Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Eti chadema, ndiyo wachakachuajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
hivi jamani mbona wasikubali yaishe....Slaa, Lipumba, JK.....hata wao wenyewe hawajaona rais kati yao ni nani?
 
na nimekwisha waambia hao mods, nitawajibu wote wanao nitukana, na nitakuwa mstaarabu kwa wote wenye heshima zao.

When you fell out of the ugly tree, you hit every branch on the way down.
 
Mie tampiga NUSU KAPUTI trh 31 na hatakaa aamke tena. TAMPIGA OVERDOSE maana anajifanya mjanja. HIVI AFYA IKO WAPI? MAJI YAKO WAPI? MAHAKAMA RUSHWA TUPU, POLISI RUSHWA YA KUUA MTU, KILA PAHALA RUSHWA INANUKA . HATA HAO WAANDAJI WA MDAHALO WAPEPANGWA . mpigeni chini FISADI MKUU.
 
kila baada ya jibu anakunywa maji swala la tafiti sikiliza anavyojibu amebadilisha mwelekeo kabisa
 
Kweli Kumchagua huyu Mtu ni Kuchagua Maafa, He is a Vision less Leader
 
Jk hajajibu kitu kuhusu ukweli wa tafiti za REDET na SYNOVATE.

Eti kasema CHADEMA wamejifanyia utafiti wao. Eti atashinda kwa zaidi ya 71% na 61% za SYNOVATE na REDET.

Kwanza hana mvuto na hatoi tumaini jipya kwa watanzania hapa ni kujichekesha tu kama kawaida yake. Huyu Mkwere sijua amekuja kufanya nini hapa kwenye media
 
Kumbe ilani huamuliwa na watu je kama wakiajiamuli isivyo au kura ikapigwa na wengi waka wamerubuniwa ili ILANI ya CCM ipite je si itakuwa bomu hilo??

Ben Mkapa alisha sema kweli iILANI ya CCM hatekerezeki jamani .

Sio hatuwataki wawekezaji ni mfumo mzima wa kuweka mikataba na wawekezaji ndio shida jamani au sio??
 
anasema bila wawekezaji hakuna ajira!!! viwanda vingapi vilivyo binafsishwa vimezalisha ajira? CRAP
 
Nimeamua kuangalia tamthilia maana napatwa hasira naona kama vile nikiendelea kumsikilza nitakavunja kativii kangu bure... I cant stand him kabisa.
 
Back
Top Bottom