DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Yupo mtu mwingne anayefanya hio buznes
Jk nadhan ni cover tu
Jk nadhan ni cover tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onesha mkataba,muacheni mzee wa watu apumzikeHabari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
Iwe kweli isiwe kweli wewe ulitaka asambaze nani mama yako au nani?
Na vijana wasaga lami wasio na pension watafanya nini?Haina shida kwa sasa kwa sababu hana kazi.anaweza kufanya biashara.
Yametimia waliyonena watabiri .Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
Una mimb@ ya bavicha?Umbea wa kibavichaa. Halafu utawaona wamejazana hapa kuchangia.
Usijifanye unajua matusi wewe ngedere.Una mimb@ ya bavicha?
Vizuri sana je na wale machekibobu walioitwa wawekezaji wa Sulivan wapo wapi? Tulitumbua fedha kibao kuwaleta !!!na kuwahudumia!!Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
Mbona Mbowe alishinda tenda ya kununua zile pick up ndani ya Chadema,Biashara alikua anafanya tangu yuko magogoni au ndiyokaanza now?
Ahahaaaaa,, [emoji2]Huu sasa tunaita ni UMBEA...........
hukupenda kiwanda cha Dangote kijengwe? umechukia JK kupata tender?..umechukia JK kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji? huna unachosimamia,ndio maana Mbowe anawafanya atakavyo.Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
hukupenda kiwanda cha Dangote kijengwe? umechukia JK kupata tender?..umechukia JK kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji? huna unachosimamia,ndio maana Mbowe anawafanya atakavyo.
wewe watokea mbeya au its jokesWeka wewe U-Iringa basi