Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

???? Vifo vingine ni vya kusherehekea zaidi ya kuhuzunika jamani...JK hataki urais ila alilazimishwa toka awali na hilo halina shaka...

Najaribu kuunganisha mada inayojadiliwa na hilo jibu lakini nashindwa.
 
Mbona umekuwa mweupe...kwani hujazungumza kitu hapo..lete facts alizotoa na kisha tathmini yako ama pingamizi zako ili tuelewe nguvu yako ya hoja.

nini hujaona hapo? au unataka nijieleze kama Kikwete anayezunguka zunguka maneno mengi bila point?
 
Mdahalo----waandishi----pati ya sherehe. Jamani mimi sielewi namna haya maneno yanaunganika katika hii mada. Mwandishi naomba niweke wazi usanii uko wapi? Na shida ni ya JK au waandishi?
 

Mimi nadhani tayari wamevaa hizo SKETI sema macho yetu tu hayawaoni...
 
Hivi wadau sheria inasema hatutakiwi kuvaa mavazi yenye rangi za chama on election day, imekaaje hii ya mgombea wa CCM picha yake kwenye karatasi la kura kavaa shati la rangi za chama chake (kijani), si kampeni hii, naomba mwongozo jamani.
 
acheni unafiki, kwenye ukweli semeni na kwenye propaganda zenu semeni, kila mtu amesikiliza mahojiano yale..hata kama mtu hamumpendi basi msionyeshe udhaifu wenu na chuki zenu, narudia kila mtu amemsikiliza na amemuelewa
 
Mdahalo----waandishi----pati ya sherehe. Jamani mimi sielewi namna haya maneno yanaunganika katika hii mada. Mwandishi naomba niweke wazi usanii uko wapi? Na shida ni ya JK au waandishi?

Shida ni waandishi na waandaaji. Kama washauri wangekuwa makini, wangetafuta waandishi wakali na wapinzani kama kina Kubenea ili waulize maswali magumu (ambayo wananchi wanauliza mitaani) ili JK ajibu hizo hoja kusafisha njia na si kuulizwa maswali anayotaka mepesi huku umma ukimuona tofauti. Waandishi maadili ovyo
 
Enyi wana wa nchi hii: CCM wasome zaburi hii hapa chini:

Psalm 14 (King James Version)



1The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.
2The LORD looked down from heaven upon the children of men, to see if there were any that did understand, and seek God.
3They are all gone aside, they are all together become filthy: there is none that doeth good, no, not one.
4Have all the workers of iniquity no knowledge? who eat up my people as they eat bread, and call not upon the LORD.
5There were they in great fear: for God is in the generation of the righteous.
6Ye have shamed the counsel of the poor, because the LORD is his refuge. 7Oh that the salvation of Israel were come out of Zion! when the LORD bringeth back the captivity of his people, Jacob shall rejoice, and Israel shall be glad.
------------------------------------------------------------

Tarehe 31 Oktobe 2010............
 
napata shaka na naanza kuamini kinachosemwa mtaani kwamba forums hii imeelemea upande mmoja, wachangiaji wako brain washed
 
e bwana naomba japo aina ya maswali aliyoulizwa na majibu aliyotoa
 
Nilimsikiliza kidogo nikiwa njiani kuelekea kubangaiza. Gerald alimuuliza kuhusu kuwahamasisha vijana wapende kilimo. Majibu yalikuwa ya mzunguko mno yasiyojibu alichoulizwa - alichanganya maneno na kutamaka maneno ambayo sijui ndivyo tafsiri ilivyo au la. 'Vijana ni hatima ya taifa letu au kwa kiingereza ni future' Hapa mimi naona kachapia. Kasema pia vijana walio ktk ajira binafsi ya sanaa amedai kuna consultant analipwa mill 20 ili aangalie ni vipi kazi zao zitawanufaisha. Kwa nini asimuhusishe Sugu a.k.a MRII?
 
waandishi, ohhhh sorry wale ni watangazaji, nionavyo mimi kusema ukweli wamejitahidi kuuliza maswali kadri ya uwezo na upeo wao.Ni kweli kwamba hawakuuliza maswala mengi ambayo wasikilizaji wangependa kuyasikia yakitolewa ufafanuzi.Tunahitaji waandishi makini na wenye uwezo, kama vile STEPHEN SUCKER WA BBC HARD TALK, kwa ajili ya vipindi hivyo. vinginevyo ile ilikuwa ni talking show and nothing more.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…