Cha msingi ni serikali iangalie muelekeo mpya Eqaution ya elimu=Good life imesha prove failure na kwa vile hatukuwa tumejiandaa kisaikolojia mapema basi acha watoto wetu wawe Marioo na dada zao wadange!
Sahizi waangalie namna ingine ya kutatua hili lets think globally tunapambanaje na hili janga 😅