Kikwete: Kutokana na utoaji hafifu wa Elimu nchini, kuna hatari ya nusu ya ajira zilizopo kutoweka ifikapo mwaka 2050

Safi sana! Hii ndio michango ambayo tunayotaka kusoma hapa JamiiForums
 
Yaani huyu JK huwa namuona yajielewi uswahili tu usiokuwa na maana. Huyu ndiye Rais pekee ambaye alikuwa na wakati mzuri sana wa kufanya vitu vizuri badala yake ujinga kila kona ndo uliofanyika.
Tumemla kisamvu na majani yake 🍑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…