbaig, kwa mfano) vya kwao havipiti through the "market" ili kubaini kuwa vina thamni gani.
- Kusema kweli, GDPs za nchi maskini ziko juu!
- Anayesema kuwa takwimu za CIA huwa zinaaminika duniani, ni mwongo! fanyeni utafiti mjue ukweli zaidi kulikao kutundika "over-loaded statements"!
Kuna ushahidi kemkem, kwa mifano:
- CIA walikosea katika kutathimini kunaguka kwa the Soviet Union!
- CIA walidanganya ulimwengu kuwa saddam Hussein alikuwa na WMD!
- Kwa muda mrefu dunia ilikuwa ikiwaambia kuwa joto linazidi (global warming). lakini wenyewe walikuwa wanakataa!
Hawa wenzetu (USA) wakimpenda kiongozi/nchi watampamba tu kwa ajili ya
Nimezisoma hoja nyingi za watoa hoja na kugundua kitu kimoja kwa wote. Watoa hoja wamekuwa waoga au wamefanya kwa makusudi kutotoa takwimu kwa kile wanachokitetea. Kwa mfano kama kweli unaamini kuwa uchummi umeshuka, basi tupe takwimu.
Kwa ujumla hakuna aliyethubutu kutoa takwimu, na badala yake zikatumika lugha kama, uchumi umeshuka, nenda Barbaige uajionee, usiiamini CIA, hatua ya kwanza ya kuelekea kwenye maendeleo ni kumfukuza JK, wanauchumi wetu bado wanatumia vigezo vya Industrial countries. n.k. Hata ulinganisho hata wa nchi mbili, tatu za Afrika hakuna aliyefanya. Sasa kama wananchi wako unatarajia tutachagua viongozi wa aina gani? Ngoja nifafanue kidogo h apa chini.
Amini usiami, Tanzania ni moja kati ya nchi zisizoendelea ambayo imepata uaminifu mkubwa sana toka nchi zilizoendelea. Nchi zote zinazoendelea zina matatizo yake. Na nchi inapata umaarufu au maksi za juu jnsi ilvyojipanga kutatua matatizo hayo kwa muda mrefu (long term). Kwa muujibu wa nchi zilizoendelea, Tanzania inafanya vizuri sana katika hilo na ndio maana imepata uaminifu huo.
Kikwete ni kiongozi pekee katika awamu zote, aliyesifiwa na kupongezwa kila aendako nchi za nje. Na kila balozi aondokaye Tanzania, haishi kumwagia sifa Kikwete. Toka katika ukuzaji wa Demokrasia , uchumi, uhuru wa vyombo vya habari na hata uhusiano wa Tanzania na nchi za nje. Na hayo ni maeneo muhimu katika kukuza uchumi. Hata hili la ufisadi wameridhishwa jinsi alivyolishughulikia. Lawama pekee aliyepata kubwa sana ni ile ya mauaji ya ALBINO. Kama kwaida muungwana akikosea, hukubal na kuomba kusahihishwa na msaada ikibidi. Alifanya hivyo.
Mnakumbuka jinsi Mkapa asivyokuwa maarufu nchi za nje. Nakumbuka baada ya yale mauaji ya Pemba alikutana na Tim Sebastian katika HARD TALKS. Ukweli nilimuonea huruma, maana alipaniki mpaka akavyonya. Sebastian alitulia na kumuuliza, naona Rais Umekasirika sana? Kweli alijihisi kuwa mkosefu au kuchukua hatua mbaya dhidi ya wananchi wake, na ndio maana alikuwa na hasira kama Shimon Perez alivyojibiwa na Rais Turkey Bwana Erdogan. Mbaya zaidi kwa vile si muungwana hakukubali kosa.
Mkulo alipotamka kuwa uchumi wa Tanzania utapaa kama ndege wengi waliona Hadithi. Sasa wale waziitazo hizo kuwa ni ndoto za mchana, zimekuwa kweli. Angalia Tanzania iliyekuwa JUMBO inavyojitahidi kuzishika nchi za Afrika zilizokuwa mfano:
Tanzan Nigeria Uganda Kenya
2008 2005 2008 2008 2008
Pop 40mil 37mil 146mil 31mil 37mil
Life.E 52y 46years 46 52 56
hum
dev
index 0.503 0.45 0.499 0.493 0.532
GDP $1400 600 2200 1100 1800
literacy
rate 69.4% 61% 68% 66.8% 85.1%
Curru
ption
index 3 7 2.7 2.6 2.1
%women
in perliam 30.4 25 7.3 30.7 9.8
religion
Bara musl 50 chr83 78
% chris30, chris 40 musl 12 10
musl 35, indige ind 10
neous 35
Znz, musl 99
deni $5311000000 9132000000 1705000000
Kenya 6749000000
Haya sasa jioneeni wenyewe tonavyowafukuza hao akina MFANO WENU Kenya na Nigeri. Baadhi ya maeneo tumeshawakanyaga.
Ukisema Kikwete hafai, basi thibitisha katka takwimu.