fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
zipi mali alichukua kijanja?tusiongee kitu bila ushahidiOndoa neno kibabe ,alinyang'anywa mali za umma alizochukua kiujanja bila kufuata utaratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zipi mali alichukua kijanja?tusiongee kitu bila ushahidiOndoa neno kibabe ,alinyang'anywa mali za umma alizochukua kiujanja bila kufuata utaratibu
Quality plaza ni jengo la nssfzipi mali alichukua kijanja?tusiongee kitu bila ushahidi
Magufuli Mwanaume Ali deal na Bilionea fisadi Manji without any fear za kuogopa mafisadi waiba Mali Am umma Manji akakimbia nchi kama mwehuQuality plaza ni jengo la nssf
Wewe unayeweza kuwaza na kuwazua, sema baada ya kuwaza na kuwazua, ulitaka afanye nini?Sentensi yako ya kwanza imekuonesha namna ambavyo aidha huwezi kuwaza na kuwazua kimbinu au hauna uwezo kabisa wa kuendelea kuwaza mbele.
QG aliirithi kutoka kwa baba yake, sema baba yake alikuwa mbali na media, yusuf yanga ilisababisha tumjue zaidiIla ukifuatilia kwa undani namna Yusuph Manji alivyoibuka ghafla from nowhere miaka ile na ile Quality Group yake, hata huwezi kushangaa.
Na wewe jk ukafikiri unaweza kumlea mtoto wa bwanyenye tajiri wa kihindi😂. Bila shaka ulijua kama mwanasiasa atafanya ile kama kwa kizungu wanasema I scratch your back and you scratch my back🤣Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Na yale majengo ya taasisi za serikali aliyokuwa anayanunua kwa bei ya chini, halafu anayakarabati na kuiuzia tena serikali hiyo hiyo kwa bei ya kulangua...!! Una maoni gani?QG aliirithi kutoka kwa baba yake, sema baba yake alikuwa mbali na media, yusuf yanga ilisababisha tumjue zaidi
Kikwete bwan, yeye kila mtu akifa anasema alifanya vile nkRais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Ni upigaji kama upigaji mwingine tu, ni ngumu kuwatenganisha ccm na upigaji , si unakumbuka marehemu alikuwa diwani? Halafu ilikuwaje manji akawa diwani wa mbagala au alikuwa akiishi huko?Na yale majengo ya taasisi za serikali aliyokuwa anayanunua kwa bei ya chini, halafu anayakarabati na kuiuzia tena serikali hiyo hiyo kwa bei ya kulangua...!! Una maoni gani?
Yaani Kikwete angekaa kimya angeumwa malaria? Anataka Nini wakati watu watanzania wanajua Manji akikuwa fisadiNa yale majengo ya taasisi za serikali aliyokuwa anayanunua kwa bei ya chini, halafu anayakarabati na kuiuzia tena serikali hiyo hiyo kwa bei ya kulangua...!! Una maoni gani?
Unataka nishuhudie ambavyo sikusikia wala kuona vikitendeka?Ulitaka dunia nzima imuone live
Kingine ,alikuwa mwizimwizi ,anaweza kuwambia yangaSasa hapa naanza kuamimi ile kauli ya kiburi "Mimi siongei na Mbwa, naongea na Mwenye Mbwa".
Mara paaaaa Mbwa akachukua RUNGU, mara chikuchikuotae anaanza kulia.
Kwa kupitia mahakama ipi?Mahakama ndiyo yenye uwezo huo na siyo mtu akinywa lubisi anyang'anye mali za watu kadiri ya hisia zake.Ondoa neno kibabe ,alinyang'anywa mali za umma alizochukua kiujanja bila kufuata utaratibu
Utanilipa kwa kukusaidia kuwaza?Wewe unayeweza kuwaza na kuwazua, sema baada ya kuwaza na kuwazua, ulitaka afanye nini?
Hakuwa madarakani wakati huo, yawezekena alijitahidi kuzuia, ikawa hivyo.Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Asilimia kubwa humu has nyie Cdm mnaoponda mmepata ajira enzi ya utawala wa JK, at least mna uhakika wa kununua bando.Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Hakuna kitu unachowaza, zaidi ya tabia ya Watanzania kulaumu laumu tu.Utanilipa kwa kukusaidia kuwaza?