Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

kibonde huyoooooo, anawakilisha clouds tv ndo atauliza sasa, hakyanani huu ni
 
TIDO anchekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Eti kufungua viziboooooooo, nayo nia ajira, UWEZO WA KUFIKIRI WA HUU JAMAA NI ZERO
 
Mwenye kujua anijuze mbona huu ukumbi umejaa alama za ccm hadi chemba ya mwenyekiti ina nembo ya ccm ni ukumbi wao?
na kulikoni mdahalo huu unarushwa na both chanels, itv na eatv(chanel5)
Ni TV zote zinarusha kasoro TV Tumaini, nimejaribu kuangalia ATN, TBC1, Channel 10, Star TV wapo hewani na haya mahojiano ya aina yake DUNIANI. Yaani wauliza maswali wanajulikana kabla ya mahojiano; cha kufurahisha wengine wao wamejisahau wanayasoma live - mfano swali la kwanza aliyeuliza kalidesa live, swali la pili pia lilikuwa linadeswa kutoka kwenye karatasi iloshikwa mkononi kinamna, Mzee Masako akiwakilisha ITV, naye kinamna alikuwa akichungulia karatasi yake.
Afrika mama Afrika, ninakulilia Afrika, Dhahabu kibao, almasi kibao, Tanzanite za kumwaga, milima na mabonde yenye rutuba nk, nk, nk. Lakini umaskini umekuwa ni rafiki yetu wa kutupwa. Mungu shuka shuka uikomboe Afrika yetu
 
Siri ya kutengeneza ajira ni wawekezaji sio kujenga viwanda vyetu jamani huyu kweli ni karagha bako sijaona tutawategemea watu wa nje sio kuboresha maeneo ya vijana kupewa fursa kama kuchimba madini jamani naishiwa nguvu siamini huyu mjamaa hana dira
 
Kuna babu mmoja kaonekana amelala. Sijui jirani yake kamshtua akaamka kwa shida. Du...karibu na hatari.
 
Desa la hadharani! So funny. Na bado hakuna anachojibu. Hakufanya rehearsal?
 
Inaonekana kabisa maswali ni pre-arranged jamaa kajiandaa kujibu ingawa ni majibu rahisi kwa maswali magumu kama kawaida..
 
Jamani ukifungua baa yako na ukaajiri bar maids ndio ajira zenyewe hizo
 
Hivi wawekezaji wanatoa vibarua au ajira?? hajui tofauti ya vibarua na ajira!!! maskini weee
 
jamaa kapanga maswali yake na watu wa kuuliza hii ni aibu, watz waone hila hizi
 
Siri ya kutengeneza ajira ni wawekezaji sio kujenga viwanda vyetu jamani huyu kweli ni karagha bako sijaona tutawategemea watu wa nje sio kuboresha maeneo ya vijana kupewa fursa kama kuchimba madini jamani naishiwa nguvu siamini huyu mjamaa hana dira
Well said, kama hakuna viwanda hakuna maendeleo. Huwezi kuendelea kwa kununua bidhaa kila siku toka nje. Ndio maana bandari ina msongamano wa kuingiza badala ya kutoa. Tutaendelea tuu kuwa soko la wachina. Hakuna mtu anauliza kuhusu viwanda!!! shame on those Journalists...
 
Tehe tehe teheeeeeeeeeeee! Kwani nini amepewa coverage kubwa hivi, na majibu yenyewe ndo ya namna hii; kuzibuwa vizibo. Kaitoa pia Clauds leo asubuhi; Uuuuuuuuuuuuuuu wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii; lazima maisha yawe magumu! Sijui hawa walopewa maswali kwanini hawapewi haki ya "follow up questions"
 
namuona Simba na Rupia Machinga complex baba endelea kutengeneza wachuuzi jamani
 
Back
Top Bottom