Tetesi: Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon

Kuna watu wanadhani UN ni ccm .........
UN kitu INGINE. Siy CCCM. Amalizie kwanza NGWE yake CCM akapumzike Msoga. Asiote kuwa VASCO da GAMA wa Dunia. Kama alimaliza NUSU ya muda wake wa Urais wa TZ hewani, AKIWA "Rais wa Dunia" si atashinda HEWANI 100% ya maisha yake. Huenda akapendekeza kwenda Mars ama Mwezini kila wiki!
Namtakia safari njema!
Atangulie. JMPJ akimaliza zamu yake atampokea tena kijiti!
 
Ushauri mzuri nadhani atapita huku na kusoma....
 
mmeshalipwa pesa zenu nini? maana naona mmerudi kujaribu kumjengea tena jina mytu wenu. ni ngumue watanzania walishamaliza heshima zao kwake. abaki huko aliko salama. aliwatumia sana watu kama ninyi anyway mlifaidika lakini kwa propaganda za kijinga na zisizo za kisomi. maana ndege wa rangi moja huruka pamoja. sasa mnashindwa kuelewa kumchagua mtu wa kushika nafasi ya Ban Ki Moon hakuhitaji kampeni za ndani ya nchi maana hachaguliw na watanzania na hata angekuwa anachaguliwa na watanzania hawa ni wa watanzania makini wenye kujielewa si wa miaka ile ya giza.

huwa najiuliza mtu anayeweza kuja hapa kutuletea habari za namna hii ubongo wake unafanya kazi kweli? au ni tumbo na ashki? huwezi kuwa serious ukawataja watu waliofilisi taifa hili kana kwamba ni watu wa maana. nchi imeuzwa hii na walionunua wanaweza kweli wakaamua kumpa mtu shukrani kwa aliyoyafanya na huwez jua pengine kama inatokea basi ndo ulikuwa mpango wa kuifisadi nchi ili mtu aje apewe nafasi kama hizo lakini na uhakika mataifa ya huko nje wana akili si wapumbavu kama wale watanzania waliotuzorotesha kwa miaka 10 nchi hii kila mtu aliyeweza kujichumia akajichumia, kwa madawa ya kulevya na ujangiri.

ninyi ina maana si watanzania? ninyi mnaoleta uozo kama huu hapa jukwaani? ina maana hamna uchungu kabisa na mama, bibi,shangazi na dada zenu walivyokuwa wanalala chini huko muhimbili,amana n.k baada ya kujifungua? ninyi hamjisikii uchungu kabisa? ni nani kawaroga enyi kizazi cha nyoka?mfananishwe na nini?














 
Krap! hao UN wakimchukua huyo msanii nao watakua jipu linalohitaji kutumbuliwa, hafai hata ujumbe wa nyumba kumi huyo... what a waste!
 
Watu wengine mmekaririshwa mpaka vichwa vyenu havifanyi kazi kwa kujitegemea,Mwanza sio Dar na haitoweza kuwa Dar! Kuna formula inayofuatwa kwa Secretary General kupatikana sio kwa kutembeza cv ya mtu mitandaoni,haidhuru degree za kununua zinapofanya kazi,inadhuru pale inapodhuru ukweli
 
Kutokana na uongozi wake wa miaka kumi binafsi sidhani kama anaweza kurithi kijiti kutoka kwa Banki-Moon. Ni mtu aliyeshindwa kila nyanja.
 
Tatizo la siasa za Afrika...... kikwete kichwani
anajua kabisa maana ya demokrasia na uwazi kwenye uchaguzi..... anaweza akaandika kitabu kwa siku moja juu ya mambo hayo na kuuza dunia nzima tu... lakini hapa kwetu kajionyesha ni
jinsi gani viongozi hawa ni fisi as per Trump.... sijui ni kwa nini... ni kwamba wanaogopa wapinzani wakichukua kutakuwa na machafuko au.... hata sielewi kwa kweli... JK is smart upstairs na hicho kiti kinamfaa kama ingekuwa zamu ya Afrika lakini anayo tenda do..... (ZENJ, ZEC, NEC, MITA 200, BUNGE....Kweli simwelewi)
 
In fact ukweli unabakia kua JK ni mwanadiplomasia mahiri na mwenye uwezo wa usuluhisha na sifa tajwa hapo juu anazo,regardless what he did with domestic affairs during his term as the head of state.bahati mbaya haitakua kulingana na hiyo rotational style
 
kama unafikiri UN wanachagua tu ili mradi anaweza kupata na labda Trump asiwe rais wa Marekani maana atamtimua mara moja mtu anaenda kufanyiwa operation ya tezi dume nje ya nchi wakati wananchi wake wanakufa kwa kukosa madawa hospital hata bururndi hawawezi kumpa urais
 
Kikwete anapendwa sana na wazungu zaidi ya waswahili!! mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni!! Jk tunakuombea uzidi kujitangaza Tanzania
Haki gani ya kumpa? Ndiye aliyetufikisha hapa tulipo na CCM yake, kila kitu kiko shagara.... Dr. JPM yupo bize kunyoosha na kutoa makorongo.
 
Jamani naomba tuheshimiane na tusitafutiane ban za makusudi. JK hata akipewa hiyo nafasi ni haki yake maana nchi aliwakabidhi mabepari. Hivi mnasahau namna Maraisi wawili wa Marekani kukutana katika nchi yetu pamoja? Mnaona ni jambo la kitoto? Yaani sitaki hata kumsikia huyu tzdm.
 
Kama kwenye uraisi alipwaya vile je ukatibu mkuu ataweza.
 
Akichaguliwa atahamishia ofice yake kwenye ndege na pale UN ataonekana mara moja moja tu
 
Yan Vijana wa Lumumba kazi mnayooo... Mgogoro wa Zanzibar tu umemshindaaaaa....ataweza Africa na Dunia?
 
Pamoja na tetesi zote hyo nafasi uwa Ni rotation na Afrika ndio tuu tulimaliza alipokuwa Annan, next itakuwa nafasi ya Ulaya au Amerika kwa hyo Kikwete labda apewe nafasi kama ya Migiro
 
Haya pia ni mawazo yako, wala si vibaya mtu kusema cha moyoni mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…