Tetesi: Kikwete kapata tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo

Tetesi: Kikwete kapata tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo

Luna malori katika parking inayotizamana na uwanja wa sabasaba .Ni nyums ya chuo chs uhasibu TIA
Samahanini ile ilikua uwanja wa jeshi Mgulani Twalipo yule bwana aliutwaaje? Kha? Uwanja wa jeshi? Sijui kakodi sijui kanunua ama kaazima insniuma ssna
 
Luna malori katika parking inayotizamana na uwanja wa sabasaba .Ni nyums ya chuo chs uhasibu TIA
Samahanini ile ilikua uwanja wa jeshi Mgulani Twalipo yule bwana aliutwaaje? Kha? Uwanja wa jeshi? Sijui kakodi sijui kanunua ama kaazima insniuma ssna
Kakutoa gizani halafu unaandika hivi?
 
Moderator msipokuwa makini hawa Bavicha wataiponza jf..ni wakati sasa kufikiria upya kama kuna sababu ya kuwa na tetesi kwenye hili jukwaa...Hilo neno linatumika vibaya...
Mim bado sioni kama kuna sheria inayo mnyima rais mstaafu kufanya biashara zake halali

Hii ingekuwa ni rais mstaafu mzungu angesifiwa lakini kama ni mwafrica tengemea mawazo -!!
 
Vizuri sana kama nikweli lazima watu wafahamu kuna kazi baada ya siasa hivyo kwa biashara hiyo pia ataweza kupanua ajira kwa kuwa kuna watu watahitajika kufanya kazi huko pia
 
Muacheni mzee wa watu
apumzike.mara mke wake,mara mtoto wake.Ana maisha yake sasa baada ya kutoka madarakani.
 
Umbea wa kibavichaa. Halafu utawaona wamejazana hapa kuchangia.
Nadhani uliowataja ni guinea pigs tu mpambano unajulikana ni nani anaweza kuwa anataka kumbana jk kama ni kweli asifaidike na matunda ya urais wake.Wapiganapo fahari wawili kila mtu ataumia including you !
 
Hayo maswala na Bavicha vina mahusiano gani? Acha ulevi wa pombe zisizo na ubora.
 
Back
Top Bottom