Umenitoa Gizani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 387
- 182
Kakutoa gizani halafu unaandika hivi?Luna malori katika parking inayotizamana na uwanja wa sabasaba .Ni nyums ya chuo chs uhasibu TIA
Samahanini ile ilikua uwanja wa jeshi Mgulani Twalipo yule bwana aliutwaaje? Kha? Uwanja wa jeshi? Sijui kakodi sijui kanunua ama kaazima insniuma ssna
he he hee imagine alipokua gizani sasa teh teh!Kakutoa gizani halafu unaandika hivi?
he he he heHalafu kuna watu Wanauliza alikuwa anapata wapi hela za kuendesha nchi.
inawezakana huwa unawaza sana mboweBora amtafutie na Mbowe ukumbi huko Congo afungue ukumbi wa disco.
na hakika hata unammis sanaMtamkumbuka sana na bado.
Mim bado sioni kama kuna sheria inayo mnyima rais mstaafu kufanya biashara zake halaliModerator msipokuwa makini hawa Bavicha wataiponza jf..ni wakati sasa kufikiria upya kama kuna sababu ya kuwa na tetesi kwenye hili jukwaa...Hilo neno linatumika vibaya...
Una nyege na Mbowe?Mbona Mbowe alishinda tenda ya kununua zile pick up ndani ya Chadema,
Nadhani uliowataja ni guinea pigs tu mpambano unajulikana ni nani anaweza kuwa anataka kumbana jk kama ni kweli asifaidike na matunda ya urais wake.Wapiganapo fahari wawili kila mtu ataumia including you !Umbea wa kibavichaa. Halafu utawaona wamejazana hapa kuchangia.
Yaah nina oxygen ya kutoshaUna nyege na Mbowe?