Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umeona wapi mtu analaumiwa zaidi ya kuuliza maswali?Unajua kutofautisha kuuliza maswali na kulaumu?Hakuna kitu unachowaza, zaidi ya tabia ya Watanzania kulaumu laumu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wapi mtu analaumiwa zaidi ya kuuliza maswali?Unajua kutofautisha kuuliza maswali na kulaumu?Hakuna kitu unachowaza, zaidi ya tabia ya Watanzania kulaumu laumu tu.
Neno "yawezekana " litumike kwa muda uliopo.Hakuwa madarakani wakati huo, yawezekena alijitahidi kuzuia, ikawa hivyo.
Kwani tunajuaje kama watu wake waliopata hiyo dhoruba ni Manji tu?
Je Kikwete alikubaliana na alivyotendewa Manji na wengine?
Sio kweli hakumlea vizuri jamaa alikuwa teja la kutupa licha ya kuuzaAlimulea vzur,ila magu akataka kuharibu malezi
Kikwete ana mambo ya kikuda na umbea sana wakati mwingine huwezi jua kama ni mtu mzima.Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Siyo kila aliyepo JF ni mtumishi wa umma, wengine sisi ni wajasiriamaliAsilimia kubwa humu has nyie Cdm mnaoponda mmepata ajira enzi ya utawala wa JK, at least mna uhakika wa kununua bando.
Wewe ulinyang'anywa nini?!Kwa kupitia mahakama ipi?Mahakama ndiyo yenye uwezo huo na siyo mtu akinywa lubisi anyang'anye mali za watu kadiri ya hisia zake.
Anazungumziwa nani kwani?Wewe ulinyang'anywa nini?!
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Usiwe mwepesi kuhukumu bro!!Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Soma vizuri na kwa kutulia huku unameng'enya maandishi. Hajahukumiwa mtu hapo.Hayo ni maswali yenye kuhitaji majibu na ndiyo maana kuna alama za kuuliza humo.Au nikikuuliza jambo nitakuwa nimekuhukumu?Usiwe mwepesi kuhukumu bro!!
Huenda haikufungwa kwa sababu ya huyu mzee wa town huwezi jua, hadi anakamatwa huenda kulikuwa na ushahidi ila akaingilia kati bro so don't judge things you never proved it
Ridhiwani aliteswa?Kikwete ana akili za ziada, kwani ni Manji tu? Ya Ridhwan mmesahau?
Mahakama ipi ?jengo lijengwe na nssf kwa mafao ya watanzania ulete habari za mahakama ,mahakama kwenye hela za watanzania huo ujinga baki nao wewe na wenzako wengi.Kwa kupitia mahakama ipi?Mahakama ndiyo yenye uwezo huo na siyo mtu akinywa lubisi anyang'anye mali za watu kadiri ya hisia zake.
You're nothing but a savage!Mambo hayaendi kihayawani hivyo wewe kiumbe.Ndiyo maana kila kitu mnashindwa kitaalamu kwa sababu ya kuongozwa na hisia mfu/hasi.Mahakama ipi ?jengo lijengwe na nssf kwa mafao ya watanzania ulete habari za mahakama ,mahakama kwenye hela za watanzania huo ujinga baki nao wewe na wenzako wengi.
Kati ya manji na nssf nani alishindwa ?aliyeshindwa anajulikana hiyo ndio nguvu ya dola itaendelea kuwepo ,hakuna sababu ya kusumbua mahakama kwa jambo lilio wazi ni kuongeza kesi zisizo na ulazima.You're nothing but a savage!Mambo hayaendi kihayawani hivyo wewe kiumbe.Ndiyo maana kila kitu mnashindwa kitaalamu kwa sababu ya kuongozwa na hisia mfu/hasi.
Jiwe ndie alichangia kifo cha mnji
Ndio niniJiwe alikuwa madawa ya kulevya?