Kikwete siyo safi! - yes I said it!

nazidiwa kete kila siku! sasa haitakuwa mara ya kwanza maana najua kutype zaidi kuliko mambo mengine.. so wenye fani yao hunizidi.. so I find comfort in my own twisted world of unlimited possibilities.. at least there, I can make things happen they way I want them happen in so many different ways.. so nyinyi endeleeni maana hata ombaomba naye hunyeshewa na mvua!
 

Sikiliza message kwenye simu yako maana inacheza muziki mpyaa kabisaaa utakaowekwa hapa JF karibuni! kuproduce muziki pia ni kazi unayoiweza kabisaa.
 
Mkjj,

ulituahidi kuiweka makala ya Tanzania daima hapa. Mbona bado hujaweka au ndio uzee unakujongelea hivyo!

BTW. Nimekuachia ujumbe kwenye simu yako coz damn!, you never pick your phone!

Naweza kucheka kidogo manake muda mwingi nakuwa nimekunja uso, ninaposoma post moja baada ya nyingine kuhusu ufisadi...LOL
 
utaelewaje wakati uko zuzu...?

Kama kawaida unaanza ku-step out of the line. ZUZU????? thats bad na huna mamlaka ya kumwita mwenzako zuzu!! kwanza who are you kuweza kusema hivyo..........ABSURD and PATHETIC of you!!.
 
Kama kawaida unaanza ku-step out of the line. ZUZU????? thats bad na huna mamlaka ya kumwita mwenzako zuzu!! kwanza who are you kuweza kusema hivyo..........ABSURD and PATHETIC of you!!.

na wewe huna mamlaka ya kuniambia sina mamlaka ya kumuita zuzu, zuzu...so kaa kimya kama hayakuhusu
 
Baada ya kutoka makala hii leo Jumatano, nimepata baadhi ya email zifuatazo:

Kutoka kwa 'Adamu'


kutoka kwa "mwanakitongoji"


na kutoka kwa "Daniel"

 
na wewe huna mamlaka ya kuniambia sina mamlaka ya kumuita zuzu, zuzu...so kaa kimya kama hayakuhusu

Maaan, its not about that........say what you say lakini sio kufanya classification za namna hiyo, kuna possibility hujui maana ya ZUZU. FYI ni neno baya!!!!!!!!!.
 
Ngabu,
Sina muda na hizo cheap slants, naenda kulala kwani baadae kuna "shock and awe" @ Fenway Park in the old Backbay neighborhood of the GREATEST Beantown. Kama Huna habari ni game one of world series kati ya the beloved REDSOX of New England na Rockies of colorado. Peace!.......Join the part on your local sports channel at 8.30 EST, your welcome!!!!!. GO REDSOX.
 
..hivi,kile kiwanda cha vigae kule dodoma bado kipo?

Thats another one,Great!!!!!!!. Halafu mkiwekwa kwenye orodha ya mafisadi mnalalamika, kuna tofauti gani kati ya wewe na karamagi?? una qoute neno moja kati ya maneno 20, ili maradi tu uweze ku-smear jina la mtu mwingine.............utawapata ma-zuzu wa kweli. JF daima!!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…