Uchaguzi 2020 Kikwete: Wanaosema Mikoa ya Kusini imesahaulika kimaendeleo hawaijui vizuri mikoa hiyo

Uchaguzi 2020 Kikwete: Wanaosema Mikoa ya Kusini imesahaulika kimaendeleo hawaijui vizuri mikoa hiyo

Ccm imetapakaa nchi zima tunafanya kampeni ili tushinde kwa kishindo kikubwa sana. Siwashagai cdm kufanya mkutano mmoja kwa siku, watu wenye mvuto hakuna.
Yaani tumefanya kampeni kwa miaka mitano pekee yetu,lakini Sasa tumetapakaa nchi nzima kuwashawishi watu hao hao ,I think there is something wrong with our party.sasa siku mkizuiwa kufanya shughuli zetu za kiccm hata mwaka mmoja si ndo chama kitakufa kabisa
 
Lindi ilipokuwa Lindi kwa mujibu wa wazee wanasimulia uchumi ulikuwa umechangamka na mpangilio wa mji ni uthibitisho tosha makao makuu ya mkoa Lindi shughuli za biashara na kilimo kilichangia muonekano huu
Mji wa kihistoria huu.
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...
Kusoma hujui hata picha huoni?
 
Lindi ya Leo Imeendelea na si ya Jana.

Nendeni Mkajionee.

Kikwete Amenena Vyema Kabisa.
 
LINDI YA MWAKA 1950 ILIVYOKUWA IMEPANGIKA NA HUDUMA ZOTE

 
Pia alitudanganya pesa za Escrows si za Watanzania lakini cha kushangaza yule Ruge na mdosi wanaozea jela kwa pesa zile huku wahusika wengine wakiwa hawajaguswa.

Huyu aliwahi kutudanganya ataleta maisha bora kwa kila mtanzania, matokeo yake akaishi angani kwa miaka 5 akila bata!
 
Anatuletea mambo ya historia hapa hatujasahau alivyotuma jeshi kwenda kuchukua gesi ya watu wa kusini huku akila 10% ya ujenzi wa bomba la gesi

Huyu ndiye wa kumwamini? Tapeli

Kala kashiba kavimbewa Sasa anacheua moja ya waasisi wa wizi na ufisadi mkubwa unaendelea mpaka leo nchini.
Chadema mnatapatap nyie kila mtu ni adui wenu.
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...

Mzee anatoa huruma. Asemeje wakati mama na mtoto ni wagombea kwa chama hicho.

Katika nukuu zake za mwisho alizokomelea huyu mzee ni kumwelekeza Lissu kwenye kampeni za 2015 kuwa "fisadi alikuwa yule ambaye Lissu alikuwa akimnadi."

Mkuu nyingine ni "heri ya slaa rais kuliko Lissu mbunge."

Leo hii fisadi kajituliza kikasuku.
 
Huyu hebu atupumzishe Lindi gani iliyoendelea, hii niliyopo Muda huu au nyingine?
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...
Huyu mzee angetulia ingempa heshima zaidi kuliko ambavyo anajitokeza kwenye kampeni.
 
Buasara hizihizi za Kikwete ndio zilitupatia Magufuli.

Aishi uzee mwema
 
huyu bwana japo ni fisadi anajua kupangilia hoja zikaeleweka.
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...

Huyu mzee anatafuta nini tena? Akaye atulie yasijemkuta haya.

 
Yaani tumefanya kampeni kwa miaka mitano pekee yetu,lakini Sasa tumetapakaa nchi nzima kuwashawishi watu hao hao ,I think there is something wrong with our party.sasa siku mkizuiwa kufanya shughuli zetu za kiccm hata mwaka mmoja si ndo chama kitakufa kabisa
Nani azuie ccm kufanya shughuli zake za kisiasa? Tusipofanya kampeni harafu tukashinda urais na viti vingi vya ubunge na udiwani mtapata vimaneno ya kuwadanganya wanatanzania.

Tumetapakaa nchi nzima. Kwa siku Magufuli pekee yake anafanya mikutano karibia 12 mpaka 15. Hapo bado mama Samia na waziri mkuu. Ninyi wenzetu kamkutano kamoja kwa siku.
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...
Mbona sioni akimtaja mpiga deki wa malaika popote, au kaona kilaza!
 
Rais mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema wanasiasa na wagombea wanaosema mikoa ya Lindi na Mtwara imesahauliwa na imeachwa nyuma kimaendeleo hawaijui mikoa hiyo na waongo...
CCM basi.
 
Back
Top Bottom