Kikwete: Mzee Manji kabla hajafa alinikabidhi mwanae Yusuf Manji nimlee!

Kikwete: Mzee Manji kabla hajafa alinikabidhi mwanae Yusuf Manji nimlee!

Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Kama mama'ko muongo uanfikiri woye ni waongo?

Watoto ambaoi hamna heshima na baba za wenzenu inamaanisha kuwa umetokea nyumba ambayo kila mwanamme anaeingia kwenue mama'ko anakwambia "mwamkie baba'ko".

Utaipata wapi heshima ya baba kwa malezi namna hiyo?

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako.

Akuelezee wewe nani?
 
Marehemu huwa wanasingiziwa mambo mengi Sana sababu hawako hai

Mswahili awe mlezi wa mtoto muhindi ?

Kikwete Kwa Mamlaka ninayojipa mwenyewe kama namtunuku Mzee Jakaya Mrisho Kikwete PhD ya Uongo uliokubuhu

Mnaojua kingereza naonba tafsiri ya hiyo PhD nimemtunuku Kwa lugha ya kiingereza
 
Huku anatabasam!
Kikwete hata umchukie Kwa matendo fulani ya utawala wake ni ngumu sana kumdharau!!

Mikopo ya elim ya juu na ajira kwa wasomi watoto wa maskini baada ya kuhitimu vyuo ndio muhuri was utawala wake!!

Sio juzi mei mosi Dr. Mpango anatujibu eti wagebill ya shirika la kazi duniani eti ni kubwa kwetu hatuwezi ajiri !Sasa unajiuliza idadi ya watu mbona inaongezeka!?na mahitaji ya huduma za kijamii kuanzia mashuleni,mahospitalini hadi kilimo mifugo yanaongezeka kwanini wasomi wasiajiriwe !!?na deni la taifa mnasema ni himilivu!!?


Wanakopa wanakula wao na watoto wao na kujaza mapesa akaunti halafu wanasema eti watoto wa maskini wajiajiri !!!


Live long jk!

Ulikua fisadi lakini kazi tuliiona na unafuu tuliuona Kwa wasomi maskini!!Sasa hivi mikopo ipo mapesa kibao lakini hakuna ajira Wala maajabu yeyote !!
Ajira zilianza kuwa ngumu kuanzia 2010 .
Mikopo elimu ya juu kabla yake hakukuwa na asilimia au nani alisoma shule gani. Wote waliokuwa na sifa za kujiunga na chuo waliopata udahiri walikuwa wanapata mikopo 100%.
Hakukuwa na kulipa mikopo huku wabunge waliotunga sheria ya bodi ya mikopo elimu ya juu walijiondoa wasilipe.
Wakajiongezea malipo bungeni.

Namkubali sana kwa kujenga vyuo vikuu vipya na kuruhusu vyuo vingi binafsi na kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo binafsi.
 
Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Jamani wahindi tunawajua
Mswahili gani asiyewajua wahindi na walivyo wabaguzi Kwa waswahili ?

Yaani Kikwete Mkwere mswahili apewe Kazi ya kulea mtoto wa kihindi

Hili tukio linatakiwa kurekodiwa kwenye Guinness Book of Rekods kuwa kuna mwafrika mswahili tena Mkwere alishawahi pewa Kazi ya kulea mtoto wa muhindi kama mwanawe wa kuzaa

Dunia nzima ya waafrika ijue hivyo kuwa Tanzania kuna mwafrika alipewa Kazi na Mzazi muhindi ya ubaba wa kulea mtoto wa Muhindi
 
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.

Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.

Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Sasa tumeshajua nani alikuwa facilitator kwenye ufisadi mkubwa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii iliyokuwa ikimhusisha manji
 
Back
Top Bottom