Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka kaulì ya Manji " SIONGEI NA MMBWA, NAONGEA NA MWENYE MMBWA"Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Yemwenyewe manusura aishi kama shetani angepata wapi mda wa kumlinda mtoto wa kupewaSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Lakini,mimi sikuwahi kumsikia akiongea zaidi ya kuona tu kwenye mitandao.Nani alimsikia akitamka hayo?Kumbuka kaulì ya Manji " SIONGEI NA MMBWA, NAONGEA NA MWENYE MMBWA"
-Alitishwa na kinyago alichokichonga mwenyewe?Yemwenyewe manusura aishi kama shetani angepata wapi mda wa kumlinda mtoto wa kupewa
AiseeAlimulea vzur,ila magu akataka kuharibu malezi
Kipindi kile tungekukutanisha na Magufuli ungeweza kumuita Dikteta Uchwara?Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
angeingilia mngesema maneno mengine hapa nyie akili zenu ni chuki hata sehem ambayo haina faidaSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Hivi,mwandiko unakuhakikishia kivipi kwamba kuna chuki kwa mwandishi?Acha kuendeshwa na hisia legelege za kike.angeingilia mngesema maneno mengine hapa nyie akili zenu ni chuki hata sehem ambayo haina faida
Kwa situation ile angefanya nini? Pengine hakukaa kimya husikute kuna hatua zilichukuliwa pia dhidi ya jiwe.Sasa mbona Jiwe alivyoanza kumfilisi ukikaa kimya mzee wetu hadi kijana wako akakimbia nchi kuokoa maisha yake.
Basi ulikabidhiwa ww....Over .Huyu mzee ni muongo na tapeli haswa, kwanini hakusema wakati yupo hai na alipofilisiwa na Makonda?
Huna akili kahaba wewe,heshimu wazee.Mzee km kinyesi tu kila anapotua lazima watu washike pua ananuka sana na rafiki zake nzi
Lakini lile shetani hatma yake likafa lenyewe wenzie wanadundaYemwenyewe manusura aishi kama shetani angepata wapi mda wa kumlinda mtoto wa kupewa
Mama yako akiwa mwenyekiti wa makahabaHuna akili kahaba wewe,heshimu wazee.
Jiwe alikua shetani mkubwa, bora huyu mama atawale nchi hata kwa miaka mia kuliko kuja kuwapa tena nchi jamii yenye roho chafu chafu na chukiKwa situation ile angefanya nini? Pengine hakukaa kimya husikute kuna hatua zilichukuliwa pia dhidi ya jiwe.
Umasikini usikupande kichwani bibie,Jk hata ukimchukia wala hakufahamu zaidi ya yeye ana heshima duniani koteMama yako akiwa mwenyekiti wa makahaba
Sasa kinachokuwasha ni kipi? Heshima ya nyokoooUmasikini usikupande kichwani bibie,Jk hata ukimchukia wala hakufahamu zaidi ya yeye ana heshima duniani kote