Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...
Unachojaribu kusema ni kwamba watanzania wote wapuuzi, ukisema raisi si intelligent simply unawatukana waliomchagua.
Unachojaribu kusema ni kwamba watanzania wote wapuuzi, ukisema raisi si intelligent simply unawatukana waliomchagua.
Ukisema kuwa JK si intelligent basi kuna unayemuona ni intelligent. Tuambie basi huyo ni naniHuu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...
Hakika Mkuu. Tena kavurugwa ile mbaya. Sijui alikalia mpini wa shoka usiku wa leo!Mkuu mleta mada hajitambui..
Kwani wewe usiyemchagua umekuwa intelligent? Ma intelligent ni wale waliomchagua JK na akashinda. Nyie mliochagua galasa mmebaki kulia lia na kulalamika kwenye mitandao wakati wenzenu wanapeta kwa raha zaoUnaposema Watz wote Unamaanisha Nini? Kwani Kikwete alichaguliwa na 100% ya Watz? Wapo wengi ambao hawakumchagua, wengine hata kura hawakutaka kupiga, sasa hiyo idadi ya kusema Wote una maanisha nini?
Na NdiiiiiiYoooo waliompigia kura wote nao pia SIYO Intelligent kama waliyemchagua!
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...
Kweli kabisa Mkuu. JK anakubalika kitaifa na kimataifa. Ni huyu huyu JK ambaye alipigiwa makofi na akina Mbowe kwa kumshangilia alipogusa mambo yao bungeni lakini wakamnunia baadaye alipowabadilikia. Kwa nini asiwe intelligent?..tatizo ni waandamizi wake...mi namkubali sana naaaa
Ila hili galasa lako linalopora wake za watu kila kukicha ndo linaweza uongozi? Familia tu imemshinda ataweza ukuu wa nchi?Kwa asili ya JK uongozi hawauwezi wao ni wataalamu wa fitina
Kavurugwa huyu Mkuu. Soon atapelekwa mirembeWe jamaa unashida kwenye mfumo wako wa ufahamu..yani ulitaka jk asiwajulie hali wagonjwa,asiende msibani ivi unadhani jk anafanya hayo yote baada ya kuwa rais??? Jk ni mtu muungwana na kujihusisha na maisha ya watu ni desturi yake...
Hakika Mkuu. Tena kavurugwa ile mbaya. Sijui alikalia mpini wa shoka usiku wa leo!
Kavurugwa huyu Mkuu. Soon atapelekwa mirembe