Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Tatizo ahadi zake nyngi na ki filosofia hakupaswa kuahidi kivile, angeweza kusema nipeni nimalizd kazi. Azungumzie katiba. Atajutia nin ambacho asipokifanya hakitatoka kichwan mwake
 
Huyu jakaya mrisho kikwete mbona anaongema pumba kabisa, hakuna kitu kabisa,zero, sufuri kabisa
 
the worst president we ever had!!!

huyu jamaa ni juha narudia tena ni juha
 
binafsi sijataka kumsikiliza hata kidogo,ntaangali pumba jioni
 
Yaani waandishi wetu wanashindwa kuuliza maswali ya msingi,rushwa,ufisadi,wanauliza mambo ya barabara za dar,mambo ya kumuliza diwani,nimeuzunika sana.
 
Bora umeona...lakini nadhani wamefanya hivyo ili wasizidi kumuabisha..binafsi nimetoka kapa..!
I wish tumlete yule jamaa wa HARDTalk cha BBC leo jioni...
 
Waandishi wa habari wengi wao hawajui vizuri matatizo ya watanzania,wanachojua wawo ni matatizo ya watanzania wanaoishi Mijini kwa sababu ni waandishi wa habari wachache sana wanaokwenda vijijini kutafuta habari.
 
Ni vijana wa chuo kikuu..kweli elimu yetu hovyo badala ya kutengeneza wataalum wanatengeneza green guards..!

Hii kali sana!!! Ila green guards wanaotoka vyuo ni wale wanaotafuta maslahi ndani ya ccm, wanamatumaini one day watakua rich kama lowasa, chenge, sumaye, etc
 
ndiyo aliyo omba kuulizwa labda jamani tusiwalaumu sana
 
Nimeamini wlichelewa kuanza ili wajipange kwa maongezi nimeambulia nothing na hawa kilauri aa no klauds mbona hawakuruhu maswali ka kwa rais wetu dr Slaa? Wameniharibia siku naenda bar kuburudika!
 
Kwa hiyo JK amekiri ya kuwa ahadi zake siyo za CCM ila ni zake binafsi........sasa zitatekelezwwa vipi kama hata zile za kwenye Ilani historia yaonyesha utekelezaji ni hafifu...Mwuulize Mkapa aliyesema huko nyume ya kuwa Ilani ya uchaguzi ya CCM haitekelezeki...............
 
Clouds haina waandishi ina maMC njaa(Kibonde) na maDJ wa kipaimara,kitchen parties(Hando)
 
clouds wanapoteza credibility yao ! yaani they couldnt ask about UFISADI while we all know its among the major obstacles to devpt in TZ. how could they do this to us!!!
 
Wana JF,

JK ameelezea swala la miundombinu Dar na ukiangalia kweli serikali itaimarisha miundombinu kataka hilo Jiji, which Means DAR-ES-SALAAM ndio TANZANIA tuuuu basi, Kwahiyo Mikoa mingine yote haiitaji Miundombinu kuboreshwaa?

Katika Ilani ya CCM serikali iliposwa kuhamia DODOMA mpaka leo hakuna dalili hiyo kutokana na maelezo yake ya hiyo miundombinu itakayo tekelezeka DAR pekeyake.

Machinga Copmlex utazijenda wilaya zote za DAR je Mikoa mingine watasubili kwanza mpaka za DAR ziishe ndio wahamie Mwanza au zote zitakuwa zikijengwa kwa wakati huo huo katka baadhi ya mikoa mikubwa kwanza?

Kwa hali hiyo sidhani kama watu wataendelea kukaa huko Lindi/Kigoma/Tabora/ Sumbawanga kwani mikoa mingine itabaki nyuma sana kimaendeleo ni bora Nchi igawanywe kwenye Majimbo

Mpiganaji alisema yeye akipewa nchi atagawanya katika majimbo, lakini alipingwa vibaya mno na akachomekewa kwamba anataka kuwagawa watanzania ki-kabila, hila ingekuwa ni idea yake wewe mbona angesifiwa balaaaa sijui kwanini tumenakataa kuwa watanzania na tumechagua kuwa wadanganyika, wakati haya tanganyika ilishafutwa,
 
Mnatupotosha tu humu ndani na subjective interpretation of the interview. Kwenye macho na masikio yenu JK can't do any better. Hamko open minded.

One more day. And all this hypocrisy will end!!
 
Back
Top Bottom