Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

channel zote nazokamata na dishi yangu zinaonesha hii mdahalo, hadi atn
kamati imefany kazi, wote mle ndani hawajavaa kijani wala njano ukiacha jk
mbona hamna shangwe?
audience mostly wazee wasiopenda na wanaoogopa mabadiliko
 
Bado anataka kuendelea kusaidiwa na wamarekani katika elimu dah
 
Maskini weee. kama kuna mtanzania anaona kikwete anasema point basi mmnnnh!!!
 
Jamani nimeshtukia kuwa JK yupo katika utaratibu wake wa kuhutbia Taifa kila mwisho wa mwezi ndo maana unaona TV zote zinaonyesha

Mods naomba mwongozo manake sitaki kufungiwa, ni neno gani mbadala wa CRAP naweza kutumia hapa?
 
Anajidai kuwa amefanikiwa kutembeza kopo kwa Bush atuletee walimu wa sayansi na kutuchapishia vitabu.
 
Tv za ccm, waalikwa wa ccm, maswali ya ccm, majibu kaandaliwa na ccm, mapambo ya ccm,wazee wa ccm, waandishi wa ccm, nyuso za kiccm.si wangeenda kizota kabisa!!! Duh! Kweli zidumu fikra za mwenyekitiiiiiii.
 
na nimekwisha waambia hao mods, nitawajibu wote wanao nitukana, na nitakuwa mstaarabu kwa wote wenye heshima zao.

come down sweetheart. Jus ignore wanaokutukana haina haja kutukanana.
 


Hivi kwa nini haulizwi kwamba huko ni kukosa ethics kwa sababu yeye kama Executive ndiyo mshitaki mkuu hivyo hawezi hapo hapo kumnadi mtuhumiwa huyo kwa kusema kwamba achaguliwe kwani ni mtu safi? Anamdanganya nani?

Haulizwi nia ya kufanya hivyo ni kumfanya huyo mtuhumiwa ajisikie yuko kwenye right hands -- kwani JK aweza kuamrisha kufutwa kwa kesi, au kumsamehe iwapo atatiwa hatiani? All this is upside down, totally unethical and a show of very bad governance!! Maadili zero!!!

Huyu anafikiri Watz bado ni mbumbumbu leo?

poor governance...hiyo ndiyo Africa yetu usikonde
 
Back
Top Bottom