Elections 2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

tusaidiane njia wanazo tumia ilitufafikishie wataka kuwepo wakati wa majumuisho pengine zitafasaidia...
 
Kama alivyosema Dr. Slaa kuyumbishwa kwa nchi kamwe hakuwezi kuletwa na chama pinzani siku zote chama kilichoshika dola ndio kinahatarisha amani ya nchi. Ingekuwa busara kama angehutubia taifa kabla ya uchaguzi maana kufanya hivyo kunaweza kuchukuliwa kwa mtazamo tofauti. Naamini maji yamemzidi sana na walitegemea huu uchaguzi ungekuwa rahisi kwao lakini watu tunaitaji mabadiliko na si tu ilimradi mabadiliko bali tunahitaji kiongozi mbadala anayejua wapi tumetoka, wapi tunakwenda na kwanini tunakwenda huko. JK amekosa washauri wazuri wenye uzalendo wa nchi yao, wanampotosha hawamwelezi ukweli kwa sababu wamemsoma wanajua nini anapenda kusikia. Sasa anatapatapa hajui pa kwenda lakini nguvu ya umma ndio itakayoamua. KURA yako ina nguvu zaidi ya RISASI.
 
Je utakuwa mdahalo kwa maana halisi ya mdahalo? au kuhutubia taifa ?Au vinginevyo? Kama utafanyika ijumaa sawa,lakini kama utafanyika jumapili baada kupiga kura kuna maswali mengi bila majibu.
 

Mkuu hii ya ving'ora ni kweli kabisa nilipita maeneo ya makao makuu ya jeshi kwenye mida ya saa kumi na mbili asubuhi nimevisikia mwenyewe kwa masikio yangu ila sikujua hivyo ving'ora vilikuwa na maana gani
 
Kikwete atafnya mdahalo? Katika TV ipi? Imetangazwa lini? Hizi habari zijaona zimetangazwa> Wewe umezipata wapi?
 
After all, hana cha maana cha kuzungumza kwa manufaa ya nchi hii.
 
Dr. Slaa amemaliza kuhutubia Dar es Salaam. Tulikuwa Kawe tunamsikiliza. Ahadi zake kwa wananchi zinazidi kuongezeka. Sasa ameahidi akichaguliwa,wananchi wataruhusiwa kupika na kunywa pombe ya gongo,pia watasaidiwa kuitengeneza vizuri.
Inaelekea sasa kwamba kama mtu yoyote atamshinda Kikwete,ni huyu Dr. Slaa. Nimemsikiliza jana katika mdahalo wa ITV na leo Kawe,na,ninacho kila ninachohitaji ili kufunya uamuzi wa kumpigia au kutompigia kura Dr, Slaa. Natumani wengine,kama Lipumba na Kikwete watafanya mdahalo kama alivyofanya Dr, Slaa.
Wasipofanya hivyyo,wanaweza kuhesabika kama washindani ambao hawataki kufika kwenye mashindano,kwa hiyo watampa ushindi Dr. Slaa.
Ili mtu achaguliwe kuwa Rais,lazima ajulikane ametoka wapi. Dr. Slaa alikuwa anasema jana kwamba'' kila Mtanzania anafahamu kwamba mimi nilikuwa padre wa Kanisa Katoliki'' Mimi nilikuwa sifahamu kwamba Dr. Slaa alikuwa padre wa Kanisa Katoliki. Kwa hiyo hawa wagombea wafanye mdahalo kama alivyofanya Dr. Slaa,na wasiwalazimishe wananchi kununua mbuzi ndani ya gunia.
Kiongozi lazima ajulikane rafiki zake ni nani,na wanahusiana vipi. Kuhusu Dr, Slaa,tunafahamu kiasi fulani kuhusu rafiki zake,kwa vile tumeelezwa kuhusu Josephine. Lakini kuhusu wagombea wengine wa Urais there is too much opaqueness kuhusu mahusiano yao na rafiki zao. Yaani,bila kuingila mambo ya binafsi ya mtu,ni lazima generally ufahamu anahusiana vipi na swahiba zake.
Dr. Slaa alikuwa anasema kwamba akichaguliwa yeye,angependa Halima Mdee pia achaguliwe,ili aweze kupata wabunge kupitisha sera zake. Hilo ni wazo zuri. Lakini itakuwa ni bora hizi category zote za kura,Urais,Ubunge na Udiwani,zijitegemee,hapo ndipo wapinzani watapata nafasi ya kumuondoa Kikwete. Lakini ikibidi na Mbunge pia itabidi achaguliwe,labda wapiga kura wengine watashindwa.
Huu ni wakati wa kuanza ukurasa mpya. Wachaguliwe wabunge ambao wataiwezesha Tanzania kufungua ukurasa mpya.
Againmwe say,Rais yoyote akichaguliwa,Tanzania haitapata matatizo yoyote. Wanachi wamchague yoyote wanayetaka awe Rais.
 
naamini mdahalo uatafana kama ule wa diamond jubilee wa tarehe 4 mwezi wa tano mbele ya wazee wa mkoa wa Dar es Salaam. Jeikei hana muda wa kuzngumza na vijana wa sikuhizi ni watukutu mno kwahiyo naamini waandaji wamelitazama hilo pia.
 

Mbona kichwa cha habari kinasema Ijumaa halafu content inaongelea J'pili? Kikatiba hali ya hatari lazima iridhiwe na Bunge ambalo halipo kwa sasa.
 
Mungu ni jibu la yoote, ipo siku yao mmoja baada ya mwingine they will all finish !
 
hakuna umuhimu wa kuongea na sisi baada ya kura kama anaona ni muhimu sana basi siku nyingi Jtatu mpaka Jmos zinatosha sana kwa yeye kutoa masaa mawili ya kusema na wananchi
 
Hata aweke midahalo hewa 100 bado JK ni feki tuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu, Mwanakijiji, Ujumbe huu na maoni haya yaliyosheheni hekima na busara, umewafikia watawala? Fanya lolote lile uwafikie hawa mafisadi!
 

Nadhani Zambia, Malawi, Kenya, Ghana na hata Zimbabwe wameonesha kuwa walioko madarakani wanaweza kuchokwa na wananchi na kuondolewa kwa kura.

Hawa nao ni ulimwengu wa tatu, na ni Waafrika wenzetu.

Hadanganyiki mtu!
 
Makuwadi wa chadema wanapoandaa mazingira ya vurugu.
Huwezi kupata urais kwa hila za makanisa, NGOs, Media na wanafunzi wa vyuo vikuu. Shame on You!
Endeleeni kutapatapa kwa na kujipa moyo kwa ushindi mtandaoni.
Padri Slaa anaweza kuwa rais wa JF lakini si rais wa nchi.
 
Nadhani ni hotuba ya mwisho wa mwezi au ya kuaga maana anajua wazi kwamba hata akipita atadumu muda mchache sana kutokana na afya yake.


Very annoying words!!!!! Don't do this
 
 
Je? waalikwa ni mtu yeyote au Watachakachuliwa ili maswali magumu yasiwepo?
Nadani inaweza kuwa kiini macho, akidhani kila mtu anaamini ahadi zake ambazo zinaudi hata kuzisikiliza?



Nawasilisha
 
tuliokua wilaya ya temeke hapakua na premier league wala nini... kila kitu kilikua itv nadhani wamepata audience ambayo ni record breaker

it was a big score for our next pres. Dr. Anakubalika, and especially how he was responding superbly to each and every question.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…