Tetesi: Kikwete kapata tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo

Tetesi: Kikwete kapata tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo

Wanasema Dangote anamendea fursa Kenya, Wakenya wamemwambia sawa ila hutapata upendeleo wowote utakuwa sawa na washindani wako
 
Wanasema Dangote anamendea fursa Kenya, Wakenya wamemwambia sawa ila hutapata upendeleo wowote utakuwa sawa na washindani wako
habari za kijiweni ,investors duniani kote wanapewa facilities na upendeleo mbalimbali ili kuvutia uwekezaji
na uje hapa kutuambia ukisikia dangote kafungua kiwanda kenya
nadhani huwajui wakenya wapo very fast kwenye opportunities na maslahi ya kenya,kwani hujui walivyotugeuka kwenye issue ya vat na epa?
 
Ni Aibu na fedheha kwa Rais wetu mstaafu kwenda kutumwa na kufokewa na MTU WA NIGERIA endapo ataharibu Kazi yke.

Ni bora Kama anataka basi agombee tena Ubunge au tumuombe Jpm amteue awe Mbunge wa kuteuliwa kisha ampe Uwaziri tu kuliko kwenda kutudharirisha huko Watanzania.
 
Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
Moderator msipokuwa makini hawa Bavicha wataiponza jf..ni wakati sasa kufikiria upya kama kuna sababu ya kuwa na tetesi kwenye hili jukwaa...Hilo neno linatumika vibaya...
 
Mwacheni mzee wa watu apumzike, amefanya mengi na ndo maana asilimia kubwa ya watz wanamkumbuka. So far hayupo kwenye siasa kuna shida gani
 
habari za kijiweni ,investors duniani kote wanapewa facilities na upendeleo mbalimbali ili kuvutia uwekezaji
na uje hapa kutuambia ukisikia dangote kafungua kiwanda kenya
nadhani huwajui wakenya wapo very fast kwenye opportunities na maslahi ya kenya,kwani hujui walivyotugeuka kwenye issue ya vat na epa?
Dangote kabla ya kuja Tz alitokea Kenya, kakimbia katelekeza eneo na mitambo yake
 
JK aliweka wazi tokea akiwa magogoni anamiliki malori ya mizigo, so sishangai..!!
 
Mwacheni apumzike hamjatosheka tu kumtukana na kumzushia mambo? Baadae utakuja JF hapahapa kumsifia kwa uongozi wake wa kufuata demokrasia.
 
Jamani Huyu mzee alishamaliza kazi ya kitaifa, kama mtawala anaweza yakawa mapungufu hapa na pale lakini kazi alifanya na alishamaliza mwacheni apumzike, sasa mwenzetu kapata tenda ya kusambaza cement yenye uwezekano wa kukodi malory yetu madereva wataoat kazi mafuta na vilainish tutauza Magufuli arakusanya kodi vitu kama spea parts matair nk ,tunalia Hanna kazi mwenzetu anatutafutia imekuwa tRNA nongwa? .shida yetu ni nn waTz???? Aliposema ataenda kulima nanasi mbona hatujalileta humu??
 
Wanasema Dangote anamendea fursa Kenya, Wakenya wamemwambia sawa ila hutapata upendeleo wowote utakuwa sawa na washindani wako
Unaandika uongo mpaka mungu mwenyewe anashangaa.wakenya si wajinga kama sisi wanafocus zaidi kuwatafutia vijana wao ajira.
 
Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo.
Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa kuanzisha kiwanda.
Safi sana amechangamkia fulsa
 
Back
Top Bottom