johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Quality Group 😂Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quality Group 😂Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Ok.Tuiache iwe na labda nyingi zaidi.Labda target ilikua yeye, akastuka
Sio rahisi kufutika, wanawaachia watoto wao,angalia list ya viongozi vijana utaona,Wenzetu wataalamu wa Uchumi Wana msemo wao maarufu wa "Mnyororo wa Thamani"
Hii Nchi ili kuendelea itachukua miaka 200 ijayo hadi Vizazi vya hawa ma-borntown vifutike kwenye Uso wa Dunia
Otherwise tutaendelea kuisoma namba 🙌
Hatari sana 🙌Sio rahisi kufutika, wanawaachia watoto wao,angalia list ya viongozi vijana utaona,
Kikwete ni mnafiki sana kupita maelezoSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Ha ha ha mzee kila kona yumooo. HapitwiiiiHuyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Usikute hilo la kulelewa na Kikwete ndilo lililofanya Jiwe amtese Manji. Kama hivyo ndivyo JK angefanya nini?.Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Alipigiwa pande na huyu huyu mzee wa kukenua kenua ndiyo zile kesi zote za ufisadi wa mifuko ya pensheni zilikufa kifo cha asili. JK ni fix sana.Ila ukifuatilia kwa undani namna Yusuph Manji alivyoibuka ghafla from nowhere miaka ile na ile Quality Group yake, hata huwezi kushangaa.
Ulitaka atangaze kuwa na mlea Yusuphu Manji?Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Wao hawakuwa wazuri? Mzee Manji na Mwanaye wamekufa..!!Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake
Source: Kitenge Tv
🤣☹️🥴Naanza kuiamini sentensi yako.Laiti Edward Lowassa angekuwepo tungepata ushahidi zaidi.
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake
Source: Kitenge Tv
Tubaki na hilo neno "usikute" limtetee.Usikute hilo la kulelewa na Kikwete ndilo lililofanya Jiwe amtese Manji. Kama hivyo ndivyo JK angefanya nini?.
Wanafugia bata na njiwa siku hizi?Quality Group 😂
Si waliambiwa waache kuwashwa washwa!!Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Kwa sababu kijana alijisahau na kuota mapembeSasa mbona Jiwe alivyoanza kumfilisi ukikaa kimya mzee wetu hadi kijana wako akakimbia nchi kuokoa maisha yake.