Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Jiue uondokane na njaa bibie,Sasa kinachokuwasha ni kipi? Heshima ya nyokooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiue uondokane na njaa bibie,Sasa kinachokuwasha ni kipi? Heshima ya nyokooo
Kajiue wewe mtoto wa kahabaJiue uondokane na njaa bibie,
Kwahiyo wema hawafi sinlndio?Lakini lile shetani hatma yake likafa lenyewe wenzie wanadunda
Kuwa na akili wewe,Kila jambo Lina sehemu yakeHuyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Kama mama'ko muongo uanfikiri woye ni waongo?Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Kikwete ana akili za ziada, kwani ni Manji tu? Ya Ridhwan mmesahau?Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Kazi kwelikweli.Kikwete ana akili za ziada, kwani ni Manji tu? Ya Ridhwan mmesahau?
Babu inaelekea una chuki kali sana dhidi ya JK. Punguza chuki inaweza kukusababishia madhara ya kiafyaHuyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Ajira zilianza kuwa ngumu kuanzia 2010 .Huku anatabasam!
Kikwete hata umchukie Kwa matendo fulani ya utawala wake ni ngumu sana kumdharau!!
Mikopo ya elim ya juu na ajira kwa wasomi watoto wa maskini baada ya kuhitimu vyuo ndio muhuri was utawala wake!!
Sio juzi mei mosi Dr. Mpango anatujibu eti wagebill ya shirika la kazi duniani eti ni kubwa kwetu hatuwezi ajiri !Sasa unajiuliza idadi ya watu mbona inaongezeka!?na mahitaji ya huduma za kijamii kuanzia mashuleni,mahospitalini hadi kilimo mifugo yanaongezeka kwanini wasomi wasiajiriwe !!?na deni la taifa mnasema ni himilivu!!?
Wanakopa wanakula wao na watoto wao na kujaza mapesa akaunti halafu wanasema eti watoto wa maskini wajiajiri !!!
Live long jk!
Ulikua fisadi lakini kazi tuliiona na unafuu tuliuona Kwa wasomi maskini!!Sasa hivi mikopo ipo mapesa kibao lakini hakuna ajira Wala maajabu yeyote !!
Hivi kwa nini Nyerere alimweka katika kundi la wahuni mzee wa Msoga?Mzee amekaa kitapeli tapeli sn
Kumbe alikuwa fisadi?Ulikua fisadi lakini kazi tuliiona na unafuu tuliuona Kwa wasomi maskini!!
Jamani wahindi tunawajuaHuyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Serikali yake ilipigiwa kelele za ufisadi!!Kumbe alikuwa fisadi?
Naunga mkono hojaLiongo 😂😂🙆♂️
Tena lililokubuhu linatafuta sifa misibani Kwa kusingizia marehemu kuwa alisemaLiongo 😂😂🙆♂️
Sasa tumeshajua nani alikuwa facilitator kwenye ufisadi mkubwa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii iliyokuwa ikimhusisha manjiRais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani