Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo..hivi WAMA bado iko?
Hivi unaogopaje wasio na ushawishi?Sema tu unawaogopa!
Kama hawana ushawishi mbona wewe umeshawishika kuwafungulia thread!Hivi unaogopaje wasio na ushawishi ?
Mkuu, daah, hapo umeuwa!! Nimecheka saaana!!Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara , hata hivyo baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote , Pinda aliona lakini akaufyata , mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua ccm ?
Kujaza wapiga makofi hawezi toa challenge kwa serikali. Huko Lindi mpeni kijana yeyote bora mzima kichwani wa chama chechote upinzani hata akiwa fukara wa mali......ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge ! Maajabu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How can any logical person think we can survive another five years or more of that dude from the green?Waache wazumngumzie chama chao kama wanachorwa si wao we haikuhusu
Hawana lolote .Mnapoteza muda hangaika na makene,l ema na wanaofanana na half, hao viongozi unaowataja wako mbali mno,
Ungemalizia kwa kumuuliza kwanini Mgombea Mwenza wa Chadema Salum Mwalimu hasimami peke yake kwenye kampeni? Anaogopa nini?Waache wazumngumzie chama chao kama wanachorwa si wao we haikuhusu
Kwa kuanzia tulijitambulisha kwenye kanda , sasa kaa chonjo kuanzia kesho uone mtiti wetuUngemalizia kwa kumuuliza kwanini Mgombea Mwenza wa Chadema Salum Mwalimu hasimami peke yake kwenye kampeni? Anaogopa nini?
Kesho sio mbali. Wacha nisubiri.Kwa kuanzia tulijitambulisha kwenye kanda , sasa kaa chonjo kuanzia kesho uone mtiti wetu
Amezeeka,hana nguvu tena ya ushawishi...nimemsikiliza JK ktk kampeni.
..hoja zake hazikuwa zikiwagusa wasikilizaji wake.
Kama hawana ushawishi mbona wewe umeshawishika kuwafungulia thread!
Ule wa viti maalum ulimnogea kaamua aingie jimboni kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]First Lady na sasa Ubunge? Ni kipi cha juu?