Binafsi, I don't like this Kikwete guy coz I think hajui anapoipeleka nchi yetu. In other words, hana vision of the future.
Having said that, siwezi nikam-characterize kuwa "sio mtu safi" kwasababu kama ilivyo case ya Mkapa, naamini kuwa hakuna kiongozi perfect.
Kama mwanafalsafa wa kale wa-kichina, Liu Shao-ch'i, aliwavyowahi kusema, "there is no such thing as a perfect leader either in the past or present, in China or elsewhere. If there is one, he is only pretending, like a pig inserting scallions into its nose in an effort to look like an elephant."
Ingekuwa jambo la busara basi (kama tutakubaliana na Liu), ku-focus zaidi kwenye good traits za leadership, na sio labels za nani sio safi na nani ni msafi zaidi. Coz I think bado tunasafari ndefu sana mpaka kufika huko mnakotaka tufike leoleo. Kwamba: ILI MTU AIONGOZE NCHI INABIDI AWE SAFI KAMA MALAIKA. I think ndicho mnacho dream hapa.
And I suppose Hii mijadala tunayoiendesha hapa either tunajifurahisha tu, ama tunataka tu kutoa nje chuki tulizonazo kama part ya therapeutic exercise. Lakini ukweli ni kwamba mijadala hii itakuwa na maana miaka 40, 50, 60 ijayo... Kwasasa, well, binafsi sidhani kama ina make any sense at all.