Kikwete: Mzee Manji kabla hajafa alinikabidhi mwanae Yusuf Manji nimlee!

Kikwete: Mzee Manji kabla hajafa alinikabidhi mwanae Yusuf Manji nimlee!

Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.

Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.

Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Mbona MAKONDA alivyomdhalilisha "MWANAO" ulikaa kimya?!
 
Marehemu huwa wanasingiziwa mambo mengi Sana sababu hawako hai

Mswahili awe mlezi wa mtoto muhindi ?

Kikwete Kwa Mamlaka ninayojipa mwenyewe kama namtunuku Mzee Jakaya Mrisho Kikwete PhD ya Uongo uliokubuhu

Mnaojua kingereza naonba tafsiri ya hiyo PhD nimemtunuku Kwa lugha ya kiingereza
Malezi ni neno pana sana!

Hata Nyerere aliwalea nyie hata mwinyi amewalea kiuchumi sanae hamuoni nyie ni ma don hapa Bongo!?unafikiri bila kulelewa kifursa na kiuchumi mngetoboa!!?

Malezi ni neno pana!

Usishangae Mzee Bakhressa kapewa jukumu la kuilea familia ya Mzee mwinyi coz ni marafiki was siku nyingi sana Tena urafiki wa deep Sana!
 
Yaani alimlea hadi kuingia ufisadi kuingia JWTZ kufisadi kule mbagala nk JWTZ sidhani kama watamsahau Manji na ufisadi wake aisee huyu Mzee Kikwete shida Kwa kweli Tena kubwa
 
Kwa situation ile angefanya nini? Pengine hakukaa kimya husikute kuna hatua zilichukuliwa pia dhidi ya jiwe.
Labda walitaka aite press conference atangaze hadharani kuwa anamtetea Manji na aagize Magu amuache kijana wake mara moja.
 
Yaani alimlea hadi kuingia ufisadi kuingia JWTZ kufisadi kule mbagala nk JWTZ sidhani kama watamsahau Manji na ufisadi wake aisee huyu Mzee Kikwete shida Kwa kweli Tena kubwa
Ukishaanza kuona cycle Yako ya karibu inaenda kama hivi ujue siku SI nyingi Mzee wetu!!!nadhani ameshaenda hija!
 
Labda walitaka aite press conference atangaze hadharani kuwa anamtetea Manji na aagize Magu amuache kijana wake mara moja.
Magufuli alikuwa sahihi

Mojawapo ya usahihi wa Magufuli ni ku deal na Manji bila woga Wala Nini baada ya kuona anataka kugeuza JWTZ sehemu yake ya ufisadi wake

Magufuli akasema huko Sasa umefika mbali ama zake Magufuli au za Manji

Manji akaona mziki wa Magufuli hauwezi akakimbia nchi Kwa spidi ya mwewe akatokomea Marekani
 
Yemwenyewe manusura aishi kama shetani angepata wapi mda wa kumlinda mtoto wa kupewa
Okay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?

Wote tunajua Manji aliishi kama panya road miaka yote hii.... Yani Kikwete anafikiri nini kichwani mwake huyu mzee ???? Hakuona kama story yake itaonekana ni ridiculous? Anatuona sisi wajingaaaaa....!
 
Okay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?

Wote tunajua Manji aliishi kama panya road miaka yote hii.... Yani Kikwete anafikiri nini kichwani mwake huyu mzee ???? Hakuona kama story yake itaonekana ni ridiculous? Anatuona sisi wajingaaaaa....!
Nadhani Kikwete ana under rate uwezo wa watanzania anadhani watanzania wote hopeless

Watanzania wote wangekuwa hopeless Manji asingekimbia kukimbilia Marekanu na kufia ugenini na kuzikwa Marekani na ubilionea wake
Watanzania wanaojielewa Tena malofa tu wanaojitambua walimkimbiza mbio akakimbilia Marekani
 
Okay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?

Wote tunajua Manji aliishi kama panya road miaka yote hii.... Yani Kikwete anafikiri nini kichwani mwake huyu mzee ???? Hakuona kama story yake itaonekana ni ridiculous? Anatuona sisi wajingaaaaa....!
Wee Jana ebu dig deep kidogo. Huo ulezi unafikiri ni kumpa ugali ashube. It was all about connection na security kwenye kufaudi keki ya taifa. I am sure bwamdogo manji was guaranteed
 
Usikute hilo la kulelewa na Kikwete ndilo lililofanya Jiwe amtese Manji. Kama hivyo ndivyo JK angefanya nini?.
Watu wanaropoka tu.

Kpnd kile lengo la Magu ilikua kumzingua aliekua "Mwenye Mbwa"

Wachache wataelewa, JK mjanja aka-mute, sometimes one has to die for many
 
alifilisiwa vipi,wewe unajua utajiri wa Manji?na anasemaje maneno hayo kabla manji hajafa?anayasemaje,na anayasema kwa nani?
 
Back
Top Bottom