kwani mimi niko kwenye vyama vya upinzani? wao wamejitwisha mzigo wao, na waubebe kivyao vyao!! Ukiangalia sehemu fulani tayari nilishajenga hoja hiyo kuwa kwa wao kumuweka JK katika orodha ya mafisadi walifanya strategic mistake...
Waafrika bwana! Yaani tumefikia kiwango cha kuwazawadia fedha viongozi wetu tunaoona wamefanya vizuri ktk utawala wao. Halafu akina Watson wakisema akili zetu finyu tunakuja juu. Mimi binafsi sioni umuhimu wa hiyo zawadi ya MO
Hivi kuna kiongozi yoyote wa CCM aliye safi kweli?
Hivi kuna kiongozi yoyote wa CCM aliye safi kweli?
Mkuu Mwanakijiji, mbona naona watu wa vyama vya upinzani wanampango wakumuomba JK masamaha kwa kumsingizia kuwa yeye ni fisadi na kumweka kwenye list ya mafisadi ya Dk Slaa? Sijui wewe kwa hilo unamaoni gani kama yalioyoandikwa na Rai ni ya kweli. Nawepia utajitokeza kuomba msaamaha kama watakavyofanya vyama vinee vya upinzani?
Ndiyo, aliyeshikilia mikasi na ukaguzi wa nyama - sadly!
Huyu naweza diliki sema ni safi; kama unapinga toa sababu.
Huyu naye hajapata nafasi tu, CCM ni mtambo wa kutengeza uchafu; kila aingiako huko atachafuka tu! Someni "The Lucifer effect, how good people turn evil" by Prof Philip Zimbardo, mtapata picha jinsi CCM inavyofanikiwa kuwabadilisha watakatifu kuwa devils!. Ndio maana wengine tunasema tunahitaji kuanza upya, hatutafanikiwa kwa kukata matawi na kuacha mti. Madamu watanzania tunaendelea kuwachekea na kuwachagua CCM, basi tuendelee kuliakulia hapa JF angalau inatusaidia kutoa machungu, na hapa sasa lazima tukubaliane na NN (nafikri FMES pia amelisema hili mara nyingi sana) kuwa viongozi wetu ni reflection yetu sisi, ndivyo tulivyo, until proven otherwise. Na tuta-prove otherwise, tutakapoacha kuwachagua CCM!
mzee mwenzangu, kanuni kadhaa za uchafu zinasema hivi:
a. Mwenye kuchezea uchafu, naye huchafuka
b. Kuupaka uchafu rangi na kuunyunyiza marashi, hakubadili ukweli kuwa bado ni uchafu.
c. Aliyechafuka mikono, na aliyechafuka shati, na yule ambaye ni viatu tu vimechafuka kwenye uchafu ule ule wote ni wachafu, hawachekani.
4. Ni vigumu kumwambia mtu mchafu asafishe wachafu wenzake!
Binafsi, I don't like this Kikwete guy coz I think hajui anapoipeleka nchi yetu. In other words, hana vision of the future.
Having said that, siwezi nikam-characterize kuwa "sio mtu safi" kwasababu kama ilivyo case ya Mkapa, naamini kuwa hakuna kiongozi perfect.
Kama mwanafalsafa wa kale wa-kichina, Liu Shao-ch'i, aliwavyowahi kusema, "there is no such thing as a perfect leader either in the past or present, in China or elsewhere. If there is one, he is only pretending, like a pig inserting scallions into its nose in an effort to look like an elephant."
Ingekuwa jambo la busara basi (kama tutakubaliana na Liu), ku-focus zaidi kwenye good traits za leadership, na sio labels za nani sio safi na nani ni msafi zaidi. Coz I think bado tunasafari ndefu sana mpaka kufika huko mnakotaka tufike leoleo. Kwamba: ILI MTU AIONGOZE NCHI INABIDI AWE SAFI KAMA MALAIKA. I think ndicho mnacho dream hapa.
And I suppose Hii mijadala tunayoiendesha hapa either tunajifurahisha tu, ama tunataka tu kutoa nje chuki tulizonazo kama part ya therapeutic exercise. Lakini ukweli ni kwamba mijadala hii itakuwa na maana miaka 40, 50, 60 ijayo... Kwasasa, well, binafsi sidhani kama ina make any sense at all.
Kama hilo ni kweli kwanini ulisema Mkapa ni safi!?