Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Kikwete ana mambo ya kikuda na umbea sana wakati mwingine huwezi jua kama ni mtu mzima.
haha halafu watu wake kutwa nzima wanampigania aitwe “Mzee …” wakati hiyo busara ya kustahili kuitwa hivyo haionekani, hapo sasa …